Тёмный

Waislamu wanaoenda kufanyiwa miujiza kanisani | Nini tatizo? 

Straight Path Dawah
Подписаться 71 тыс.
Просмотров 124 тыс.
50% 1

Tafadhali subscribe ili uendelee kupata taarifa na video mpya kwa wakati unaofaa
+254722600533
+254777600777

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,5 тыс.   
@sifajacky7779
@sifajacky7779 3 года назад
Subhanah Allah Allah Akbarr. mimi ni muislam ambae nimetoka.kwenye ulokole, and I still believe in Jesus as prophet of Allah Subhanah Wataala. but I can't go back to church because I am in the hands of The Creator Allah Subhanah Wataala 💞Ya Hayy💞 Ya Qayyum💞 Ya Jabbar💪💞 Ya Razak 💞Ya Mujib duwah 💗💞🔥🔥💗💞
@yusufitael9664
@yusufitael9664 3 года назад
Jibu la bwana Yesu... Hao wanatoa mapepo kwa nguvu za mkuu was mashwetan belzebuli..Yesu katika injili. Waislam tunaangamia kwa kukosa maarifa!
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 10 месяцев назад
Subhanallah astaghfir llah yarab atuogoze sote waislam
@noahgilead6210
@noahgilead6210 3 года назад
I was a Muslim but I found light... Amen.. Christ is Lord and he is coming soon.He helped me discovere the truth Christianity is not religion it is a personal relationship with Christ
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 3 года назад
U were not Muslim Allah is the one who knows people their hearts. So Don't fool ur self
@tatujuma8781
@tatujuma8781 2 года назад
@@hajjiomary2383 yess...a true Muslim who knows wat is Quran is...will never ritad...
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 Год назад
​@@tatujuma8781even Muhammad swahada retaded ...😂😂😂. Would it be u a kurya ??
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 Год назад
Praise GOD . REJOICE FOREVER
@rhomarx9824
@rhomarx9824 3 года назад
JINA LA YESU, NI NG'OME IMARA, WENYE HAKI HULIKIMBILIA WAKAWA SALAMA !!!
@abouswaleh7375
@abouswaleh7375 3 года назад
MWENYEZI MUNGU AKUONGOZE NDUGU YANGU COZ KUMUOMBA NA KUMFANYIA IBADA YEYOTE YULE ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU NDIYO USHIRIKINA HUO YAANI KUMUELEKEA KUMTEGEMEA KUMYENYEKEA NA KUMTAKA MSAADA YEYOTE ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU HUYO AMEMSHIRIKISHA MOLA WAKE NA HUYO ALOMWOMBA HAIJALISHI AWE MTUME MUHAMMAD AU YESU AU HATA MALAIKA MKUU GABRIEL....MWENYEZI MUNGU ATUFAHAMISHE
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 года назад
@@abouswaleh7375 swadakta
@SiriliNachan
@SiriliNachan 3 месяца назад
​@@abouswaleh7375 kwahiyo point yako n nn ss
@enuelabunimkali9529
@enuelabunimkali9529 3 года назад
Jina la bwana mungu wetu ni ngome imara mwenye shida hulikimbilia na akawa salama!!!
@seebs1156
@seebs1156 3 года назад
Ameni yeye ndiye mtua mizigo
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 3 года назад
Alleluyah Alleluyah, Jesus is the true, way and life, in him your self, no other God but Yaweh.
@khadijakitsao5451
@khadijakitsao5451 3 года назад
I love that pastor MUNGU akubariki
@amisisylviaalusa5143
@amisisylviaalusa5143 3 года назад
Amen
@purity8246
@purity8246 3 года назад
Amen
@theblessedone7526
@theblessedone7526 3 года назад
Waislaam mnasumbuliwa na wivu. Alafu wengi wao hawajui dini wapo tu kwa kuvaa kanzu na Abaya ila matendo muozo mtupu. Alafu ninyi waislaam mwabeba uislam na mabavu na kukashifu dini zengine why???????? Christianity all the way 🙏🙏🙏
@daidibrahimadam482
@daidibrahimadam482 5 месяцев назад
all the way to hellfire
@theblessedone7526
@theblessedone7526 5 месяцев назад
@@daidibrahimadam482 koma mbwa Koko wewe nitolee komwe ka kopo la chooni mie
@Miriam84Akizimana
@Miriam84Akizimana 3 года назад
Every knee shall bow and every tongue 👅 shall confess that Jesus is the lord 🙏🏼
@Pixe_lify
@Pixe_lify 3 года назад
GOD AND JESUS WHO CREATED WHO??
@mishibaron5021
@mishibaron5021 3 года назад
Amen
@mishibaron5021
@mishibaron5021 3 года назад
@@Pixe_lify hiyo jiekee
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 3 года назад
@Beholdthehandbeholdthenail 😏😏😏😏😏😏
@ruthkuriakuria3693
@ruthkuriakuria3693 3 года назад
@Beholdthehandbeholdthenail ,Allah is the God creator of Heaven ,earth evrything.(Allah =Arabic language
@michaelkmwangi1315
@michaelkmwangi1315 3 года назад
God has been doing good to all through faith. It happen in many churches. It is not about religion but faith in works of God through Jesus Christ
@AbdulmajidHyder
@AbdulmajidHyder 3 года назад
Wallahi kazi kubwa hiyo Unayo ifanya sio kazi ndogo, Allah Akulipe Jannah. Part2 tunaisubiru In Sha Allah..
@miriam7186
@miriam7186 3 года назад
Kazi gani kubwa yuwa tafuta kujulikana apate mlo Kiki tu izo
@abumuadh1053
@abumuadh1053 3 года назад
Kazi gani kafanya? Zaidi ya kutumia channel yake kuueneza ukafiri! Ampa pastor jisaa aalike watu waje kumshirikisha Allah.
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Hapana anafunua maovu ya waislam waciojielewa Allah amlipe kher Inshallah
@nuruabdallah6692
@nuruabdallah6692 3 года назад
@@miriam7186 ww ndio unayetafuta kula dini yetu niyakutangaza dini si ya kutafuta sadaka kama nyinyi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Yesu atawaokoa tu sasa
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 3 года назад
Najiskia burdaaan kuuacha uislam mazima mazima, Yesu peke ake ndiye mwokozi wa ULIMWENGU.. YESU ANAOKOA YESU KRISTO ANAPONYA YESU KRISTO NI MUHUKUMU WA WANADAMU WOTE, KABILA ZOTE DINI ZOTE... NA BILA YA YESU ASITEGEMEE MWANADAMU YEYOTE KUMWONA MUNGU... YESU KRISTO NI NJIA, KWELI NA UZIMA, HAKUNA JANNAH BILA YESU...HAKUNA PEPO WALA MSAMAHA WA DHAMBI BILA YESU... #kwa kweli dini yangu niliipenda Sana, lkn nilipouchunguza ukweli na kujua wapi WANADAMU wamepotoshwa na wapi palipo sahihi, kwa kweli DINI YOYOTE ILE DUNIANI BILA YESU KRISTO NI UPOTOFU WA lusifa mwenyewe... Japo niliipenda dini yangu, Nilipoujua ukweli sikuwa na budi kuachana nayo milele...sintoirudia kamwe... Siwezi Rudi upotevuni kamwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
Yesu mwenyewe anaomba kuokolewa
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 3 года назад
@@StraightPathDawah tungo za kitoto Sana izo, Nishazizoea sasa
@brianngiela9294
@brianngiela9294 3 года назад
Hakika Yeshua Kristo ndiye njia , Asante Sana ndugu kwa kusimama katika ukweli wa Kristo ,anaponya,anaokoa,anaweka watu huru kwa ajili ya damu yake msalabani n kufufuka kwake,ALLELUYAH EMMANUEL
@nurdinsaleh4786
@nurdinsaleh4786 3 года назад
@@brianngiela9294 yees, Yan hatuokolewi na marehemu, ila twaokolewa na YESU KRISTO ALIYE HAI MILELE NA MILELE.... huku hakuna Cha sanaa za lusifa kwa madai maakatalluuhu wammsaaswarabuhhu walaaqin shuhby alah'm...ya kwamba hawakumuua Wala kumsalibu ila walifananishiwa mwengine....huo NI utapeli wa viwango... Ila YESU HALISI HUYU ALIKUFA NA KUFUFUKA ILI ULIMWENGU UPATE TUMAINI LA KWELI NA UZIMA WA MILELE KWA KIFO CHAKE... Haleluya to the lamb of GOD.
