Nataman hawa waarabu tunaowafanyia kila kitu wawe wanafundwa haki nadhan wangeelimika khaaa😎😎....maan mashaghala tushakua mama mijengo kwenye nyumb za warabu😂😂😂😂😂😂sababu kila kona twajua nini kinakaa ..nini kinahifadhiwa.....tusochojua ni pesa tuu wanahifadhi wapii 😂😂😂😂nyie nyie achen tuu....nawapend haki😍😍😍 japo nimechelewa ku join u kwa page yenu