Hana show off...I prefer that...its better to humble like that..yani Alkiba and darassa 💥💥💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️so many people are rich buh they dont even show off I swear keeping wining with the same heart
Nagupenda sana king kiba kwakazi zako nasili zako uko tifauti nawengine tunakuomba ufanye kazi na Big fizzo musani waburundi namwamini sana zaidi big u sana.
#Issa mwakinyo broo sikiza nyimbo mediocre utajua huyo jamaa hatumii mafundo😂😂😁 we vipi. Huyo muislam na anaswali so hufai kushuku. Ilikatazwa kwa dini kumshuku mwenzako kwa ubaya .. kwanza ni jambo haliwezekan koz kama utasema yuwatumia mafundo thats big no angelianza toka zamani bas lakini hatumii mafundo broo ni muislam wa kawaida .Ahsantee shuk zako toa hapa ..
Mwenye pesa ni yule anaejulikana kwa biashara hata kusaidia wengine,pesa haina usiri hata kina Bill gate hawasemi wala hawatangazi mali zao,lakini wanajulikana kuwa wanapesa,mali haifichwi mfukoni bana.mali za siri anazo jambazi tu,kwakua ndio hajulikani anaipataje pesa.
Kumbe nyinyi mafara hivi hamtonyeshi vitu anavyo miliki mnakaa mnalopoka tu ndo maana mnafungiwa kwasababu hamtoi vitu visivyo eleweka stowaangalia tena mnamaliza bando letu tu
@@elismeshack7106 wacha ujinga ndio maana munakufa na njaa tembeeni mujue kama ni alikiba mm hata italy naongie nyimbo zake zipigwe matako ww ndio maana hata maisha yanawasumbua