Тёмный
No video :(

Utapeli kwa jina la Mungu katika kanisa la Fire Gospel Ministries 

NTV Kenya
Подписаться 2,5 млн
Просмотров 3,9 млн
50% 1

Mhubiri wa kanisa la Fire Gospel Ministries Michael Njoroge mapema Jumapili alifika kanisani na kuwatisha wanahabari wa NTV waliofichua sakata inayomhusu ya utapeli kwa jina la mungu. Mbali na hayo mhubiri huyo alikataa kuzungumza na wanahabari wetu. Mwanahabari wetu Mohammed Ali ana maelezo zaidi.

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,6 тыс.   
@user-tj2yj5gi5t
@user-tj2yj5gi5t 5 месяцев назад
2024 mpo??? Kama umewartch sai pita na like ..na poster continue resting in peace 🕊️
@evanskundu2811
@evanskundu2811 5 месяцев назад
Did you mean Pastor?
@user-yt8ph4qf5u
@user-yt8ph4qf5u 5 месяцев назад
Kwani pastor mwenyewe alikufa
@Masaii236
@Masaii236 4 месяца назад
Mimi😅
@housinghub.99
@housinghub.99 3 месяца назад
ndio nimewatch tu sai weuh 😂😂😂
@irenetanui5435
@irenetanui5435 3 месяца назад
Tupoooo
@hezronkwaso1927
@hezronkwaso1927 Год назад
Kama umewatch na hii serikali ya ruto wapi like
@bobogitau5383
@bobogitau5383 4 года назад
2020 mpo??? gonga like
@shaddyverz
@shaddyverz 4 года назад
Eeh kali🤣🤣
@stevekahungura5432
@stevekahungura5432 4 года назад
Tukaenda shot moja
@lammohreports
@lammohreports 4 года назад
Huyo pasta ni mamba
@bobogitau5383
@bobogitau5383 4 года назад
Heri mamba uyo ni nyoka
@lammohreports
@lammohreports 4 года назад
@@bobogitau5383 eh!!!! Kumbe heri tusiende kanisa tukae nyumbani
@esthermatheka2642
@esthermatheka2642 4 года назад
Nani amejipata akijaribu kupindua mdomo kaa huyo mama,gonga like ya 2019
@likeothers2498
@likeothers2498 4 года назад
Hahahaha
@yesunialamayakiama.9013
@yesunialamayakiama.9013 4 года назад
Hahahahaaaa, hahahahahaaa
@goodluckmoshi5544
@goodluckmoshi5544 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@justusgisemba3179
@justusgisemba3179 4 года назад
U got me 😂
@bobogitau5383
@bobogitau5383 3 года назад
P🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwera uko
@ErickLenana
@ErickLenana 8 месяцев назад
Umehaibisha yesu mungu wetu na pia wakristo😢😢😢😢😢😢😢
@kijanaWaMamaBhajia
@kijanaWaMamaBhajia 4 года назад
Kama umewatch na hii corona nipe like
@artifgammy2156
@artifgammy2156 3 года назад
tupo
@josephkiarie35
@josephkiarie35 Год назад
@@artifgammy2156 ó
@bnargacu1291
@bnargacu1291 8 месяцев назад
2023 Dec after him demise
@KiyureKiyure
@KiyureKiyure 5 месяцев назад
@@artifgammy2156 hyyyuyyyiuuyyyyyyyyyyhyyyyyyyyyhhhyyyyyyyyyyyyyyyyyyy Yyhyyyy
@MERCYLINEM
@MERCYLINEM 4 месяца назад
Shetani ashindwe katika jina la yesu
@shabanbchijo
@shabanbchijo 5 лет назад
Ashihadu alla ila Hailalla huashihadu Ana muhamadi rasullullah
@josephmuhota9446
@josephmuhota9446 4 года назад
The Government should take his license and burn his preaching.
@donathagodfrey6538
@donathagodfrey6538 4 года назад
A
@hanifaali9526
@hanifaali9526 4 года назад
@@josephmuhota9446 they can't because politicians do the same to Kenyans.
@guardianofthebibleftdavidw4001
@guardianofthebibleftdavidw4001 3 года назад
Ash hadu Allah ilaha ila Allah wa ash hadu ana Muhammadar rasulullah
@frdahkwa5483
@frdahkwa5483 6 месяцев назад
Ghaiiiii nko hapa 2024 makubwa akih yawah 😢😢😢😢
@dayanakarimi
@dayanakarimi 4 года назад
I can't blame this man I blame the person who goes 2 his church
@rabielulomi8607
@rabielulomi8607 4 года назад
The wicked are capitalising on our Ignorance and poverty.
