Тёмный

BILIONEA WA MA-RANGE, ALIYEACHA KAZI YA POLISI AWE DEREVA, ALIVYOKIMBILIA UINGEREZA, WAZUNGU WAMTII. 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 438 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 574   
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 4 месяца назад
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
@vemmusttraders-kw5sx
@vemmusttraders-kw5sx Год назад
Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽
@josephineotieno2389
@josephineotieno2389 Год назад
I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man
@pheymack6682
@pheymack6682 Год назад
Ungera mkuuu
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 Год назад
Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa
@festongonyani152
@festongonyani152 Год назад
Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA.. Mzee wa madungujeshi,kazi ni kipimo Cha UTU...
@EleziaNzowa-el7gi
@EleziaNzowa-el7gi 9 месяцев назад
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
@Jifunze_Kiswahili1
@Jifunze_Kiswahili1 8 месяцев назад
Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 10 месяцев назад
Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Год назад
Good story it touches life! You are hero Son of Africa keep it up! You have made it happen
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Год назад
Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine
@tomjohn1080
@tomjohn1080 10 месяцев назад
Bado sijaiskiliza poa, but kabisa millard ayo, angefanya ii kitu mwenyewe bwana uyu brother ni mtu mzito. Ana tu inspire vijana wengi, Salute kwake.
@mambazizephania
@mambazizephania Год назад
Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Год назад
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
@abigaelraphael5139
@abigaelraphael5139 Год назад
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Год назад
Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you
@rogersmaokola3147
@rogersmaokola3147 Год назад
Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana
@yama_virginhairthequeen1065
Me too my mom always says don't Quit 😢
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 Год назад
Yaani huku ulaya ubaguzi wa rangi sio mchezo hongera sana my brother KC umevuka mnoo one love Asante kwa kutia moyo tusikate tamaa❤❤❤❤❤❤💋💋💋
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Год назад
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
@lilyelisante-cl1sl
@lilyelisante-cl1sl 9 месяцев назад
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
@lyrics_forum
@lyrics_forum Год назад
Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli
@franklaurent4042
@franklaurent4042 Год назад
Huyu jamaa kwa kweli anastahili pongezi
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt Год назад
Mwandishi bana unataka kujua kiwango Cha pesa MTU ana kwambia anaingia zaidi ya makontena 20🙌🙌😃😃
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Год назад
Duh! huyu jamaa kweli amekaa ki Polisi Polisi, ongela mzee.
@user-rv7zt6tj3d
@user-rv7zt6tj3d Год назад
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
@user-dz3rl1ki6u
@user-dz3rl1ki6u 10 месяцев назад
Haha Yan kwenye kulegea miili na akili hapo umetisha
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Hongera sana kwa mafanikio,lkn hii interview angeifanya sky bundala aiseee tungepata madini mengi sana kutoka kwa huyu mwamba
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Год назад
Kweli kbsaa
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k Год назад
Oh!dear Lord i give all praise,honor and glory for us🙏🙏❤❤
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 Год назад
Wapo vizuri sana.Hongereni .Nikipata hela nitawatafuta mnabei nzuri
@victorchris5144
@victorchris5144 Год назад
Apart from business man, this guy is a comedian tho😂😂😂😂 #madungujeshi #babydungu😂😂😂😂
@paschalmichael7250
@paschalmichael7250 4 месяца назад
N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Год назад
Una hamasa sana mkuuu, hongera unatupa nguvu ya kuendelea kupambana sisi vijana.
@hodgebukaya5112
@hodgebukaya5112 Год назад
Kwanza Hongera Sana Bro, Ubaguzi Kweli Upo Katika nchi za wazungu, Lakini Wengine Walikua Sio wabaguzi Bali Walikua Hawakuamini.
@bilid4128
@bilid4128 Год назад
😅😅😅walikuwa hawamuamini
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 9 месяцев назад
Ubaguzi c nje hata hapa nyumbani hata ktk familia kikubwa Kila mtu apambane kuzishinda changamoto.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 месяцев назад
Nimejifunza kitu kizuri hapa. Salute kaka❤
@ismailkasago8408
@ismailkasago8408 Год назад
This geneous should be protected Ndio wanao tunza Ajira za watu wengi.
@robertnyenza2988
@robertnyenza2988 Год назад
Naona Madungu jeshi naMinada mingi sana East Africa ukiacha Tanzania, Mungu akusimamie
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 Год назад
Namkubari sana lukosi anafanya kazi kiulafiki pia ni mtani sana..
@abigaelraphael5139
@abigaelraphael5139 Год назад
Mungu hamtupi mja wake anaonekana ni mcha Mungu sana
@loitushulyamat2738
@loitushulyamat2738 Год назад
Hongera sana nasary kwa kupewa sifa ya smartness na smart person
@hegiselkok9888
@hegiselkok9888 Год назад
Kweli huyu broo wetu Nassary katuwakilisha, kaskazin hatokag fala
@ReubenMonyo
@ReubenMonyo 4 месяца назад
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
@hildaminja5148
@hildaminja5148 Год назад
Hongera sana. I wish ningeendelea. Woga unatukwamisha sana.