@theblessedone7526
@theblessedone7526 3 года назад
@@StraightPathDawah kwani unaumwa nini kaka. Au hukumu zao ni wewe utazibeba? Mind your business umeingia kanisani kuchunguza huna hata aibu. Ulionapi wakristo wakifuatilia watu kwenye madhehebu yao
@mikemwanza8027
@mikemwanza8027 3 года назад
There is no name Under sun given to men that they may be saved. The name Jesus is the name above all other names, powers, dominions and principalities. Now, believe in Jesus and receive your miracle today.
@shaanleishan9164
@shaanleishan9164 2 года назад
This is what I call maturity in religion. Sheikh na Pastor Mungu azidi kuwazaidia na kuwapa hekima ili zote tuishi kama ndugu na Dada. Mubarikiwe
@johnkiguru7434
@johnkiguru7434 3 года назад
The day we will put religious supremacy and competition aside is the day this world will be healed.We are all made by One God so let these other things come later
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Yeh only one God
@yusufomar1848
@yusufomar1848 3 года назад
Yes one not three
@ibrahimlucas9490
@ibrahimlucas9490 3 года назад
Better off you know the sake for you to be created
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Worshiping the only one who has neither father no son,😊ok!
@ibrahimlucas9490
@ibrahimlucas9490 3 года назад
@@fatimambaruku1833 that's all
@limelemon2916
@limelemon2916 3 года назад
👏👏👏👏👏PRAISE BE TO THE LIVING JESUS!!!
@priscillah6646
@priscillah6646 2 года назад
Amen 🙏
@thuriyabarwani5111
@thuriyabarwani5111 Год назад
Why should Allah (God )sometimes comes down to Earth in a human shape (as the Christians believe) somebody weak when he has got the ability of being Great(or remain Great)more powerful than a human,? He can do anything He wants where He is !
@haulamwanasiti9078
@haulamwanasiti9078 3 года назад
Allah atakulipa kwa kazi unayo fanya...Allah awaepushe ndugu zetu waislamu na mtihani huu
@adamomary2961
@adamomary2961 3 года назад
Aslm alykm as tupo Tanzania tunaomba mtukaribishe tuje kwenu tuwasaidie hao waisilam tunauwezo mkubwa wa kutibu kwa uwezo wa Allah
@neemamassame8183
@neemamassame8183 3 года назад
Kwa jina la Yesu kila goti litapigwa Filipi 2:9_11
@amisisylviaalusa5143
@amisisylviaalusa5143 3 года назад
Amen
@sallynyosh2835
@sallynyosh2835 3 года назад
Amen
@halimaomar2986
@halimaomar2986 3 года назад
Sa nyie mnapiga goti au munapiga Kofi😁😁
@jumjumsaid3552
@jumjumsaid3552 3 года назад
Wenye kuingia katika uislamu ndio wanaoipagania dini ya mungu kuliko waliozaliwa katika ,ndio maana naona mihadahara yote wengi ni wale walikuwa wakristo ndio wanapambana katika mihadhara mungu awalipe nyote kwa kazi mnayo fanya .
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 года назад
Kabisa
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Kweli tupo kimazoea
@halimaomar2986
@halimaomar2986 3 года назад
Sasa umesema..kwa sababu waliona ukweli ulipo na dini ya Allah n uislam na ukiipigania.basi Allah atakupigania siku ya kiama
@jumjumsaid3552
@jumjumsaid3552 3 года назад
Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika. ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ بِـَٔايَٰتِنَا وَكَانُوا۟ مُسْلِمِينَ ( 69 ) Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu. ٱدْخُلُوا۟ ٱلْجَنَّةَ أَنتُمْ وَأَزْوَٰجُكُمْ تُحْبَرُونَ ( 70 ) Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 года назад
@@sharonandisi4260 Pole Sana Allah akuongoze njia
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 года назад
Na hutaki kuingia peponi kweny maisha ya kifahar baada ya kufa
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 года назад
SubhanaAllah Allah atuongoze waislam.tuwe na Iman ya kweli
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 3 года назад
Amin
@theshawod5710
@theshawod5710 3 года назад
🤝🤝
@sarahkudoyi4371
@sarahkudoyi4371 2 года назад
Badala ya kufata watu na kuwahoji ilimradi mchafue jina la dini za wenzenu basi mngekua mnafanya bidii mnawaondolea hayo matatizo yao ya mda mrefu hadi inawasababisha kuwaleta kwa Yesu wapate ukombozi,,,yesu ndie njia ata mfanyeje!!!
@suleimansharjy9890
@suleimansharjy9890 3 года назад
Umenifurahisha Sana ndugu muandishi jinsi unavyompa nafasi pastor ili aelezee mambo yake,hivo ndivyo Mtume Mtukufu alivyotufundisha kuwa anapozungumza mmoja wenu inabidi asubiri hadi mwengine amalize kuzungumza usimkatishe,Umeniwakilisha kwa Kuonesha Heshima ya mazungumzo
@happytimes9747
@happytimes9747 3 года назад
Wakristo hawana miungu watatu Mungu ni mmoja tu, tunasema Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, sasa Mungu Baba niyule muumba wa dunia Mwana ambaye ni Yesu ni nafsi ya Mungu yani alitoka ndani ya Mungu ni pumzi ya Mungu, sijui kama unaelewa hadi hapo. Alafu Roho Mtakatifu ni nafsi ya Yesu ambaye ni Holy spirit sasa tukisema Mungu Baba Mwana na roho Mtakatifu haimaanishi kuwa tuna miungu mitatu ni Mungu mmoja aliye na nafsi tatu. Kwani Qur'an inasema Yesu ni nani? Baba yake nani? mitume wote wana Baba na mama Yesu Baba yake nani? Ndio ata tunasema ni mwana wa Mungu maana ni pumzi ya Mungu. Maana hata sisi wanadamu si tunasema tu viumbe wa Mungu ni Mungu alituumba? Sasa kama kanisani kuna pepo watu wanaponywa na nani? Maana wanapona hata wenyewe wanakwambia kweli wanapona hivi itakua ni shetani anawaponya ama ni nani?? HAPA LAZIMA KITAELEWEKA TU DINI
@kudramog6707
@kudramog6707 3 года назад
Aya adam baba ake nan
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 года назад
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iIbrHfYgukQ.html
@abumuadh1053
@abumuadh1053 3 года назад
Umejaribu kukwepa imani yako kwamba hamuamini miungu mitatu kwa kutoa maelezo ya kukanganya, Swali langu ni. Alipokufa yesu (kwa imani yako) ni mungu wangapi walikufa? Kama ni peke yake, bila shaka hao miungu hawatakua kitu kimoja. Na kama walikufa wote, mungu wa vipi huyu afa? Kufa nikua na kikomo, vipi mungu awa na kikomo? je yeye siye ALFA na OMGA? Na dunia ilikua chini ya maangalizi ya nani? Huoni huku ni kukanganyana?