@robertsure146
@robertsure146 3 года назад
Alikua Na shida
@maimunafzaka880
@maimunafzaka880 3 года назад
Me too
@fowziisak6800
@fowziisak6800 3 года назад
Christian fake religion
@gracemoses3062
@gracemoses3062 3 года назад
@@fowziisak6800 ulikuja na religion hapa duniani wewe shame an you for even saying that
@thomaslandwhale
@thomaslandwhale Год назад
My Father's house of worship has become the Den Of Thieves... Stealing in the name of the Lord...Wickedness
@t.wkangethe4814
@t.wkangethe4814 11 месяцев назад
…and a decade later he dies,never mourned never appreciated and hurriedly and secretly buried.. He was a quack in the Ministry of God..
@user-mf5ze5oi9k
@user-mf5ze5oi9k Год назад
I went in this church 2011 at citycabanas...They pray for people according to their money...this video will never be old.. I will continue commenting upto my old age😅
@brendammas2020
@brendammas2020 Год назад
Mi naisha hapa 😅😅🤣 iyo mdomo
@justuswaweru3895
@justuswaweru3895 Год назад
@@brendammas2020 q
@victorlihanda5400
@victorlihanda5400 Год назад
Aah c'mon mnamkumbuka huyu?😂
@user-mf5ze5oi9k
@user-mf5ze5oi9k Год назад
@Brenda mmas let's continue commenting till our old age🤣🤣🤣🤣🤣
@sarahwangari8461
@sarahwangari8461 11 месяцев назад
how time flies. Who is here after his death? He recently died and buried
@terrywatahi1203
@terrywatahi1203 8 месяцев назад
Me hadi nimejua leo ati alideady
@peterndungu3615
@peterndungu3615 7 месяцев назад
Mimi nimejua saiii
@isayamwakyoma6336
@isayamwakyoma6336 5 лет назад
kama na ww umejaribu kupeleka mdomo pembeni gonga like hapa twende sawa
@maryamashmrei9999
@maryamashmrei9999 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@aliame2323
@aliame2323 4 года назад
sd
@zippymurugi2673
@zippymurugi2673 4 года назад
Aki wewe
@wlkmwlkm3381
@wlkmwlkm3381 3 года назад
Hahahaha ooh my God
@kevinkemboi6218
@kevinkemboi6218 5 лет назад
Ali is the real hustler if this guy asks for president i will give him
@kkproductions4774
@kkproductions4774 5 лет назад
But has he done anything to his constituency?
@DjMozz.
@DjMozz. 6 лет назад
Religion can switch people's brain off...literally
@minevagachomo7206
@minevagachomo7206 4 года назад
True
@minevagachomo7206
@minevagachomo7206 4 года назад
True
@mpesahainakakitu9673
@mpesahainakakitu9673 3 года назад
Sure even Karl max said
@wanyamuthimookariuki2012
@wanyamuthimookariuki2012 3 года назад
Exactly kwanzaa ukiishiikaa kiijiingaa
@bintlola3127
@bintlola3127 5 лет назад
Kanisa limekaa kishangingi zaidi...huyo mchungaji ndo namb moja fyuuuuu....alhamdulilah kuwa muislam...dini yenye stara👌🏻👌🏻
@MUMBIJOY
@MUMBIJOY 5 лет назад
I love this guy Mohammed Ali,expose them all,❤
@festuskathuki8229
@festuskathuki8229 4 года назад
Echoing the words of Shakespeare in his quote, "This world is a stage where we are all Actors!" Pastor is doing his part of theatre very well.
@doreenmalesi6039
@doreenmalesi6039 4 года назад
😀😀😀😀
@francisoloo4448
@francisoloo4448 3 года назад
I hold the World but the World Gratiano a stage where every Man hás tô play a role and Mine a Sad one..."
@spin3929
@spin3929 2 года назад
😂😂
@elizabethkinyuaelizabeth534
@elizabethkinyuaelizabeth534 2 года назад
In hands are we safe?
