Muziki wa Chidi unauzwa mitandaoni, Chidi hapati pesa yoyote ,Nani huyo anaechukua pesa zake???? Kwa Nini hamlizungumzii swala hili,pengine ndiolinamchanganya Chidi.
You interviewers are so negative every time you talk of Chid ni madawa who said jamaa ni teja bado..muacheni mtu apate nafu ya akil…na kuna namna mingi za kumuongelea bila kumuhusisha na madawa..mnamuharibia tu hamsaidii kitu