@happytimes9747
@happytimes9747 3 года назад
@@abumuadh1053 hatuwezi kushindana maana mimi nakwambia mambo ya kiroho ambayo hayaonekani kwa macho ya mwili na wewe unaniambia mambo ya mwili cha msingi ni sisi wakristo tunaamini kwamba tuna Mungu mmoja na tunaelewa vizuri kile tunacho abudu
@happytimes9747
@happytimes9747 3 года назад
@@DonMooSTUDIO_Express sitabonyeza maana ni mashindano tu yako huko na mimi ninavyo amini Mungu ninaye muabudu sitaki kushindana na watu wengine huu ni wakati wa mtu binafsi na Mungu
@agnessngala3589
@agnessngala3589 3 года назад
Good explanation mtumishi wa Mungu asie na masikio asikie haya ajeni misingi ya kusini sote ni wana wa Mungu neno MUNGU ni yule yule jana leo na milele
@catherinemuthanje8431
@catherinemuthanje8431 3 года назад
Jesus will continue doing miracles , you like it or not .
@edithwangudi1348
@edithwangudi1348 2 года назад
Mungu mtie Pastor Ezekiel nguvu... He is a true man of God....kwake sibanduki, na Mungu atabaki kua ni Mungu.🙏🙏🙏
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 3 года назад
Shekh unashangaa Mombasa njoo kwa mamposa dar es salaam robo ya kanisa ni waslam wanashudia makubwa
@ashleypetertv5894
@ashleypetertv5894 3 года назад
It's called revival..halleluyah kila mdomo utakiri Yesu ni bwana
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 3 года назад
Na ndo wako wengi mpka unashangaaaaaaaa na wengi wao MAJINI Kama yote😁😁😁😁😁😁😁
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 3 года назад
Demonic spirituals 🤮
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 3 года назад
Amen happy to hear that from the side of Bulldozer
@halimaomar2986
@halimaomar2986 3 года назад
Subhana Allah..awajielewi ao.. muislam tabiti mwenye iman afanyi uo upuzi..na ukute aijasoma qur,an..juu qur,an tu ni tiba ya shida zote ..we musilete mchezo bwana
@ednamoraa817
@ednamoraa817 2 года назад
kweli kabisa Amen Amen pst Ezekiel mungu akutie nguvu mingi sana usidi kuomba
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 3 года назад
Hivi watu hudhania watakuwa waislamu bila kupata misukosuko...?Wallahi elimu ya tawhid ni muhimu
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 года назад
Tatizo kubwa ni udhaifu wa imaan ya kweli kwa baadhi ya Waislamu ni Wauslamu jina na mavazi tu.
@ummykheyr8325
@ummykheyr8325 3 года назад
Tuzidi kumuomba Allah atupe subra katika mitihani anayotupitisha tusiwe ni wenye kukengeuka
@saidiamiri4657
@saidiamiri4657 3 года назад
Shukran
@saidiamiri4657
@saidiamiri4657 3 года назад
S
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 3 года назад
Unajua tutofautishe kati ya dini na kazi za Mungu.Kazi za Mungu au utendaji wa Mungu juu ya watu wake aufungwi na udini tunaoutukuza. Unajua watu wengi tunautukuza udini nakuacha kuutazama uweza wa Mungu uliomo ndani ya mtu aijalishi ni wa Dini gani.Ndo maana Yesu hana dini wala Mungu hana dini.Maandiko yansema Mimi ni Bwana Mungu wa Wote wenye mwili,je, kunaneno ngumu lolote niliso liweza? Dini imekuwa inamiliki watu kama ndiyo imekuwa Mungu wa watu.Nikama ndiyo imeumba watu,Tukiondoa udini hatutabaguana.Ndo maana Yesu aliingia kwenye Masinagogi na aliingia kwenye Mahekalu.Kwa Mkristo Yeyote akiyatafakari maisha ya Yesu awezi kufungwa na dini juu ya kuufikia wokovu mkuu wa nmna hii.Hata kama shekhe anahubiri habari ya kuurisi ufalme wa Mungu mimi nitamsikiliza.
@Apostlesimonomari66
@Apostlesimonomari66 2 года назад
Allah akubariki zaidi Kwa maisha yako ewe Sheikh Ramadhan Kuria twakupenda Sana Kwa Kazi unayoifanya
@marykuria5819
@marykuria5819 3 года назад
Run to Jesus Christ he is the only one who can help you and set you free.don ' just sit and die with your problems.he is able to do the unthinkable
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
Run to God en not Jesus mummy...Jesus ako under God hakuna mungu wawili
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 года назад
Swali kwa wakati, omba du'a kwenye sujood, soma ayatul kursi na sura annas, falaq na ikhlas mara moja kila baada ya swala, unapo lala soma Baqara aya ya kwanza hadi ya tano, sura baqara aya ya 255,256,257,na aya 3 za mwisho ya sura hio baqara, sura nnas ,ikhlas na falaq
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 3 года назад
Upo sahihi kabsaa mimi nmeponywa na ayatul qursi nlikuwa sina amani juu yakuota ndoto mbaya hadi ukafikia mda nkawa naogopa kulala ila sasa nashukuru na sitojisahau tena naisima kila uingiapo kulala
@truthchannel5285
@truthchannel5285 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PheMaSXhljc.html
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Labda apate maruhani
@adorashid8029
@adorashid8029 3 года назад
Hapo umesema hakii Nabi Muhammad ndoo amesema اللهم صل وصلم علي نبينا محمد
@angelcecil4285
@angelcecil4285 3 года назад
Mungu mwenyewe hana upanguzi.If you believe in him it doesn't matter we ni ndini gani wala kabila gani.Mungu ni wetu sisi wote.
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 Год назад
Wakristo wanampa uzaifu eti ana mtoto na mshirika. Yesu ni nabii na ni mtu.
@seniorcade1784
@seniorcade1784 3 года назад
Anaye ponesha ni Mungu na mtu hafai kuomba kando na Mungu .....I'm worried to hear that Muslims are going to church kuombewa😭😭😭May God guide them to the right way.....I could hear others saying they never went to Mandarasa wala swala hawaswali...uisilamu Sio mdomo tu ..my friends in Islam let this be a warning,.tusome dini yetu...ili tusipotezwe..
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
May Allah guide them
@kenyan9739
@kenyan9739 2 года назад
@@StraightPathDawah hata si huko tu nai pia donholm wamejaa kwetu kwa usaidizi
@khadijamnayahe8011
@khadijamnayahe8011 3 года назад
Assalam alaykum warahamatullah wabarakatuhu,Shiekh Ramadhan In sha Allah,Allah akujalie kwa uwezo wake na nguvu zake uweze kufunguwa sehemu ya kufanyia maombi ya Ruqya kwa wenye matatizo mbali mbali,hata kama mambo magumu,ila kwake hakuna kisichokuwa rahisi akitaka,kikubwa ni kutokuchoka kumuomba yeye.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
Wa aleikum salam warahmatullahi wabarakatuh, inshaAllah iwe kama ulivyosema, shukran jazeelan
@jamillahhajega8198
@jamillahhajega8198 2 года назад
We should not just criticize we need to know what the problem is and the solutions to the issues
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 10 месяцев назад
Mashaallah tabarakallah sheikh wetu Allah akuogoze akupe afya njema
@lutfabdulrab5527
@lutfabdulrab5527 3 года назад
Subhana llah, waislam msiwe na iman ndogo hakuna uponyo wa maradhi ila kwa Allah na mola akupe afya Sheikh
@faridaali3279
@faridaali3279 3 года назад
Isn't Allah an Arabic word for God. Isn't God we all worship I mean Allah.