@michaelababu2390
@michaelababu2390 2 года назад
L
@stanstano6064
@stanstano6064 3 года назад
Damn! At my age trying to twist my mouth...Thug Life Until Jesus Comes
@kipronokenneth320
@kipronokenneth320 5 лет назад
They cursed Mohammed Ali and now he is the MP for Nyali😂😂😂😂😂😂😂😂
@doreennasike6298
@doreennasike6298 5 лет назад
God never sleeps or slumber
@kipronokenneth320
@kipronokenneth320 5 лет назад
@@doreennasike6298 true
@maryamashmrei9999
@maryamashmrei9999 5 лет назад
Nakwambia
@alexmuya8541
@alexmuya8541 5 лет назад
Kanisa za idols can only curse themselves
@Mokiwa
@Mokiwa 5 лет назад
Kiprono Kenneth he better go back for the second curse may be he may become a president 🤣🤣🤣🤣🤣
@macym57
@macym57 4 года назад
Not all who call me Lord, Lord will enter into the Kingdom of God, Jesus said.
@dianan23
@dianan23 Год назад
Ai uyo pastor inafaa achukuliwe atua vikali kuaaribu kanisa
@maureenkaranja7895
@maureenkaranja7895 5 лет назад
I never regret not going to church....
@shadracknjogu7299
@shadracknjogu7299 5 лет назад
True
@diggysimmons4132
@diggysimmons4132 4 года назад
Its brainwahes guys. Colonisers used it to brainwash Africans, Africans use it to enrich themselves.
@gracemwaura1475
@gracemwaura1475 3 года назад
You go to church for your own good, kila mutu atapiga goti lake mwenyewe, let no one hider you from seeking your God, the Bible in the book of revelation 22:11-12, says; Let the evil doer continue doing evil and the filthy continue to be filthy and righteous continue to be right, the holy continue to be holy for behold He is coming soon bringing the recompense and everyone will bepaid according to what he has done Whatever you do is not in vain there is a reward.
@natureworld295
@natureworld295 3 года назад
Go to the original protestant churches , not the new deliverance churches
@natureworld295
@natureworld295 3 года назад
@@diggysimmons4132 stop misusing the name of colonisers . missionaries came with pure churches not these ones and they never used to perform miracles it was pure Christianity
@dankago8668
@dankago8668 5 лет назад
Last days the world is coming to an end . Blessed are those who worship in truth and in the spirit
@wanjalaspha797
@wanjalaspha797 2 года назад
when you die is when your world is over.the sun will forever rise.
@kenyashop6840
@kenyashop6840 6 лет назад
Spiritual blindness has no boundaries hits everybody on earth may God intervene
@jeliahnyagitari3208
@jeliahnyagitari3208 Год назад
Watoto wanaamgalia cigarettes hiyo ama hawako
@flomatmungania7916
@flomatmungania7916 3 года назад
Our ever courageous Journalist and now an MP, Mungu akubariki na wanahabari wengine.
@lawjoseph6590
@lawjoseph6590 4 года назад
Nishawambia hakuna nabii ukitaka kujuwa nabii wa mungu sikiliza sauti ya mungu yeye yu ndani yetu amina
@kenyantrendz3860
@kenyantrendz3860 3 года назад
I tried to twist my mouth to see if it's possible for a whole day, it was shaking and returning to its position 😂😂😂
@juddexdonniex6472
@juddexdonniex6472 3 года назад
🤣🤣🤣am also trying to imagine how to twist 🤣🤣🤣 this world
@kenyantrendz3860
@kenyantrendz3860 3 года назад
@@juddexdonniex6472 Looking for money
@johanesskeys
@johanesskeys 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@collinsochieng6146
@collinsochieng6146 3 года назад
😂😂😂Hii kenya ptho
@annwamuyu8443
@annwamuyu8443 2 года назад
I'm stupidily trying this at 1:28am😂😂😂😂😂
@janetwanja6114
@janetwanja6114 6 лет назад
I love u Muhammed Ali Godbless u much
@virginiakuria9430
@virginiakuria9430 5 лет назад
Hahaha
@lornamary8690
@lornamary8690 5 месяцев назад
Amazing!!! Where is the fear of the Lord??
@johnkiguru6986
@johnkiguru6986 Год назад
The word of God is full of love, wisdom, peace, and it's full of joy. Why is this church lacking all these qualities? Preach to those who do not believe, love them until the truth is revealed to them acts 17:3-4
@rashidkalimbo2451
@rashidkalimbo2451 5 лет назад
SubhaAllah.... Innalillah wa inna illeih rajiun. Mohammad Ali rudi ntv bwana.
