UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKATI ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE ZA WATU #manaratv #hajimanara #wasafimedia #bugati #millardayo #diamondplatnumz
Mwanake mzuri. Ni tabiya na mwenye HAYA.. ( MWENYE KUONA AIBU ) Pongezi zako Bi ZAI. Nakupenda sana❤❤❤. Kuanzia Leo nita angalia JUWA KALI.Na nitakua shabiki wenu. 👏👏👏 From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hizo ftari zenu za kualika watu wanao jiweza ili muonekane kwenye Camera sijui ftari za wapi hizo wakati kuna waislamu wengi wanaofunga na hawajiwezi munashindwa kuwaftarisha
Ni bora haya mambo wawe wanatafuta mwezi mwingine kwa sababu yanayo fanyika sio katika malengo na maana ya ramadhani... Futari sio CHAKULA kama vyakula vingine bali ni kitendo kinacho fanywa na waislam baada ya kufunga siku Nzima...sasa hizi futari za kuailika watu wenye imani tofauti sio futari bali ni CHAKULA kama vyakula vingine Na dini ya uislam haikatazi kuwaalika wasio waislam katika mambo ya CHAKULA na mengineyo lakin sio katika mambo yanayo husu ibada na futari ni ibada
Kwan siku nyingine nani huwa anawalisha? Mpk mtaje walishwe siku za Ramadan, msipangie watu matumizi ya pesa zao, wakati mia mia zenu hakuna anae wapangia, embu msipitie mlango wa dini
Ktk maisha JIFUNZE kuongea kitu unauhakika nazo. Usiongee kitu usichokiwa na UHAKIKA. Wamefunga, hawajafunga tumuachie Mungu. Hata wenye hela wanafutari. Mkeo ana haiba. That's good. Hongereni kwa kufuturisha❤. Mc Galab nampenda kazi zake ila nitakuja weza malipo yake, ngoja tuone Mungu asaidie.
@@mwanaishaabubakar5013 you can't even spell labour bora ungenyamaza tu,gloves aren't only used for labour or you meant to deliver Abee?? thats why people like you who de Mumu head..
Hakuna watu wana furaha wakishirikishwa ftari kama wakiristo nao pia ni watu na wanahitaji umoja kingine tusimuhukumu mtu hajawapa maskini wakati hatujui kawapa au hajawapa hiyo ni siri yake na muumba wake kwa sbb anajua sheria ya uisilamu ni kusaidia wasiojiweza tumuache aenjoy life na awapendao.
Haji mkeo sio mtu wa mitandao mzid kumficha ana haya bado sana hivi dulla alifeli wapi?ila zay kina haya ss wakisema ndoa imekufa wapi?mbona wapo happy kwenye ndoa nataman wanaume hata awe maskin wote ila wawe na upendo km hajis kwa mke wake
Bila hiv watu watakujuwaje kama unazo nakat wapo hawana hata sukar robo chakuftar hakui lalini wenzetu wajionyesha ila mungu yupo mbele wataenda semaje
Jana kuna boss mmoja hapa nairobi alikuwa anatoa pesa kusaidia wasiojiweza tena amewafuata sehem walipo wao akawasaidia bila hata kupiga picha sisi wapita njia ndio tulikuwa tunapiga picha
Sikuhizi kufutilisha imekuwa ni matangazo ya kwenye mitandao da! Niheri ungeenda kinyakinya kuwapelekea watoto wa tima futari na wajane ,hapo wengi wao hawajagunga ni km sherehe tu
Weee acha ubaguzi kwan ujui pia ni kwaresma duuuu yan waisilamu wengi ni wa baguzi sana sisi tumeubwa na mungu mmoja uyo kafanya sio kidini na mungu ajasema ivo kwamba niwape dini yangu 2 daaaaaaaaa
ftarisha wenye uhitaji upate darja kwa Allah....hizi kiki zitakupa darja hapa duniani ila kwa Allah 0.....hawa kina mc Gara B wamefunga? au wana uhitaji? au ni ilimradi tu tukuone?
Mke wa nini sasa Manara huna faida nae, mke akisha rudi usiku hoi hafai kitu, yote kisha yamaliza atokako kama kazini kweli au wapi Babu jinga kaa ufikiri
Women who handle or prepare Food, make sure you don’t touch food 🥘 on your hands, wear gloves 🧤 or use tongue spoons 🥄 to move the food from one container to another. Un unhealthy to touch with bear hand
Huyo ni muislamu mchoyo na sijaona muislamu mwenye roho chafu na ubaguzi kama huyo...inaonesha hata kwake ni lichoyo hilo....eti kisa kakaribisha wakristo ndo makafiri.....dini safi ni Ile ambayo watu hawatendi matendo machafu...peponi huingii kwa tiketi ya dini never ever..Kazana kutenda mema hiyo ndo tiketi yako
Binaadam hamuishi kutoa makosa hivyo vitumbua vikiwa vyeupe pia mtasema Mwenyeezi Mungu kawaumba na bado munashindwa kumshukuru itakuwa kutoa kasoro kila kitu? Mola awasamehe.
@@ashaali7154 kinachopostiwa sio wote kusifu hata kikiwa Kibaya na ndio maana kuna like 👍 na dislike 👎 hauwezi kuposti vitumbua vimeungua ukasifiwa bhana raha ya vitumbua viwe brown na sio vyeusi .
Jamani waislamu wenzangu kukaribisha futari watu wanaojiweza sio tatizo ni kuongeza mapenzi na kukutana kwa pamoja pia kuna fadhila mbele ya Allah msiwe hivyo wakifuturisha wasiojiweza hawaiti kamera