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 Год назад
Hongera sana jamaa ana nidhamu sana
@edgartemu8299
@edgartemu8299 6 месяцев назад
Hii interview ni kubwa Sana kwenye maisha yangu Daa!! Yuko positive sana
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 Год назад
Hongera sana,.. keep up the good work!
@allytv1714
@allytv1714 Год назад
Big up mzungu mweusi Mungu akuongezee zaidi
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 5 месяцев назад
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Huyu alitakiwq ahojiwe na mirad Ayo
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Год назад
Masha Allah ukijituma mungu atakupa tu kwani alishasema jisaidie nikusaidie
@contempo_builders
@contempo_builders Год назад
Well said.
@abelsimon2997
@abelsimon2997 Год назад
Hakuna fungu km Hilo kwny bibilia.jisaidie nikusaidie
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
Hivi huo mstari nasikiaga sana unapatikana kwenye kitabu gani?
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Год назад
Kwenye bible hakuna andiko kama hilo
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Год назад
@@zawadichalale4047 kwenye bible hakuna andiko kama hilo hayo ni maneno ya dunia tu
@respiciusjohn9936
@respiciusjohn9936 9 месяцев назад
Aisee mkuu uko vizuri, umenipa nguvu zaidi ya kusaka chambi, 🎉 bravo bro, umeni inspire sana!! Tuchape kazi vijana
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Год назад
Asante sana my brother Kwa ushauri wako mzuri sana
@StanslausMaregesi-nq2dm
@StanslausMaregesi-nq2dm Год назад
so far huyu jamaa anakitu kikubwa cha kuinspire vijana wengi wanaojitafuta.. big up sana kwake na kwa AYO TV
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥
@zaitunimwinuka6650
@zaitunimwinuka6650 Год назад
Tupo
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
Tupo baba
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
@@rebeccampeta6650 inapendeza
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Год назад
Kwetu kyela
@PaulPhilimon-mm6jl
@PaulPhilimon-mm6jl Год назад
Tupo wengi sana wa isanga
@cosmassanga9581
@cosmassanga9581 Год назад
Touching and powerful message . Kc team big up
@bernadlydia296
@bernadlydia296 Год назад
Good interview, kongole kwake umetupa madini ya kutosha sana bro big up
@LavishHatTV
@LavishHatTV Год назад
It's an exclusive Inspiration mashallah 👌💯🔥🔥🔥✅🔥 congratulations buddy ukija Kenya boss tucheki
@ThobiasWalila
@ThobiasWalila 4 месяца назад
Bg up
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Год назад
Kazi ni kipimo cha utu👏👏👏👏
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 Год назад
Hongera sana Mwalukosi
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Год назад
Wow it's amazing 😊
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 Год назад
Ndugu zanguni, Hongera Mr. Lukosi
@samniza1763
@samniza1763 Год назад
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
@halimaabubakar6702
@halimaabubakar6702 Год назад
Hongera sana brother ❤
@rapshinekenya1996
@rapshinekenya1996 Год назад
great inspiration
@hussainsikander9357
@hussainsikander9357 Год назад
Hongera kwa historia yako umetoka mbali
@gadisonmichael7805
@gadisonmichael7805 Год назад
huyu mwamba nouma sana nakubali kc mzee wa madungu jeshi
@antonyjrc5792
@antonyjrc5792 Год назад
Nmempenda huyu mzee na maneno yake ya kutia moyo
@experiuscyliro5313
@experiuscyliro5313 Год назад
Big up sana kwa huyu Mnyakyusa/Mnyalukolo
@rademm8924
@rademm8924 Год назад
Mhehe aliezaliwa Mbeya
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Год назад
Mtangazaji ongeza uwezo wa kufanya mahojiano, hasa maswali kwa mtu unayehojiana naye.
@alextanzania
@alextanzania Год назад
Chris anajieleza vizuri na ana sound kama vunja bei.
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 Год назад
wote wa nyanda zaa juu za kusini
@OmaryAlly-qo4rw
@OmaryAlly-qo4rw Год назад
Big up KC motors
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Год назад
UBARIKIWE zaidi 🙏🤝
@peternyambui7492
@peternyambui7492 Год назад
❤❤❤👏👏👏👍🏼👍🏼
@fiderebizimana319
@fiderebizimana319 Год назад
Nakubari mupambanaji Sana du ape kazi dufanye kazzzi naomba iniajiri sinakazi nabo reka uku sauzi wanaduteza wafurika wenzetu
@zephaniamayeye4902
@zephaniamayeye4902 Год назад
Excellent aiseee
@user-gu2nr1cf5g
@user-gu2nr1cf5g 11 месяцев назад
I can see your hard work
@rajabuamiri5202
@rajabuamiri5202 11 месяцев назад
Asante sana kaka umenijenga sana na kidogo nilichonacho
@karimabdallah8842
@karimabdallah8842 Год назад
Hongera Sana Bro.