@ahmedwanyama4703
@ahmedwanyama4703 4 года назад
Wewe mwenyewe unahitaji kutubu kwa kuzini na kutumia jina la Mjumbe wa Mwenyezi Mungu visivyo . Natamani sana upate mwelekeo sahihi kutoka kwa Muumba wetu sote ili moto wa jehanamu uwe mbali na wewe kwa Uwezo wa Mungu aliyetukuka .
@sir_felix.
@sir_felix. 3 года назад
In 2021 still people attend and listen to such pastors,heri nijiombee kwangu lakini sio kua mjinga wa kufuata wapastors
@bigboy8508
@bigboy8508 6 лет назад
It is unbelievable people still go to his Church.
@flyboychannel8139
@flyboychannel8139 5 лет назад
C ako na urogi!
@isaacnderitu8664
@isaacnderitu8664 5 лет назад
Just imgin
@calvinceodhiambo7508
@calvinceodhiambo7508 5 лет назад
Big Boy jn. ñ John ng CVC à
@mceebakarikenya8563
@mceebakarikenya8563 5 лет назад
Imagine
@alexmuya8541
@alexmuya8541 5 лет назад
Ni kurogwa
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
I will never take shortcuts in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@phoebewandera8003
@phoebewandera8003 2 месяца назад
Mimi hapa nimewatch 2024
@tabbysteve7191
@tabbysteve7191 Год назад
Woiye mungu na anataja jina lako😭😭😭😭God have mercy on us
@cezzdankenya6812
@cezzdankenya6812 5 лет назад
Wherever you are and whatever you do may God bless you Moha....may he uplift you...you opened our eyes b4 you left ktn
@joelnaja9935
@joelnaja9935 5 лет назад
Yuko wapi Sasa?
@cezzdankenya6812
@cezzdankenya6812 5 лет назад
@@joelnaja9935 he is the m.p for Nyali constituency... Blessings I tell you
@millicentchelimo8867
@millicentchelimo8867 2 года назад
End time .God forgive us our sins
@princejustice6962
@princejustice6962 3 года назад
2021 mko. Piga like kama upo....
@johnwaigwa1744
@johnwaigwa1744 3 года назад
Mimi najaribu kugeuza shimo la Mavi nashindwa
@jolemerci2155
@jolemerci2155 2 года назад
Kazi nzuri mungu awabariki kwakugunduwa machafuko
@njambierastus8281
@njambierastus8281 3 года назад
Where did Moha go????? We really miss JICHO PEVU!!!! The only one true investigative journalist in Kenya!!!
@marimbushadrack3174
@marimbushadrack3174 3 года назад
He is a member of Parliament since 2017
@miriammwangi3328
@miriammwangi3328 2 года назад
That's what happens when one becomes a politician..they vanish
@mirydanny.6658
@mirydanny.6658 7 лет назад
dunia kwisa watapeli na neno la mungu .moha congratulations
@kensuccii
@kensuccii 7 лет назад
njeri nakusupport
@georgemaduga5170
@georgemaduga5170 5 лет назад
hatari fire konki,konkiiii
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 5 лет назад
All that that are done in darkness will be exposed thus says the lord
@rosenoah7347
@rosenoah7347 2 года назад
Imagine na People at the background are cheering him up 😭😭😭
@matokegilbert3772
@matokegilbert3772 2 года назад
Yes
@michellesnaidah6503
@michellesnaidah6503 Год назад
Even ruto will. Be punished
@laurencewanzala12
@laurencewanzala12 Год назад
Amen
@steveirungu3132
@steveirungu3132 Год назад
I refused to be ignorant so help me God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 🙏🙏🙏🙏🙏 in Jesus Christ name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@Kizigira
@Kizigira 5 лет назад
He goes for short call then continue to preach. OK he is a man of gods.
