ما معنی وهابي ! اعتاد الناس أن یطلقوا کلمة وهابي علی کل من یخالف عاداتهم ومعتقداتهم وبدعهم ولو کانت هذا المعتقدات فاسدة تخالف القران الکریم والأحادیث الصحیحة لا سیما الدعوة إلی التوحید ودعاء الله وحده دون سواه. أطلق أعداء التوحید علی الموحد کلمة ((وهابی)) نسبة إلی محمد بن عبد الوهاب ولو صدقوا لقالوا ((محمدی)) نسبة إلی اسمه محمد, وشاء الله أن تکون ((وهابی)) نسبة إلی الوهاب وهو اسم من أسماء الله الحسنی, فإن کان الصوفي ینتسب إلی جماعة يلبسون الصوف, فإن الوهابي ینتسب إلی الوهاب وهو الله الذي وهب له التوحید ومکنه من الدعوة إلیه.
MAWAHABI SI AHLUSUNNA WALJAMAA. HILI JINA MNALIOORA KWA HAO MNAOWAITA MASUFI KWA KUKOSA JINA LA KWELI AMBALO HALIFANANI NA NANYINYI WALA ZAMA. MKAPORAJINAHILI KAMA MNAVUOPORA MISIKITIYAAO.
Www komaaa na usufi huko hujui jina ahlsuna wali jaamaa hawwkusanyiki katika uzusshi na bidaa ninyi ni maasuffi mmetoka katika njia ya ahlssuna wal jamaa kuharifu musingi yake ndo mkaitwa masufi upo akhy bado uhai upo karibbu katika sunnah utajifunza mengi na kujuwa haki na batwil saivi uwezi juwa sabu upo katika batwil
@@OmarShela-p2z Halafu anaekufurishwa huwa tunasubiri Maulamaa wenye kuaminika watoe hoja kwa Mujibu wa Qur an na hadith na dalili ziwe wazi na vikwazo viondoke ndipo nasi tutasema vilevile kama walivyosema maulamaa wenye kuaminiwa na Umma kwa sababu sisi hatujafikia kumkufurisha mtu sio kazi yetu ni kazi ya maulamaa.
Masufi hawana akili kabisa wanawaza kudance misikitini na kuburuta makanzu kama wanafagia barabara arafu ni wabishi kweli hawataki hakki kule jaambo likibuniwa na mtu yeyote anafanya haliulizwi limetoka wapi madamu anafanya shekhe wao hilo limepitishwa na hata liwe na kasoro limepingwa na mtume. Litafanywa tuuh madamu shekhe kasema
Ndo mnavyoddangaanywa na shekhe zzenu wa bidaa kuwa sshekhe. Muhammadi Abdul wahab pembe ya shetwani mnadanganywa kama wachunggaaji wanavvyottumia propaganda kwa waumini wao wa kikisto ili watu wasione hakki ndo ninyi shekhe zenu wamechanganyikiwa baada ya kuona vijana wamesoma wanarudisha watu katika mstari wa hakki huwezi juwa kwakuwa bado upo katika batwil huwezi mjuwa muhammad Abdul wahab. Naani karibu katika SUNNAAH umfaate mtume muhammadi uache uzushi na mabidaa
Utakuwa mwehu wwe unaefannya bidaa. Na ushirikina mana kuna masufi wannadijudia makaburi mpk leo na kukata viuno wanawake na wanaume kama wendawazimu fulani mndance misikitini na mafufu mpk nguo zinavvulika aixee namshukuru mungu kunitoa katika jafafa la usufi maaana msiba mkubwa kule hamna dini safi kila mtu anaamua jambo mkilipitishha. Ni ibada teyari haiangaliwi quruani na sunnah maddamu shekhe kafanya halipingwi hilo hata mtume awe kaakataza watu hawwjali kabisa duuuh kaka bado umepotea xana hata mimi nilijuwa wahabi watu wabaya lakini nilipofatilia nkajuwa wapo katika hakki