@theChristshow1
@theChristshow1 3 года назад
Jesus is the truth he is the healer
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 года назад
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iIbrHfYgukQ.html
@MsKimuluA
@MsKimuluA 3 года назад
Allah🤔🤔is not Allah God, Why do u have to be forced not to know God in your own language and relate with God (Allah) from a point of knowledge 🤔
@theChristshow1
@theChristshow1 3 года назад
@@MsKimuluA thats what you were lied and believed but Allah is not God, the name allah came with muhammad because there was no other book recorded Allah only Quran.. Muhammad was deceptive he deceived many people because he wanted to be powerful accross the Eastern countries They were no witnesses that saw muhammad receiving revelation from angle Gabriel all he did it was for his own benefit as we can see in Quran Allah claiming muhammad is the one to marry more wife than his followers this was for his own benefit. All he did was to gain and promise you lies that does not exist.the Quran also says Allah he is a deceiver the best deceiver
@kipiedhoabila4601
@kipiedhoabila4601 3 года назад
Islam is a beautiful. Life tests are there for everybody be it muslim or non muslim. Praying 5 times brings u inner peace and Allah feels that void inside u. Read quran too. Giv sadaqa. Help the needy. Everythng happens fr a reason. Maybe its fr the better. ALLAH SHUTS ONE DOOR TO OPEN A MUCH BETTER ONE. LOOSING HOPE IS NOT AN OPTION. JUST FOCUS ON YOUR DEEN. FOCUS ON ALLAH.WORK FR YOUR JANNAH. DUNIA MAPITO.JUST THINK OF YOUR DEATH EVERYDAY. IT LL KIP U MOTIVATED ON BUILDING YR AKHERA. PRAY MUSLIMS. DO PRAY WHOLEHEARTEDLY AND U WILL FIND PEACE.
@japhetcharo9660
@japhetcharo9660 3 года назад
For God so loved the world that he gave his only begotten son that whoever believes in him should not perish but have eternal life.
@jagenaught
@jagenaught 3 года назад
LOGICAL FALLACY OF CHRISTIANITY: Allah saved Jesus from dying on the cross cause he loves him more than some fictional character who loves to kill his son to forgive other's sin as if there's no other way to reach atonement without spilling blood. Secondly, blood isn't only way to achieve atonement. If God can't forgive without requiring sacrifice then that means He's either not merciful or omnipotent. True God can forgive without any conditions because His mercy is boundless. *Quran 4:157* That they said (in boast), "We killed Christ Jesus the son of Mary, the Messenger of Allah";- but they killed him not, nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjecture to follow, for of a surety they killed him not
@annkuya1446
@annkuya1446 3 года назад
@@jagenaught But we have eye witnesses who witnessed really Jesus being killed.So,we don't rely in any w other prophets who Never saw really Jesus with their eyes.The bible was written by eye witness who witnessed things that happened long time ago,during Jesus time and things to come. So we don't believe every prophets, because most of them are false prophets who will claim that there is another Jesus who has sent them.Jesus Christ finished His Work when He was in His universe, He never needed other fake prophets to Help Him to prophecie things He didn't mentione while He was still in His earth,Because He is The Beginning and The End.
@jagenaught
@jagenaught 3 года назад
@@annkuya1446 Who are the eyewitness? So far your claims fomy have evidences? Just name them. Also where did he say he was a god. One verse from the Bible. Was he a god or son of himself? Well Paul never met Jesus. How come he wrote and doctored the Bible many hundreds of years after the supposed death of Jesus? Where are the accounts from his disciples?
@jagenaught
@jagenaught 2 года назад
@@rayrayndiema Well critical thinking means what? Well Allah tells us in the Qur'an and we believe it. Critical thinkers deny creation and rub with concepts of evolution that make no sense and then mock the one who denies an iPhone for example was created. So what is your religion and foundation? The Qur'an isn't the criteria for you since you don't believe in it anyway.
@jagenaught
@jagenaught 2 года назад
@@rayrayndiema Also as a critical thinker, why don't you evade death? Where is the physical proof of your soul. Can you see it? Can you see the soul leaving the body?
@slimtaley1759
@slimtaley1759 3 года назад
Vipi Huyu Mchungaji anaye sema Usiangalie Dini na M/Mungu ametuleta Duniani Kwa lengo la Dini Hawa Ndugu Zetu waislaam Hawaujuwi Uislaam Wao hilo Ndio tatizo Kubwa .
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 3 года назад
Ni kweli wanakosea Waislamu kwenda kuombeawa Kanisani laki shida iko kwetu kwa sababu Watabibu wetu wa Kislamu kona nyingi,mtu anaumwa vibaya anamtafuta Sheikh hapokei simu au anajibiwa vitu vya ajabu unadhani Mgonjwa huyo atafanyaje?Ni wakati sasa sisi wenyewe Waislamu kutenda haki kulingana na dini yetu inavyoelekeza ili tumalize shida zetu wenyewe au unadhani mtu anaumwa mapepo akienda kwa mtabibu akamwambia mapesa mengi na hapo hapo anasikia Kanisani wanatoa mapepo bule hata kama ni uhongo ataenda tu ili aone kama atapata nafuu!
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 3 года назад
Ni kweli wanakosea Waislamu kwenda kuombeawa Kanisani laki shida iko kwetu kwa sababu Watabibu wetu wa Kislamu kona nyingi,mtu anaumwa vibaya anamtafuta Sheikh hapokei simu au anajibiwa vitu vya ajabu unadhani Mgonjwa huyo atafanyaje?Ni wakati sasa sisi wenyewe Waislamu kutenda haki kulingana na dini yetu inavyoelekeza ili tumalize shida zetu wenyewe au unadhani mtu anaumwa mapepo akienda kwa mtabibu akamwambia mapesa mengi na hapo hapo anasikia Kanisani wanatoa mapepo bule hata kama ni uhongo ataenda tu ili aone kama atapata nafuu,Kanisani unakuta mafuta ya upako garama nafuu ukienda kule bei kubwa!
@priscillanyakairo8750
@priscillanyakairo8750 3 года назад
Yesu ndiye njia kweli na uzima!
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
Mwenyezi mungu ndio njia ya ukweli na uzima sio yesu
@quenice4433
@quenice4433 Год назад
@@belphineisiaho3707 akuna mwenye atafika mbinguni bila kupitia Kwa mwana, yesu kristo
@newbwejuu4302
@newbwejuu4302 Год назад
​​@@quenice4433uzushi uo wapi yesu kasema ivyo? na Yesu ni kwa ajili ya taifa moja tu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Mtumishi Umeukonga moyo wangu,dini ni mapito tu ,Yesu pekee yake ndiye Anaokoa na Kuponya
@halimaomar2986
@halimaomar2986 3 года назад
Yesu Kwan ndio mungu..mwenyewe mpk amuombe mungu ndio apate nguvu ya kuponya...kuokoa jichanganye tu... utajua ujui siku ya kiama
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
@@halimaomar2986 sema MUNGU siyo mungu(mtu au asiye na uwezo),Anao uwezo ni Mwana wa Mungu na ni Mungu na ROHO pia ukimkubali utaona baadaye
@halimaomar2986
@halimaomar2986 3 года назад
@@trophywilson7211 sasa kama n mwana wa MUNGU..pia yy mpk aombe ndio MUNGU ampe nguvu.. kwaiyo Iman zetu ziwe kwa MUNGU kuwa ana ponya na kufufua
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
Usisahau yesu mwenyewe alikua anaomba Mungu ruhusa kwanza ndo afanye miujiza@
@brefaw
@brefaw 3 года назад
@@halimaomar2986 tafadhalini wacheni kukosoa dini yetu... kama your sheikhs and ustadhs have not taken interest in praying diligently for their people, why do you get mad when your fellow muslims go to our CHURCHES to seek GOD through OUR JESUS CHRIST??? Jisuteni wenyewe cause hamna aliyepiga parapanda akiwaita kwa pastor Ezekiel... wenyewe wajikokota na kuraukia kanisani!