@jeidaandayi100
@jeidaandayi100 5 лет назад
Nyege ni hatari imagine unachapa mtu short unamleta church yenge zina confusion
@dianaigoko4871
@dianaigoko4871 2 года назад
😂😂😂ati shot 📞📲
@irenewanjiku620
@irenewanjiku620 2 года назад
@@dianaigoko4871 maybe juma hajui dfrence ya shot na short call 😂😂😂
@awinojuju8522
@awinojuju8522 2 года назад
God***
@catherinemueni1250
@catherinemueni1250 4 года назад
Kugeuza mdomo from morning till evening for 2k😂😂😂God see ur children....n u ask why I don’t go to church I would rather kneel down in my room n pray to my God
@robertsure146
@robertsure146 3 года назад
Siwezi 2 k tu
@vitisha8986
@vitisha8986 2 года назад
Juu yake pastor anagonga shot🤣🤣🤣🤣
@salmadashlaquimanelaquiman4427
Alhamdulillah Asante Allah kwa kuzaliwa muislam
@wanjikukaguara3900
@wanjikukaguara3900 6 лет назад
Salmadashlaquimane Laquimane ni magaidi pia Juana na Mungu pekee achana na dini
@iambetty1603
@iambetty1603 6 лет назад
Salmadashlaquimane Laquimane nakwambia
@yasintakulwa2354
@yasintakulwa2354 6 лет назад
Salmadashlaquimane Laquimane
@godfreynkya9271
@godfreynkya9271 5 лет назад
Dini haimpeleki mtu mbinguni ndugu zangu matendo yampendezayo muumba wako na kuishi sawa sawa na matakwa yake ivyo tu.ndo mana unambiwa njia ya kwenda huko ni nyembamba
@antoooa8664
@antoooa8664 5 лет назад
Uislamu ni magaidi
@gilbertotieno3984
@gilbertotieno3984 2 года назад
Safi Sana Ali. Hawa wahuni hulichafua dini na kulitumia kwa faida binafsi. Huyo siyo mchungaji. Ni tapeli tu
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 2 года назад
Bwana YESU Kristo atawahukumu tusipo tubu makosa yetu.
@steveirungu3132
@steveirungu3132 3 года назад
I'm a born again Christian by conviction and knowledge and I'm not ignorant so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine
@luciannahngata5633
@luciannahngata5633 5 лет назад
God is light, and in Him there is no darkness at all.
@vitreenandeth3457
@vitreenandeth3457 3 года назад
Ameeeeen
@anthonyonuti8473
@anthonyonuti8473 2 года назад
This njoroge pastor was a con
@maryjenga7664
@maryjenga7664 2 года назад
@@vitreenandeth3457 p
@vincentogutu1879
@vincentogutu1879 Год назад
1 John 1:5
@sharonelekisha2722
@sharonelekisha2722 3 года назад
I don't regret never going to church......
@anniekamande722
@anniekamande722 2 года назад
😭😭💔💔me too
@Mgultimate
@Mgultimate 4 месяца назад
Me too
@masala8099
@masala8099 4 года назад
Dini Ni moja ya kiislam tu ila imani ndyo nyingi ikiwemo imani iitwayo ukristo
@gracemoses3062
@gracemoses3062 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@elizebahomaoro7727
@elizebahomaoro7727 2 года назад
We only need the WORD, to guide us not to fall into Satan's traps!
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 6 лет назад
Mtawatambua kwa matendo yao... Eti ageuza mdomo..O.M.G have mercy USHINDWE KABISA!!!
@mahinditv342
@mahinditv342 Месяц назад
Huyo pastor ni umbwa mwito mtumbavu sana
@emmanueltemplar
@emmanueltemplar 2 года назад
This man conscience is seared with a hot iron. God is not mocked his day of reckoning is coming. Eternal punishment.
@patiencelizz3730
@patiencelizz3730 6 лет назад
Tuko nyakati za mwisho....
@aleemaviolet9978
@aleemaviolet9978 3 года назад
People have mislead the Christianity by doing exactly the opposite May Allah always save us
@ErickLenana
@ErickLenana 8 месяцев назад
Allah is not God😢😢😢😢
@nelsonkomen3735
@nelsonkomen3735 2 года назад
I believe church is just a big building but me personally can be the real church....I will never betray my Christ Jesus
@nicholasrono8552
@nicholasrono8552 Год назад
Nani bado anawatch 2023.. aki. This world.. mmmm
@elizabethfares4650
@elizabethfares4650 6 лет назад
Allah subuana wA tahala amewaona inshallah atajibu kwa wakati wake
@flyboychannel8139
@flyboychannel8139 5 лет назад
InshaAllah
@carolove3916
@carolove3916 5 лет назад
In sha Allah
@appskenya6114
@appskenya6114 3 года назад
If we don't repent of sin like this..Heb 12:14 shall be fulfilled...I quote "..for without Holiness, no one will see the LORD
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 5 лет назад
Da! Yesu alitabir haya. alisema dalili mojawapo ya siku za mwisho ni kutokea kwa manabii wa uongo wakitumia jina lake Yesu. ushaur wangu "ANGALIA SHETAN ASIKUTUMIE KUTIMIZA UNABII WA YESU"
@herimlelwa3497
@herimlelwa3497 5 лет назад
Mwenyezi mungu ndie anaejua kwa hyo hatuna haja ya kuhukumu..iwe kweli au sio kweli
@jakleengakleen1304
@jakleengakleen1304 6 лет назад
God bless you moha. Stealing in the name of the lord
@gikuyumnatty8691
@gikuyumnatty8691 4 года назад
2019 and am watching this was online doesn't forget
@denismugambi1143
@denismugambi1143 2 года назад
I will take you as a pastor but I will believe in God for miracles...
