Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi