Mimi mwenyewe namkubali yaani ningekuwepo uko kwa uwezo wa ALLAH ningeudhulia hakika yaani anaongeaga kizungu japo sijui kizungu lakini naelewaga kabisa yaani naelewaga jamani oooh
Mm mkrist ila uyu Sheee nakubali sana Allah akupe maisha marefu ikikupendeza njoo kwa Yesu aliye hai akupe uwokovu wa milele, naomba waslam msinitukane mimi mwenyew namkubali ili akija kwa yesu atakuwa vzr zaidi
Millard hiyo Heading siyo sahihi. Hakuna mufti mkubwa duniani katika uislamu. Umepotosha. Kiongozi wa Dunia alikuwa Mtume Muhammad ( S.A.S) katika dini yeti ya kiislamu.