@teychriss3248
@teychriss3248 4 года назад
Hapo waumini hata uwaambie nn hakuelewi! Sijui hata sijui huwa wanafanywa nn wasifunguke macho! Yaani hizi mambo bwana ndio maana kibwetele aliwachoma kirahisi mno! Dah! Mbaya sana!
@babygurlll968
@babygurlll968 5 лет назад
Kenyans wengine ni hollywood..wana act vizuri sana
@The__plug__man
@The__plug__man 5 лет назад
Aki
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 4 года назад
Dunia iko mwisho
@blessdmum.7380
@blessdmum.7380 4 года назад
Nimejipata hapa 2019
@grandmasdaughter
@grandmasdaughter 4 года назад
Mimi 2020
@wambuimathai376
@wambuimathai376 5 лет назад
Si vizuri sana when the church falls short of expectations... Sio vizuri tena, yule anachukua ripoti ni mwislamu😢
@user-vh4rz4qp8z
@user-vh4rz4qp8z 4 месяца назад
Wewe pastor utachomwa sana ni mungu wewe
@veronicahadhiambo7545
@veronicahadhiambo7545 4 года назад
Judgement is waiting mnachafua wokovu wa Yesu
@beckybeto4328
@beckybeto4328 7 лет назад
God bless you Moha
@wembe7283
@wembe7283 3 года назад
The Irony in this comment
@ahmednuur8115
@ahmednuur8115 4 года назад
Mohammed Ali Unasema kweli bila kusema uwongo Like u
@aloycychuwa8887
@aloycychuwa8887 4 года назад
Yes I agree and like the You tube's terms of the services supplied to us.Thanks soo much.From Aloycy Chuwa.
@sherimhumble6930
@sherimhumble6930 6 лет назад
Hahahaa,unbelievable. Mungu atusamehe
@nikicaera8506
@nikicaera8506 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@paulnjoroge1249
@paulnjoroge1249 5 лет назад
God is Love and everything about Him is Love. If there is anything done without Love just know God is not there.
@minjirewambugu7905
@minjirewambugu7905 2 года назад
Not everything about him is love.He can get very very angry.He is a God of wrath,please preach that too.
@LETLOVELEAD-nn9nj
@LETLOVELEAD-nn9nj 2 года назад
@@minjirewambugu7905 His name is love
@millicentluvai1652
@millicentluvai1652 Год назад
Wee don't advantage of of love, that's nonce remember the you are talking about is Jesus,stop it,mtachomwa nyinyi ni wale ibilis
@tdlkonyagi5098
@tdlkonyagi5098 2 года назад
Pastor mpumbavu sana wewe; SUPPORT NOW kumbe tapeli. Mamae..
@anitharichard3725
@anitharichard3725 4 года назад
Ee mwenyezi Mungu Tunusuru hizi ni nyakati za mwisho Tunusuru hizi ni nyakati za mwisho ee mungu viangalie vizazi vya sasa mungu angalia kizazi changu
@abdulrahimowino1235
@abdulrahimowino1235 3 года назад
Alhamdulillah. I'm proud to be Muslim
@mikecorleone8296
@mikecorleone8296 3 года назад
Alshabaab are Muslims right?
