Makanisa yote aliyoyaanzisha Mungu kupitia huyu mtumishi canan Moses Mwasomola hata sasa yanastawi Ikiwemo Muungano SDA Church Geita. ❤❤❤ Mungu akupe maisha marefu Pr wangu.
Nimekumiss sana mzee wangu. Mungu akupe maisha marefu umalize kazi yake vema. Hongereni sana Magomeni SDA church kwa kumpata mtumishi huyo msema ukweli kama ulivyo.
Bwana Yesu Asifiwe sana Mchungaji Mwasomola. Bwana Akupatie Maisha marefu sana yenye afya njema ili tuendelee kupata maelekezo, hekima na busara toka kwako.
Ila kwenye mapambo dada zetu mnataka kuharibu image ya kanisa hiyo minywele huko juu ni ya nini? Kweli wasabato tumefika huku jamani? Wanawake wanawake mna matatizo gani likija swala la mavazi na mapambo? Mungu awasaidie sana
Jamani huyu mchungaji yupo sawa tubadilike kweli kama tunataka kwenda Mbinguni waklisto wenzangu tusaidiane na tuonyane ili sote kwa psmoja tuchuchumilie wokovu amina.