Kaka Watson habari za muda huu Kuna hili swali kati ya hizi gari mbili zote crown 2004 Toyota Crown Athlete Engine:4gr-fse 2.5L N/A Transmission:5speed Auto Curb weight:1630kg Vs 2006 Toyota Crown Athlete Engine:4gr-fse 2.5L N/A Transmission:6speed Auto Curb weight:1670kg Zote zina service nzuri, Ukipiga safari same destination,same driving style na uwe peke yako dereva tu. Je utofauti wa fuel consumption utakuwa mkubwa kati ya hizo gari mbili ukizingatia moja ina 5speed na nyingine 6speed?
Gari yenye mwaka wa mbele mara zote inakuwa nzuri katika kila kitu kuliko ya mwaka wa nyuma...na ulaji wa mafuta yenye gear nyingi inafanya vizuri zaidi kuliko, ya nyuma.
Mkuu naomba usifananishe E Class na vitu vya ajabu ajabu. Labda kama hujawahi kupata experience ya E class. Hata E class ya nyuma W112 ni kali kuliko hiyo Crown.
Unapoleta hoja hapa, itetee maana watu tunataka kujifunza, hata mimi mwenyewe sijui kitu, nataka kujifunza hivyo hakikisha unajenga hoja inayojenga, mtu mwingine akija kusoma comment yako apate kitu, mimi nimeeleza sababu zangu nawewe weka zako .
@@thecar_lovers_tz Mercedes Benz ni gari za status symbol. Hivyo zinatengenezwa zikiwa na kila kitu kuanzia luxury, comfort, safety, style na everything. Hizo Crown kama zilivyo Toyota zingine, zinabebwa na reliability tu lakini nothing about comfort utaipata kwenye Toyota Crown. Hivyo sio sawa kufananisha Crown na chuma za German. Mercedes inaweza ku compete na BMW, Audi and the likes.
Kwa mimi naona NISSAN FUGA tuiweke kwenye kundi la CROWN MEJESTA, ambayo ni superluxury brand ya Crown na faida ya NISSAN FUGA ukiachilia mbali V6 injini lakini pia inakuja V8... Kwa hiyo FUGA ipo juu ya CROWN pasipo ushabiki.