Nilikua nimeshakata tamaa ya maisha na kuelemewa na dhambi ila kwa mafundisho yako Pastor Mmbaga nimeinuka na sasa na mimi nawahubiria wengine habari njema ya huyu YESU. Mungu akubariki na akuzidishie
Hata mm paster mkono unakufa gazi Kwa muda inapotea na kz nafanya lakini Hela inakuwa na mambo mengi nna mwaka WA tano Imani sna hata kiwa nja nna nyumba ya uridhi ni ya matope nmeshindwa hata kuibadilisha na sna hata akiba