@georgemungai3813
@georgemungai3813 3 года назад
Yesu, ndie atahukumu ulimwengu wote, wakati wa mwisho. Wafu, na wenye uhai. Wenye ndini mbila Yesu, watatupuo njehanamu, pamoja na ndini zao. Tafadhali, usiwe kikwazo kwa Mtu mwingine, kupata wokovu ama ukombozi wa shida yake. Mungu Baba alisema, kitabu cha Luka 9:35 Sauti ikatoka juu mbinguni ikasema, huyu Mtoto wangu, mumusikize, nafulahizwa naye. Mungu Baba hakusema mtu awe wa ndini, ya babu, ama wazazi wake, bali," asikize Mwana we. Watu wasima, munawaweka ndani ya itelenge cha Ndini. Mbinguni kuna Ndini ngapi? Njiurishe. Hakuna Ndini huko mbinguni, ila walio msikiza Yesu, masharti ya Mungu Baba. Maombi yangu, Mungu Baba awa bariki, na awape hekima ya Roho mtakatifu. Tukae kwa Amani, kama wa saledo, Katika Njina Lake Yesu kristo.
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
Cjaelewa ni mungu anaehukumu ama yesu?@george mungai
@farajagordon4724
@farajagordon4724 3 года назад
Safi pastor kazi ya kuokoa in ya Mungu watabadilika2 Mungu mwema
@hassanedin6487
@hassanedin6487 3 года назад
Subhanallah Allah atujalie mwisho mwema Allah Akbar laa ilaaha illaa anta subhanaka inii kuntu mina dhaalimin
@alhamiraji2546
@alhamiraji2546 3 года назад
Hao wanaoenda sio waisllam haswa
@annaw.2573
@annaw.2573 2 года назад
Exactly that's what Christianity is all about. Love without discriminating
@malikdodo5190
@malikdodo5190 3 года назад
This should be a wake-up call to all Muslims,...be cause "seeking for knowledge is an obligation to all Muslims". And i thank our daai Ramadhan kurya the great Islamic daawa spreading to Umma. May Allah eas your great job and reward u with Janna. Assalam alaikum warahmatil-llah wabarakatuhu
@mariamshemweta8880
@mariamshemweta8880 3 года назад
Kila la kher shekh allah akufanyie wepesi
@championalways192
@championalways192 3 года назад
Mtaongea yote mwaka huu nawaambia, waislam lazima waje kwa Yesu... alaa
@jagenaught
@jagenaught 3 года назад
@@championalways192 Yesu sio Mungu. Yesu ni Mtume. Wakristo wamepotea.
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 3 года назад
@@championalways192 jidanganyeni tuu ndugu yangu hao wanaokuja huko wote wanaenda kwa malengo yao wanaopewa hela ndio isha inayowapeleka
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 3 года назад
Anaekomboa ni Allah peke yake
@carolynewambui2747
@carolynewambui2747 3 года назад
THE PAIN THAT THE INTERVIEWER SHOWS TO THE WOMAN ,SHOWS HE HAS A DIFFRENT AGENDA .ATI THAMBI KUOMBEWA NA ASIYE WA DINI YAKO, SO IS NOT ABOUT GOD IS ABOUT RELIGION .THAT'S WHAT THE INTERVIEWER MEANS
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 3 года назад
The prayers won't go anywhere
@annkuya1446
@annkuya1446 3 года назад
@@ruwaidahadi7198 If she has faith like a Canaanite woman the prayer will Help her.But if she continue to fear her religion priest the prayer won't work.
@dixfreeman5586
@dixfreeman5586 3 года назад
Not only what he means but what it is
@ruwaidahadi7198
@ruwaidahadi7198 3 года назад
It never works plus it business thing to get money n fame 💰 💰 nothing to do with prayers
@jnrhassan4629
@jnrhassan4629 3 года назад
Thanks sheikh ramadhan kwa kuleta maficho nje .
@paulinedavid2166
@paulinedavid2166 3 года назад
Walitoa comment zangu kwakuwa nilimwabia Kila kitu ni Kwa YESU mambo yote AMEN 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 everywhere 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@theblessedone7526
@theblessedone7526 3 года назад
Irudishe Tena. Hii dini yao hawaniambii chochote
@godsservantrimo9844
@godsservantrimo9844 3 года назад
And whoever turns away from My remembrance - indeed, he will have a depressed life, and We will gather him on the Day of Resurrection blind." Quran 20:124 Tumebaki waislam majina tu...Innalilahi wainnailyhi rajiun.
@Asiyah2000
@Asiyah2000 3 года назад
Indeed Allahu akbar
@ibrahimsiddiq4018
@ibrahimsiddiq4018 3 года назад
Ila tuwaombee Dua ni ndugu zetu na pia tuoe wake zaidi ya mmoja Hadi wanne Kama uwezo upo na uadilifu kwa sabb wanwake madhaifu wallah binafsi hata huyo alokua akihojiwa Fatma naweza mstiri maadam yupo tayari na nimpende na kwa kufanya hivo huenda itakua sabb ya yeye kuwa mbali na kufru. Na zaidi kuwasomesha dini na hasahasa mambo ya aqeedah.
@Dr.zaidi4
@Dr.zaidi4 3 года назад
Sheikh mahojiano mazuri hila ikifika hapo kwenye kumtishia huyo mjane anayetafuta nusra katika vile vinavyomzonga wakati ashajaribu maustadhi hapa na pale, Mdadisi anaweza kuhisi fitina,chuki na kinyongo ambacho kimefichika ndani ya kanzu. Mgonjwa ama yeyote anayesetwa na majini utafuta afueni. Bora kuingia mahali mchana ambapo mambo yote yanafanywa dhahiri tena kwenye nuru kuliko kwenda mapangoni ama makaburini kufukiziwa hudi na kuchezewa kayamba kando kando ya mizoga. Hawo wanawake ni watu wazima na wanamuelewa mungu,kama wangehisi shirki wangekuwa washatoroka kitambo. Lakini kama wanasaidika vya kweli basi wataalikiana
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
Hamna chuki hapo Bali ukweli wa Mungu
@nasibndaro6281
@nasibndaro6281 3 года назад
Do men think that they will be left alone on saying ."we Believe" and that they will not be tested...? we did test those before them and Allah will certainly know those who are true from those who are false. {Quran 29 :2,3}
@iptisammohamed43mohamed17
@iptisammohamed43mohamed17 2 года назад
Allahu Akbar Allah sw atupe mwisho mwema atuepushe na fitna za masiihu dajjal waislam zindukeni jamaaniiii huu wakati wa mwisho msije kufa makafiri,laailaha illa anta subhanaka inna kunna Mina dhwalimiin
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 3 года назад
Jamani njooni arusha mwone ndugu zetu waislamu wanavyopokea uponyaji katika uponyaji hakuna udini wanaponywa wote ukifika arusha uliza radio safina utajua sifa yake wakenya wanakuja na wanaponywa sisi hatuna ubaguzi karibuni sana Ameen
@bsjgeh59getting11
@bsjgeh59getting11 3 года назад
Kabisa, nashindwa kwa nini waisalamu wana wivu kiasi hicho, mbona imani yao ni hafifu, mtu anao uhuru wa kuabudu katika dini yoyote, mkristo akiingia kwenye uisalamu hutapata kuwa mkristo analalamika, naomba Yesu awafunguwe ndugu zetu waisilamu ukweli, na wawache kuhukumu wakristu maana ni Mungu pekeyake atakaye toa hukuma. Pastor Ezekiel Mungu aliye mpigania Daudi, asimame nawe katika siku xote,
@natrinemweha8625
@natrinemweha8625 3 года назад
Kwa Yesu kuna uponyaji, one saudi Muslim told me that their Allah does not heal but he adds more sickness for them to die and go to jannah....Kila goti litapigwa na kukili kwamba Yesu ni mwana wa Mungu...May God open their Spiritual eyes.
