Utalii wa ndani sasa unazidi kupamba moto siku baada ya siku siku hii inazihirisha kuona makundi makubwa ya watanzania kuamua kuanza kufanya utalii wa ndani katika Hifadhi tofauti tofauti nchini Tanzania
MR utalii Travel Show
tulipiga Kambi katika Hifadhi ya Taifa ya ziwa Manyara na kuona kina dada wakiwa na Shangwe mara baada ya kufika hifadhini hapo kwa lengo Ła kutalii
7 сен 2024