Тёмный
No video :(

TULIYOYAPITIA KATIKA GEREZA LA KIFO MSUMBIJI TUKANUSURIKA KUNYONGWA KWAAJILI YA UISLAMU 

SIMULIZI ZONE
Подписаться 217 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 64   
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i
@JosephMwamlima-j5i Месяц назад
Asee hii simulizi inasikitisha sana
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself4128
@myself4128 Месяц назад
Akili yako haina akili
@user-li2el5vb8w
@user-li2el5vb8w Месяц назад
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
@SafiaOmar
@SafiaOmar Месяц назад
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy
@fahadfahmy Месяц назад
amin
@issarashid7707
@issarashid7707 Месяц назад
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 Месяц назад
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit6780
@harshkirit6780 Месяц назад
@@innocentndikumana8928 Ameen
@OHAAOHAA
@OHAAOHAA Месяц назад
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
@immtm4930
@immtm4930 Месяц назад
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
@IddyMbarak
@IddyMbarak Месяц назад
Alla awafahamishe hao maqafili
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
@abdululiza392
@abdululiza392 Месяц назад
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Месяц назад
Polen sana ndugu zetu wa islamu
@sukumaganga2613
@sukumaganga2613 Месяц назад
Pole Sana kaka kwa mtihani
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Месяц назад
Maa Shaa ALLAH 💚
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 Месяц назад
Upo sawa shekhe
@mwanaidikellner7653
@mwanaidikellner7653 Месяц назад
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
@allyway999
@allyway999 Месяц назад
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
@SwahibuAthuman-yv2mn
@SwahibuAthuman-yv2mn Месяц назад
Pole sana sheikhee
@user-nm2pr1xz6u
@user-nm2pr1xz6u Месяц назад
Pole sana Sheikh wetu
@amoschacha2885
@amoschacha2885 Месяц назад
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE Месяц назад
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Месяц назад
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 19 дней назад
Utanunua gari ukiwa peponi sawa 😅😅
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Месяц назад
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
@maestro9618
@maestro9618 Месяц назад
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
@muznazahra455
@muznazahra455 Месяц назад
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
@lawmaina78
@lawmaina78 26 дней назад
Msumbiji imeharibiwa na Uislamu, sasa mnakwenda kufanya nini huko, hiyo dini ya muarabu imekua kero dunia hii.
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 24 дня назад
@@lawmaina78 Acha chuki za kijings
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 24 дня назад
Acha chuki za kijinga
@lawmaina78
@lawmaina78 24 дня назад
@@hamzaswaibu9470 sio chuki, mumeharibu nchi ya watu na bado mnataka kuendelea kuwasumbua.
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel Месяц назад
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
@@Pelegrinoemanuelww mjinga nanikasema ukiuwa mkiristo unaenda peponi wwmnafki sana ucha ubwege waislam hatupohivyo hatufanyihivyo
@lucaswanyonyi4037
@lucaswanyonyi4037 Месяц назад
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i Месяц назад
Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues
@edwinismail9401
@edwinismail9401 Месяц назад
vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 10 дней назад
Takhiya....Bwana wewe, mwongo....Al shabaab si Uislamu kamili?
@armindodamiao3201
@armindodamiao3201 Месяц назад
Docta sulle alinshitua majini yake
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel Месяц назад
Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam
@saidisudi6129
@saidisudi6129 28 дней назад
@@Pelegrinoemanuel jitathmini akili yako Haina afya
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Месяц назад
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli
@AbasMabuli Месяц назад
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan5515
@ramahassan5515 Месяц назад
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
@mbalilax162
@mbalilax162 Месяц назад
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Месяц назад
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax162
@mbalilax162 Месяц назад
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@maase2023
@maase2023 Месяц назад
Huyu jamaa fix sana
@user13375
@user13375 Месяц назад
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula3797
@mashakamwinula3797 Месяц назад
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user13375
@user13375 Месяц назад
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 Месяц назад
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Месяц назад
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe
Далее
WILL IT BURST?
00:31
Просмотров 20 млн
#MOVIE SIKU YA QIYAMA INATISHA! (KISWAHILI)
1:08:33
Просмотров 8 тыс.