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 3 года назад
😂😂🤮🤮
@rahmaferuz2776
@rahmaferuz2776 3 года назад
For muslim the best way to get mercy is from God. Not from people. As prophet Mhammad (S.A.W)said Muhifadhi MwenyeEmzi Mungu nawe atakuhifadhi, Muhifadhi Miwenye Enzi Mungu muweke mbele nae atakuwa mbele yako. Ukitaka kuomba muombe Mwenye Enzi Mungu, na ukitaka msaada mtake Mwenye Enzi Mungu. Na nnajua hakuna umma wowote utakaojikusanya ili ukufae kwa kitu hautakufaa ila kwa kitu alichokiandika Mwenye Enzi Mungu. Na lau kama watajilkuasanya ili wakudhuru hawatakudhuru ila lwa kitu alicñdandika Mwenye Enzi Mungu..,.... . imepokewa ña Tidlrmidhiyu
@aishaathman7340
@aishaathman7340 3 года назад
Ya allah nipe mwisho mwema. Ya allah usiichukue roho yangu hadi utakapo kua radhi nami.
@ahlalbeytmufwasiwaahlalbey8470
@ahlalbeytmufwasiwaahlalbey8470 3 года назад
Hawo siyo wa islam
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 года назад
Amiin Amiin kwetu sote
@kimonimbinda422
@kimonimbinda422 2 года назад
Yesu ndiye mungu mkuu wa kuabudiwa milele!!! Waislamu wanajua yesu Alipofanyika mwili Tu...uungu wake hawahujui ata wakae misikitini milele
@husseinhincha1846
@husseinhincha1846 3 года назад
Allah azidi kukupa nguvu sheikh wetu, waislam wengi dini yao hawaijui bado hawajajengeka kiimani, daawah inahitajika sana zama hizi maana ni mtihan
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Kwakweli unaanzaje kuingia kanisani
@truthchannel5285
@truthchannel5285 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QZuhFqWEoAw.html
@tatujuma8781
@tatujuma8781 2 года назад
Mitihani kweli kakangu...
@khadjahakamali-njufsk-7827
@khadjahakamali-njufsk-7827 3 года назад
SubhanaAllah, hawo ni waisilamu kweli au waisilamu feki,hawajui yakuwa anayetoa uwezo ni Allah peke yake,na uponyaji ni Allah peke yake, waisilamu jifundisheni dini yenu.
@achanifumos1093
@achanifumos1093 3 года назад
Mara nyingi sana watu wana vaa mavazi ya kiislamu km buibui kujificha sura zao wanapo fanya maasi ht ambao si waislamu...na km kuna waislamu wanao enda hapo basi ni wale ambao hawana imani wala ilmu ya dini...Allah atuongoze jamii islamu...amiin
@jamalimgonda6252
@jamalimgonda6252 3 года назад
Kweli Kabisa unayoyasema
@kaatayari9555
@kaatayari9555 3 года назад
Tunajua unailinda na kuitetea iman yako kama kitabu chenu kilivyo waamuru mfanye Madada wako vizur sana wanatafuta hafueti ya matatizo yao kwa MUNGU Alie hai Na si huyu MUNGU JIWE ALIEPO UARABUNI
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 года назад
@@kaatayari9555 kumbe kuna mungu jiwe uwarabuni?
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 года назад
Nakubaliana na wewe
@suzanjacob3672
@suzanjacob3672 3 года назад
Tena wewe shekhe ndio mzuri Mungu akushughurikie katika jina la Yesu hadi umkili YESU ndie Bwana na Mwokozi wa maisha yako.Hallelluuyaa
@catherinekuria1365
@catherinekuria1365 3 года назад
Beautiful platform to spread the gospel ,Jesus Christ loves all of us Muslim or Christian he is waiting for everyone to turn back to Him it's never too late there is power in the name of Jesus Christ
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
There is power in the teachings of Jesus only the rest achia God...ata jesu anajua God is more superior than him
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 Год назад
Barakallahu fiiqa yaa sheikh Ramadhani
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
Tatizo hasa ni kukosa subra wakati unapo pata mitihani na kukosa imani ya kweli Kutoka moyoni ndio inapelekea watu kwenda kuombewa na makafiri. Allah atupe subra.
@stevenmahimbo3132
@stevenmahimbo3132 3 года назад
Kwahio nikiombewa na nikipona napatazambi
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 3 года назад
Makafirii????, Mwite Yesu ataitika , don't judge imani ya mtu hata akiamini wapi, angalia mwenyew ni wapi wanakufaa ,maana Kila moja na roho yake cku ya mwisho, jaman Mungu aweze kutufungua
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 3 года назад
I mean ni wapi panakufaa
@euniceotuch741
@euniceotuch741 3 года назад
Mkafiri ni wewe unayehukumu ju hauna mamlaka,utakaponyanganywa hiyo pumzi ujipate jehanamu ndio utajua Yesu ni bwana wa mabwana ndiye Mungu wa kweli na ni yeye atakayekuhukumu siye mwingine.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
@@euniceotuch741 embu kajifunze kuandika kwanza. Mmeitwa makafiri na Biblia yenu sio sisi waislamu.
@estherkasua5645
@estherkasua5645 3 года назад
But isiwe huyu Sheikh ameeda hii church kuizolola, then tusikie imeripuriwa na boom. Juu vile najua huyo dada muisilamu, ameogopa sana kuhonjiwa na huyo Sheikh. I know if they know where she stay, they gonna finish her. May God protect her, in Jesus name Amen 🙏
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
Shika adabu yako
@mufid707
@mufid707 3 года назад
Jazakallah kher Sheikh Sheikh: Ramadhan. Wallahi tupo konye msiba mkubwa Waislamu tumogopeni Allah.
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 3 года назад
Subhanallah Shekh Ramadhan naomba Habari iwafikie mashee wa Mombasa Kazi yao kuu ni kushindana kuvaa makanzu mapya tu
@aminaamiri7684
@aminaamiri7684 3 года назад
Subhana llah maneno yako hayana hekma je Kuna shekh amtum maamuma kwend huko jibu n hapana je ulitaka wavae nguo kukuu
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 3 года назад
@@aminaamiri7684 Haukufaham nlicho maanisha Kwa sisi watu wa kawaidi Hekima zilishia kwa Luqman tu
@janegeogre3234
@janegeogre3234 3 года назад
kwa Yesu kila goti litapigwa!
@maryfeddy2798
@maryfeddy2798 3 года назад
Kabisa, hata nani apinge.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 года назад
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iIbrHfYgukQ.html
@gladystinah5928
@gladystinah5928 3 года назад
And every tongue shall confess that Jesus is Lord
@gladystinah5928
@gladystinah5928 3 года назад
Sure
@theblessedone7526
@theblessedone7526 3 года назад
Amen
@zahbenramadhan8765
@zahbenramadhan8765 3 года назад
Sheikh, mimi wazo langu nikuwa waislamu kuna masheikh na wanaweza kuomba na kufunga miskitini jiungeni nyote na mufanye visoma kama Ezekiel anafanya kihalal sawa na kama anatumiya mambo mabaya wakuvuta waislamu basi inshallah Allah atamdhihirisha
@akeem1221
@akeem1221 3 года назад
Pastor hana chuki and very cooperative.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 года назад
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iIbrHfYgukQ.html
@theblessedone7526
@theblessedone7526 3 года назад
Kabisa ingekua ni sheikh ndoanaye hojiwa ungeona visanga hapo na maneno mengi ya kejeli
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 3 года назад
Hata huyo shekh Naye Ana subra kwa ujinga wanaofanya waislam
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Anataka watu wajue Yesu ni Nani??anajua utamu wa Yesu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
@@fatimambaruku1833 angewaua kama Waislamu wanavyoua Wakristo au ??Angewafanya nini huku wana Akili Timamu??
@grace_gracious
@grace_gracious 3 года назад
Pastor Ezekiel n the team God bless you for spreading the gospel of God bolding as it should b ..more favor, anointing , protection of the blood of Jesus to you n the ministry & all that concerns you as you embark on God's work all for God glory , honour n praise !