@awinojuju8522
@awinojuju8522 2 года назад
Arabs are Muslims not alshbabs be Nice to muslims we are all one
@gracemwaura2648
@gracemwaura2648 2 года назад
Am proud to be christian
@evawangari2417
@evawangari2417 11 месяцев назад
Proud to be a Christian
@ErickLenana
@ErickLenana 8 месяцев назад
Idiot
@carolineshivoche885
@carolineshivoche885 5 лет назад
4:45 woi Jesus come back quickly and save the world
@partymussa2085
@partymussa2085 4 года назад
Mungu pamoja nas
@byrummungau8583
@byrummungau8583 Год назад
Pastor if you can't change he'll will change you ,,,,, usifanye utapeli kwa wanaanchi kujifaidi wewe ni pepo shetani wewe mungu akupige kiboko
@estherkituyi9890
@estherkituyi9890 Год назад
I went to this church at city kabanas Haha Ni mungu tu,Kwanza niliona ma bouncer waki chapa jama Kofi kwa mulagu..wheu...
@Dennybwoy4072
@Dennybwoy4072 4 года назад
Ooooh my dear Lord I pray waone watu Kama hawa siku dini zimekuwa biashara. Tena huyu ni haramu kabisa
@abdymah7369
@abdymah7369 6 лет назад
Alhamdulilah nmzaliwa muislamu
@godfreynkya9271
@godfreynkya9271 5 лет назад
Dini aimpeleki yeyote yule mbinguni amka akili.ishi sawa sawa na matendo ya mungu yamfuraishayo yeye iyo ndiyo ticket .AKUNA kitabu kilichoeleza dini zililetwa toka mbinguni
@zuwenahassan5080
@zuwenahassan5080 5 лет назад
Dini ya kweli ni Uislam
@saidalumuli4938
@saidalumuli4938 5 лет назад
@@godfreynkya9271 wewe Kama hujui Mambo ya dini acha
@godfreynkya9271
@godfreynkya9271 5 лет назад
@@saidalumuli4938 ww ndo kama ujui ukae kimya kwani akuna dini iliyoshushwa.sisi ni wa amini wa kristo yesu mm wala sina dini.sasa kama uislam ulishushwa na mtume mie sikuwai kusikia wala kristo yesu akuleta ukristo alitumwa ili wamwaminiye wasipotee ili wawe na uzima wa milele.yani ata iyo quran takatifu imetoka ndani ya biblia takatifu mmeichambua biblia ndo ikaanzishwa dini iyo ya kiislam au waamini mtume muhamad
@crespomaeromajigo6923
@crespomaeromajigo6923 5 лет назад
Uislam wako au ukristo wako sio tiketi ya wewe kwenda peponi tiketi ni matendoopp
@periswanjiru3253
@periswanjiru3253 4 года назад
2020watu wangu chawa ma postor wa uongo ndo wanafanya Kenya ilaaniwe na mungu, na bado watu wanaenda tu iyo church
@magaretnganga7021
@magaretnganga7021 6 лет назад
Merciful God how can you share your Glory with a man! Fight your battle Jehovah with these wolves
@malvodjokovic6636
@malvodjokovic6636 Год назад
How time flies🔥🔥🔥
@mercynelima4241
@mercynelima4241 4 года назад
Hata shetani anajua kijitetea kwa kitumia neno la mungu.
@jakee2041
@jakee2041 Год назад
Mungu baba, Mwana, Roho mtakatifu tusamehe dhambi zetu
@gladyssyombua3590
@gladyssyombua3590 3 года назад
saitan .......I remember how radio jambo used to bring him every night
@jonathankaranja5857
@jonathankaranja5857 2 года назад
Sasa Syombua.
@donmwasvlog5367
@donmwasvlog5367 4 года назад
Why is RU-vid recommending this 7 years later 🤣🤣🤣
@NabiiAmoh
@NabiiAmoh 3 года назад
😂😂😂😂
@agathamunyaka5868
@agathamunyaka5868 3 месяца назад
Am back here after listening to the twins… who else?
@georginamakena1660
@georginamakena1660 3 года назад
Kali
@david76948
@david76948 3 года назад
So sad, our true God will never never be mocked and they will not forever use God's name for self gain.
@pemitel
@pemitel 5 лет назад
God have mercy on us, remember your church Jesus
Далее
Перескочила цепь
00:16
Просмотров 65 тыс.
Jaramandia la uhalifu  episode 4 John Kiriamiti
19:37
Просмотров 1,4 млн
Vioja Mahakamani - Fake Dollars/Money laundering
9:22
Apostle  Worship 09 07 21
25:06
Просмотров 2,1 млн
Jaramandia La Uhalifu Episode 5
19:58
Просмотров 531 тыс.
Перескочила цепь
00:16
Просмотров 65 тыс.