Тёмный

MCH HANANJA ATOA FUNDISHO KWA MWIJAKU, KUHUSU NYUMBA, UTAPENDA MANENO YAKE 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 57 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 74   
@SeewaMwaka
@SeewaMwaka 8 месяцев назад
Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 9 месяцев назад
mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho
@Karen0001-v5c
@Karen0001-v5c 9 месяцев назад
Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha
@ASALABOY
@ASALABOY 9 месяцев назад
Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍
@PredeterKimrey-y2q
@PredeterKimrey-y2q 8 месяцев назад
Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 9 месяцев назад
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 9 месяцев назад
Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza
@OmanAl-s9l
@OmanAl-s9l 9 месяцев назад
Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 9 месяцев назад
Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,, Hategeki kizembe.
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 8 месяцев назад
Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 4 месяца назад
HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 9 месяцев назад
Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 8 месяцев назад
😂😂😂 hatari Sana
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 9 месяцев назад
Baba hananja nimekuelewa Safi sana
@aloycemathew3926
@aloycemathew3926 9 месяцев назад
Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤
@paschaljoseph2412
@paschaljoseph2412 9 месяцев назад
Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!
@izobinyoizobinyo
@izobinyoizobinyo 9 месяцев назад
Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana
@emmanuellwinga5686
@emmanuellwinga5686 9 месяцев назад
Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha
@emanuelvenanc8686
@emanuelvenanc8686 9 месяцев назад
sai kabisa
@PhortunataChilumba-dt4dh
@PhortunataChilumba-dt4dh 9 месяцев назад
Mungu akuzidishie majumba
@muhdybrown9083
@muhdybrown9083 9 месяцев назад
Huyu mtangazi yupo vizuri
@MichaelSungi-g6w
@MichaelSungi-g6w 8 месяцев назад
Hongera mchungaji
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 месяцев назад
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
@Satier47
@Satier47 8 месяцев назад
Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 8 месяцев назад
Amen!!
@musason1680
@musason1680 8 месяцев назад
Mchungaji wangu bora
@FridaUrassa-pj7yt
@FridaUrassa-pj7yt 9 месяцев назад
NIMEKUKUBALI KWA 100%
@LothAdam
@LothAdam 9 месяцев назад
Sanaaa
@bahatimwaigaga5947
@bahatimwaigaga5947 9 месяцев назад
❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi
@mussayusuph6568
@mussayusuph6568 8 месяцев назад
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 9 месяцев назад
Mchungaji nakupenda sana Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa Shekh mkubwa Tanzania
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 месяцев назад
Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@mangaluzacharia3511
@mangaluzacharia3511 8 месяцев назад
Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam
@jpmanotaofficial639
@jpmanotaofficial639 8 месяцев назад
Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko
@martinmkoba361
@martinmkoba361 8 месяцев назад
Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu
@MathewBernard-j3p
@MathewBernard-j3p 9 месяцев назад
Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 9 месяцев назад
Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 5 месяцев назад
Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake
@BrunoMakweta-dm5sb
@BrunoMakweta-dm5sb 9 месяцев назад
Nakupenda baba
@abubakarimchani8362
@abubakarimchani8362 9 месяцев назад
Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe
@allyndabe2458
@allyndabe2458 9 месяцев назад
hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 8 месяцев назад
Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu
@paschaljoseph2412
@paschaljoseph2412 9 месяцев назад
Nitano tena mchungaji Hanaja!
@moseskulola6913
@moseskulola6913 9 месяцев назад
Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB
@PhortunataChilumba-dt4dh
@PhortunataChilumba-dt4dh 9 месяцев назад
Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 8 месяцев назад
❤❤❤
@ramadhanimtiba834
@ramadhanimtiba834 9 месяцев назад
Naomba namba yake
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 4 месяца назад
NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 8 месяцев назад
Yuko sawa uyu Baba
@GeraldDanieltarimo-ke3ik
@GeraldDanieltarimo-ke3ik 9 месяцев назад
Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii
@emanuelvenanc8686
@emanuelvenanc8686 9 месяцев назад
salama kabisa
@KennethMgona-jy4vc
@KennethMgona-jy4vc 9 месяцев назад
🎉🎉
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 9 месяцев назад
Eti ...Mwijaku kama Pacome😅 Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri
@deathrow8004
@deathrow8004 9 месяцев назад
@teedullah5708
@teedullah5708 9 месяцев назад
Imekuwa kizaza a na mediya ya tz
@josephanthon8037
@josephanthon8037 9 месяцев назад
Mchungaji uko poa sn
@mwanjaaseif5229
@mwanjaaseif5229 9 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 9 месяцев назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 9 месяцев назад
Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 9 месяцев назад
Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 9 месяцев назад
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi
@francismanda74
@francismanda74 9 месяцев назад
Pacome 😂😂😂😂
@caissemalatinho252
@caissemalatinho252 9 месяцев назад
Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini
@martinmuthii1900
@martinmuthii1900 9 месяцев назад
😁👏
@SamiaKiliga
@SamiaKiliga 9 месяцев назад
Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 месяцев назад
Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 9 месяцев назад
Wanao mjua yesu Raha Sana, sio kama hao majini😊
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 9 месяцев назад
Yaani atoke sebuleni aende chooni..!?
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 9 месяцев назад
Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂
@Maryc2G
@Maryc2G 9 месяцев назад
Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.
@GeofreyChugulu-k6o
@GeofreyChugulu-k6o 9 месяцев назад
Vizuli baba
Далее
PASTER HANANJA AONGEA MAZITO KUHUSU MACKENZIE KENYA
16:57
БЕРЕМЕННА В 16 - 5 ВЫПУСК (МАМА В 16)
1:53:50
БЕРЕМЕННА В 16 - 5 ВЫПУСК (МАМА В 16)
1:53:50