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 3 года назад
Majini kiboko yake ni Kristu, ukiwa unayafuga kwamba yatakusaidia kuna siku yatakugeuka na asikudanganye mtu yoyote popote kuwa kuna jini zuri. Majini yote ni mashetani na yameshalaaniwa ,
@ciruj.m1910
@ciruj.m1910 3 года назад
Amen
@ghaniyashaban8737
@ghaniyashaban8737 3 года назад
Sheikh mashalla imefanyika vizuri kwenda mahali hapo kuzuia wa Islam kufika na kudhalilisha dini subhana llaha Allah atunusuru
@khadijamnayahe8011
@khadijamnayahe8011 3 года назад
Innalillah wa Inna ilaihy rajiuna,hao wote wanaokwenda huko Imani zao ni haba na kusoma hawayaki ndio maana wanapotea in sha Allah, Allah awazidue wajue upotevu wao amiina.
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 года назад
Innalolahi wainnailayhi rajioon, hii inaletwa ni upungufu wa ilm
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 3 года назад
Wallah hata huyo sheikh si lazima akuombee muislam wewe mwenyewe unaweza kujikaribisha kwa Mungu kuliko mtu mwengine. Imani zimepungua
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 года назад
Unasema imani hava na wenzio shida zao zinatatuliwa. Wasingekuwa na shida wasingeenda
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 3 года назад
Kabisa wallahi 😥
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 3 года назад
Amin
@finaaa0026
@finaaa0026 3 года назад
ndugu waislamu na wakristo msisahau kwamba imani yako ndiyo kauli thabiti mbele ya Mungu kwaiyo msidanganywe na viongozi wa dini ilhali pia wao ni wanadamu tu kma nyinyi........kumbukeni kwamba issa bin mariam ambaye ni yesu ndie atakae wakujia siku ya mwisho basi msimdharau kwakua yye ndie njia ya kweli na mtume alochaguliwa na mwenyezi Mungu atakae zuru mataifa yote........awe Sheikh ama Pastor asikuhukumu maana hukumu iko kwa Mungu na Dini ni moja maana Mungu ni mmoja
@montenomontana1716
@montenomontana1716 3 года назад
La hawla wallaquwatta illa billah,
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 года назад
Najaribu tu kupiga picha kama mchungaji angeenda msikitini kuhoji kama hivi, angepata ushirikiano anauopata hapa au angefurushwa na mapanga.
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 3 года назад
ALLAH awaongoze ndugu zetu katika Iman warudi kwa Allah
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 года назад
Allahumma amiyn
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 года назад
@Isaac Mwangi mwisho ukifika utajua tofauti ya Allah na jini!huu mchezo hauna dakika Za nyongeza!!!
@monicabh1668
@monicabh1668 3 года назад
ALLAH sio MUNGU.
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 3 года назад
@Isaac Mwangi AUDHUBILLAH!! YOU KNOW WHAT? LET'S WAIT AND SEE WHO AMONGST US WILL BE AT LOSE ON THE DAY OF RECKONING... LET ME NOT TOOK IT FAR, FIRST THE DAY DEATH SHALL OVERTAKE YOU, AHHH!! I THINK YOU WON'T REGRET IT.. AS FOR NOW YOU CAN CAN TALK ANY NONSENSE OF YOURS BECAUSE YOU THINK YOU FAR AWAY FROM THE ONE WHO MADE YOU AND BROUGHT YOU INTO THIS WORLD..
@rayhanrashid3928
@rayhanrashid3928 3 года назад
@@monicabh1668 It's okay !! You have your faith and I have mine.. not one forced you to follow Islam.. May Allah guid you to the straight path... you are fighting for the one (Jesus)who doesn't even know you..
@musaisandeko8352
@musaisandeko8352 3 года назад
Uislam ni Imani Sio mavazi sku iz weng huvaa hijab but hawana Iman na wengine huvaa kanzu na unawakuta wanapga kitmoto ivo wenye Iman tutulie kwenye njia ilionyooka
@kassimahmed1666
@kassimahmed1666 3 года назад
Maustadh wakusomea watu waache kusomea watu kwa pesa na pia wengine mabasha ndio maana yaja mambo kama hayaa wanasoma madua kaa zote na haviwi na pia katika kuponya kuna kupoa au kutopoa
@mzeeyahya2516
@mzeeyahya2516 3 года назад
@Kassim, Maneno Yako ni ya kweli, Maustadh wanaosoma Ruqya wameifanya kuwa ajira..
@hamadiselemani1110
@hamadiselemani1110 3 года назад
Yaani kassim umeongea kweli kule tunapenda kuombewa Bure maana ukiugua Hadi uchumi unayumba
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 года назад
Asante Sana kwa kuutangaza ukristo
@yusufathman2478
@yusufathman2478 3 года назад
Ahasiba nnaasu an yutrakuu an yakuulu aaamanna wahum laa yuftanuun.. walaqad fatanna ladhiina min kablihim falayaalamanna llahu ladhiina swadaquu walayaalamanal kadhibuun..
@aishamohamed9981
@aishamohamed9981 3 года назад
Waislamu wanahitaji Kusoma zaidi dini yao.. Mwenye kujua uislamu sawa sawa hawezi kufikia hapo walipofikia.. Tunawaombea sana wenzetu
@sifuelylyamuya9698
@sifuelylyamuya9698 3 года назад
Mtangazaji naona kajipatia namba fast a....pastor yupo right watu wawe huru kupokea Neno la Mungu
@mtorombwana3464
@mtorombwana3464 3 года назад
Understanding za watu ni tofauti, wengi tuna matatizo na njia zipo nyingi na kila mtu kwa mtazamo wake. Kwa pastor ama kwa sheikh, kwa mganga na hata kwa luminati, ni shida ndio hupeleka mtu kutafuta amani.
@belphineisiaho3707
@belphineisiaho3707 3 года назад
Yap ni vizuri mtu kukua na uhuru wa kuabudu lakini mbona uvae buibui au kanzu wakati Imani yako ya uponyaji haiko kwa iyo dini.si mtu avae tu kama venye hao watu weningine wanavaa...iyo tayari ni dalili ya kutojielewa@sifuely iyamuya
@emjey284
@emjey284 Год назад
Pastor ambia Tu waislamu ukweli ya kwamba yesu ndiye njia ya ukweli na uzima na hakuna atakaye enda kwa mungu ila kupitia kwa yesu...huwezi niambia tunaenda mbinguni na Imani sio Moja..mcristo au muislamu lazma ikuwe Kuna Ile njia ya kweli au njia ya moto siku ya Kiama..Jesus all the way
@iddyally7228
@iddyally7228 3 года назад
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 3 года назад
Mungu ndiye mwenye kibali ktk vyema vyote, ww unainterview huyo dada kwa kumtia hofu wakati yy mwenyew ndo mwenye imani yake ata siku ya mwisho atakuwa mwenyew, Kila mwenye kupitia kwa Kristo Naye ataokoka, ustazi karibu Kanisani Yesu anakupenda
@shabanisaidi2045
@shabanisaidi2045 3 года назад
Ukitaka kujua ukweli kuhusu dini Yako na ya mwingine, soma na uelewe sio ukariri maandiko. Hutabaki huko, na hao waislamu waendao kwa mchungaji hawana elimu ya dini yao
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@procymbelamzae7806
@procymbelamzae7806 3 года назад
Yesu ndiye jibu tu! 🙌
@jamessakaya6231
@jamessakaya6231 3 года назад
Wacheni watu wamtafute Mungu was kweli hata ulifanya juhudi za kuzuia watu kuja kwa Yesu ni kazi bure watakuja tena wengi zaidi ya hao maana Yesu ndio njia na kweli na uzima...
