Jamani wambea acheni amani itawale Kwa manara na Hali kamwe watangaze mpira wetu...mbona mna madongo ampendi wapendane acheni zenu...manara mpende sana Hali baba huyo ni mtoto wako ana baya kabisa...achana na wanafki hao..mpende sana uyo mtoto wewe unaswari naungu atakubariki tunakuombea na tunakupendaanara ukiwa na Hali kamwe...mungu awabaliki na maneno Yako ya hekima na Hali kamwe.