@georgeosmund727
@georgeosmund727 Год назад
Milard set another interview na huyu blaza iwe exclusive.
@lucialeonard2675
@lucialeonard2675 Год назад
Nakuunga mkono
@user-jl1jy1ul7c
@user-jl1jy1ul7c Год назад
Umenigusa baba
@BrysonMayunga-lc6mq
@BrysonMayunga-lc6mq Год назад
Jamaa anaongea kwa kujiamini na amenifurahisha Sana very hustler❤
@ChristinaLumato-gq3ri
@ChristinaLumato-gq3ri 9 месяцев назад
Mungu akubariki sana kaka yangu
@allyhussein4625
@allyhussein4625 4 месяца назад
utupe namba yako
@mohamedomarikionga4681
@mohamedomarikionga4681 Год назад
I Can See Your Hard Work Brother!!
@kihozanakilimobiashara7969
@kihozanakilimobiashara7969 4 месяца назад
Umeni inspire sana bro,Much respect to you.
@IrakozeInnocent-gf8lt
@IrakozeInnocent-gf8lt Год назад
Kc love this from burundi
@ruffgan
@ruffgan Год назад
Weraaaaa. from Isanga to Ayo TV. Hardwork pays. We are Prouuud. Na bado game ndio kwanza inaanza.
@cymone6159
@cymone6159 10 месяцев назад
Mtu pekee sana anatu inspire Mungu akuinue zaidi
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Mashaallah najipanga nikipata pesa nakuja kuchukua gari
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Hongera sn ukianguka nyanyuka usikate tamaa
@zephaniampanya1138
@zephaniampanya1138 7 месяцев назад
your story has inspired me in deep
@geeva99
@geeva99 Год назад
Dah baby dungu imeenda kwa 11?!! Iyo fair sana gari nzuri sana iyo
@boy-pq6ow
@boy-pq6ow Год назад
Hongera sana uko vizuri.
@biasharaonline693
@biasharaonline693 6 месяцев назад
Afu hivi kwanin matajiri wengi waliofanikiwa hawajafika mbali sana kielimu 🤔
@salimmuhsin9907
@salimmuhsin9907 8 месяцев назад
Na mm sikati tamaa namini iko siku insha'allah ntafanikiwa
@queenraphaher7736
@queenraphaher7736 Год назад
Kaka Mungu akubariki. Namba za simu
@zablondeo551
@zablondeo551 Год назад
Nice nimeipenda
@abdalaahnaziru7315
@abdalaahnaziru7315 Год назад
Aisee mwenyezi mungu nimwema sana
@ezekieltozo923
@ezekieltozo923 10 месяцев назад
respect sanaa mkuu, umenimotivate sana, mbeya city on top
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Hongera sana 🙏🏿🙏🏿
@priscusmboya4300
@priscusmboya4300 Год назад
Boss hongera sana
@almasmanumbu7945
@almasmanumbu7945 9 месяцев назад
Mafanikio Ni Siri kubwa Sana ya mtu atasema yote lakini ile secret hawezi sema abadani mtakachoona Ni utajiri wake 😅😅😅
@Life_ofShacky
@Life_ofShacky 4 месяца назад
Anachokisema chriss kuhusu maisha ya Ulaya kama Stamp 2 dah n ngumu sana yan ngumu noma sana
@cmentertainmenttz
@cmentertainmenttz Год назад
Big up sana kaka,pambana,mm nataka hicho kigari cha ten million
@theuriwamuigai2003
@theuriwamuigai2003 Год назад
Umetoka mbali watching from Kenya
@user-km8vu3xc4w
@user-km8vu3xc4w 10 месяцев назад
Aminia father naomba namna yako,ahsante
@AlenKinyina
@AlenKinyina Год назад
Hongera sana brother wewe ni mpambanaji , acha kabisa life la ubaguzi lipo , Ila unavyokomaa ndivyo unavyopenya kwa neema tu. Nilbaguliwa darasani uko UK lakini niliibuka Kama best student
@jameshagwe3063
@jameshagwe3063 Год назад
Hongera sana kaka
@fatumasaid9882
@fatumasaid9882 Год назад
Kwel kaka mtaj wa maskin ni nguvu zake mwenyewe
@user-mg1vf5gv3p
@user-mg1vf5gv3p 10 месяцев назад
Hongela mjomba mungu akubakiki
Далее
Недооцененный котел в Симс 4
00:37
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 486 тыс.