@abelyahubenyasharalbenyahu9656
@abelyahubenyasharalbenyahu9656 3 года назад
Come to me all you who are heavy burden. Ask and it shall be given to you,search and you will find,knock and the door shall be opened to you. For christ did not come to condemned the world but to save it from the great sin. Whatever you pray in my name,I will fulfill it.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Hawaelewi hilo
@shanimwakilima968
@shanimwakilima968 3 года назад
Ubarikiwe pastor Mungu anaangalia roho yako sio dhehebu
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 года назад
Nnachopenda kuwa wakristo tuna roho nzuri sana na upendo kazi kwenu wenye roho mbaya kisa dini
@jamalathman6219
@jamalathman6219 3 года назад
Hio ni ukosefu wa dini malezi na mazingira musitafute sababu,Allah awaongoze jamii islamu Ameen yarab
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 3 года назад
Ameen yaraab alamiin
@issaramadhan4015
@issaramadhan4015 3 года назад
Hongera shekh unajasiri mashaallah
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 года назад
Amiin Amiin
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 3 года назад
Huwezi amini uponyaji wa Yesu kama hujapata shida kwenye maisha yako, ukipatwa na mtihani then ukaombewa likaisha utakubali tu hata kwa kinafki, msiwazuie watu kwenda kupokea uponyaji wao.
@leocadiaonesmo8422
@leocadiaonesmo8422 3 года назад
Kweli kabisaaa
@makenakendi9014
@makenakendi9014 3 года назад
Sheikh ww ni simba wa ALLAH protect you from bad evils
@oscahinyangala1490
@oscahinyangala1490 3 года назад
Allah si MUNGU wewe Allah ni sanduku liko makaa Saudi Arabia
@makenakendi9014
@makenakendi9014 3 года назад
Wakati yesu akisema eloy eloy means ALLAH ALLAH
@anonymousavatar57
@anonymousavatar57 3 года назад
@@makenakendi9014 danganya wajinga dada... Eloi Eloi means My God My God. al lah Means the god.. It's Aramaic not what you want to portray
@makenakendi9014
@makenakendi9014 3 года назад
Means ni moja tafauti luga so god ni kiengereza eloi nikiibrania na ALLAH nikiarabu umenifahamu ndugu.
@anonymousavatar57
@anonymousavatar57 3 года назад
@@makenakendi9014 hehehe.. Eloi is a variant of Eli in Hebrew meaning most high.. Does allah mean most high? tafuta wajinga.. There's no reference of anything islamic in the bible. Christianity has absolutely nothing to do with Islam. Don't force that cult into our beliefs.. We have no relation whatsoever
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 года назад
Sheikh asante sana hii ni kazi kubwa,,kumshirikisha Allha,,sababu wanasema yesu anaweza, hii ni shirki kubwa sana,
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 года назад
Allah atunusuru
@anthonyonuti8473
@anthonyonuti8473 3 года назад
m.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-m68xiN5wgKo.html
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 3 года назад
Pull down those mabubui and rebuke those rubbish questions. Which sin right.
@dreamer4052
@dreamer4052 3 года назад
Above all God our Almighty sent fire to those people who are against your pastors... You love us without perciality
@mk-uf7th
@mk-uf7th 3 года назад
Sheikh Ramdhan we need to know more about this church and the Muslims that visit there.
@qerysir4410
@qerysir4410 3 года назад
Nobody forces them, and there's freedom of worship, freedom of assembly/association for every Kenyan.
@hassansumera7818
@hassansumera7818 3 года назад
@@qerysir4410 twayiib we need to know in details
@aminaamiri7684
@aminaamiri7684 3 года назад
@Mohammad abd ...hawawex sema ukwel kuhus hiilo church yao
@zahrajames5941
@zahrajames5941 3 года назад
Yes. We need to know so that we can enlighten them.
@mk-uf7th
@mk-uf7th 3 года назад
@@aminaamiri7684 sister its true that this few Muslims even though they still have some hayaa they go there to fulfill their worldly affairs, because kuna dada who was saying she has 4 kids, maisha imekuwa tough offcourse just like most Kenyans snd Africans today with COVID. In trying to change her destiny she tried mganga which she admits has taken money from her and her situation did not change in fact for the worse. To me looking at the ones interviewed by our beloved sheikh Kuria Bin Kaguwo they seem disconnected from their religion way back growing up. One of them said she has her share of troubles and never prayed and she is in her mid thirties. They are not day to day practicing Muslims. This sister may Allah guide her well, was honest she said her 4 children go to madarasa and there's still that fear of qiyaama and jahannam from the way she reacts to the interview. The other guy who calls himself pastor who has no zero knowledge about the Bible said he embraced Islam through his friends anbao walikuwa wana futa bangi and hashiish. They used to rob and do all kinds of things and was almost about to die either in the hands of police or overdose. So he never had any experience of practicing Islam and his tabia mbaya Muslim friends were bad role models. What I see most of the dawah preachers in Kenya today Alhamdullilah are former Christians who most of them preached the Bible and learnt it really well after they converted and then became experts in the Quran and Hadith way better than me and you who may say were born Muslims. So you the picture and for just basic and unjustified reasons this brothers and sisters end up in hell when the whole world is seeking the truth,purpose of life as well as the one true God worthy of worship with no partners or associates, is not born or does he beget a son and no one is like unto him here on earth and the even like Jesus himself taught and explained throughout his time on earth. I truly believe dugsi and madarasa should be free for every child and its our responsibility as able Muslims to support in that cause so that we get all educated. Way back attending Quran places used to be accessible but this days its a money making industry and with the struggles millions of Kenyans and Africans go through every day to put food on the table it will be difficult to sustain paying for madarasa and dugsi plus regular school fees. May Allah make it easy on every soul in Kenya no matter which faith or no faith they hail from and provide them a decent sustenance and remove poverty and sickness from all. We need to support Sheikh Ramdhan Kuria and other daais to address this problem.
@fadhililumbasi2820
@fadhililumbasi2820 3 года назад
Aslamu walehikum Asante sana Kwa ujaziri ustadi
@anthonyonuti8473
@anthonyonuti8473 3 года назад
I pity that Mama how she was indirectly intimidated by the interviewer Later she had to give out her number - I wonder what lecture she'll be given later out of camera.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 3 года назад
👇 *BONYEZA HAPA* .👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iIbrHfYgukQ.html
@gladystinah5928
@gladystinah5928 3 года назад
That means this Islamic religion is slavery,their allah is a punishing god unlike Jesus who is compassionate,loving,merciful, forgiving etc
@Pixe_lify
@Pixe_lify 3 года назад
@@gladystinah5928 lack of knowledge or failure to understand or understanding the bible lightly ati Lord Jesus ..A mere servant/messenger of God
@marychristiansen2990
@marychristiansen2990 3 года назад
Huyo ameyumbayumba, hatosaidika.. Msimamo muhimu
@annkuya1446
@annkuya1446 3 года назад
@@Pixe_lify A mere servant but He can Heal,He raise dead back to Life And He is the Best among all Prophets who Lives until today and every one will bow down before Him including all Prophets.Even You Educated man with your knowledge, You will bow before Him and Your tounge will confess that Jesus is the King of Kings until today wherever you like it or you don't like it .Jesus is the Final say.
@samueltsuma4568
@samueltsuma4568 3 года назад
waislamu.... huu niunabii lazima utimie someni isaya 60;1-7 ; waislamu jueni yakuwa jina la YESU ni jina linalo pita majina yote. matendo 4:10-12
Далее
PASTOR YAKOBO ASEMA UKRISTO SIO DINI, ASHANGAZA WAUMINI
1:04:43
MDAHALO WASLAMU WASHINDWA KUTETE IJUMA
27:13
Просмотров 827 тыс.
YESU WA TONGAREN AKATAA KUSULUBIWA (PART 1 OF 4)
1:04:47
Просмотров 245 тыс.
PASTOR ALIYEKUWA GAIDI AKUBALI YESU ALIINGIA MSIKITINI
1:22:40