Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
Hongera sana brother wewe ni mpambanaji , acha kabisa life la ubaguzi lipo , Ila unavyokomaa ndivyo unavyopenya kwa neema tu. Nilbaguliwa darasani uko UK lakini niliibuka Kama best student