Тёмный

Victoria Nazah - Nataka Nikuone (Official Video) 

Victoria Nazah
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 132 тыс.
50% 1

Victoria Nazah - Nataka Nikuone (Official Video).Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital

Приколы

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 62   
@DottoMpapi
@DottoMpapi Месяц назад
2024 Nataka nikuone Yesu,,nitangaze wema wako
@aggybona7658
@aggybona7658 8 месяцев назад
AMEN nataka nikuone kwenye maisha yangu YESU
@edrayayoub1600
@edrayayoub1600 6 лет назад
Huu wimbo siwezi kulala bila kuusikiliza kwani unanibarika sana nikiusikiliza huku nautafakari na kutafakari makuu Mwenyezi Mungu atendayo, Mungu awabariki ktk utungaji wenu na uimbaji wenu
@bahatadof5543
@bahatadof5543 Год назад
Nyimbo nzuri Sana, mpo wapi jamani toeni nyimbo Basi toahata kolabo na Mama Amani vaileth Mwaisumo it's hit sana
@maulusmgala92
@maulusmgala92 5 лет назад
Hakika Bwana aendelee kuwaonekania Mtashinda na zaidi ya kushinda Msimtumainie mwanadamu maana hana mbingu ya kuwapeleka
@vicentngobile4087
@vicentngobile4087 5 лет назад
Amina...! nyimbo nzuri saana.... mbarikiwe saana watumishi wa jehova....
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 7 лет назад
ukweli nawapenda sana saying bendi Ila mgogo ariharibu kukimbilia dar. turibarikiwa sana na album ya Kwanza. mungu awatie moyo sana.
@joshuaisaya8721
@joshuaisaya8721 4 года назад
Mungu akubariki dada akuongezee uwezo unaimbia vizur
@frankmahalanha952
@frankmahalanha952 7 лет назад
Mungu wa mbinguni azidi kuwaonesha yote yawe mema kwa kwel. nawapenda saana kama Mtumishi wa Bwana
@mosessichela9915
@mosessichela9915 5 лет назад
Huu wimbo unanitoa machozi kila nikiusikia unanikumbusha mbali sana nawependa sana sayuni bend mungu awabariki kwa kazi nzuli
@stephanomwinyi2
@stephanomwinyi2 Год назад
Emeni my sister
@elimuelias409
@elimuelias409 4 года назад
MUMEBARIKIWA SANA NDUGU ZAANGU.....NATAMANI SANA KUFANYA INJILI NA NINYI WATU.. HII BAND YENU SIO YA KAWAIDA INA UPAKO WA AJABU SANA
@jonasmusa4325
@jonasmusa4325 3 года назад
Libalikiwe
@nazaeljohn8943
@nazaeljohn8943 6 лет назад
Mungu hashindwi na jambo lolote lile msikate tamaa endeleeni kupambana
@nyassaalbertina4051
@nyassaalbertina4051 7 лет назад
hingereni sana kwa nyimbo zenu zinanibariki sana,Mungu awazidishie vipaji zaidi Amina
@boniphace1
@boniphace1 2 года назад
Nikipata pesa hii Band ni ya kuishika mkono
@fredymaluda9491
@fredymaluda9491 7 лет назад
MUNGU awabarki sana sayun band jaman nambarkiwe sana nafatiria sana kz zenu nawapenda sana naona dadang umezba pengo La mgogo ubarkiwe sana dada na wote kwaujumla jaman mbeya mnapatkan sehem gan cku nikija niweze kushrk japo hata ibada moja na nyinyi
@sinzasoundbandtanzania6200
@sinzasoundbandtanzania6200 7 лет назад
Nawakubali sana kwa kazin zenu nzuri za Kiroho. Mungu aendelee kuwabariki Sayuni band.
@mathiasglyotogeorge8989
@mathiasglyotogeorge8989 6 лет назад
Mtanzania Junior mungu wabariki watumishi wabwana
@happyamos2636
@happyamos2636 6 лет назад
Mungu azidi kuwapigania watumish wa mungu
@kelvinkibassa4320
@kelvinkibassa4320 7 лет назад
Barikiwa watumishi wa Mungu,mnahubiri kwa njia ya uimbaji.Yesu awatunze.by Pearl
@victorianazah
@victorianazah 7 лет назад
+kelvin kibassa Ubarikiwe enderea kubarikiwa
@hellenstanley5407
@hellenstanley5407 2 года назад
God bless u
@simonbilumbago1359
@simonbilumbago1359 7 лет назад
pole watumwa wa bwana mungu azidi kuwabariki
@rhinaregina5806
@rhinaregina5806 6 лет назад
Napenda sayuni choir. Mgogo ameowa ametoka kwa hii band poleni sana muta muona Yesu sayuni band don't give up
@swahiligamertz8727
@swahiligamertz8727 4 года назад
Muuinuliwe juu yesu atatenda kwenu
@comingsoon8353
@comingsoon8353 6 лет назад
Be blessed servant of God
@lilianjosephat9242
@lilianjosephat9242 6 лет назад
Nabarikiwa sana na ujumbe mzito ulimo ndani ya wimbo, Mungu awabariki sana.
@karoltunduli107
@karoltunduli107 7 лет назад
Kazi Nzuri, Mungu azidi kuwabariki na kuwatumia kwa ajili ya utukufu wake
@sekerasakad2341
@sekerasakad2341 7 лет назад
barikiwa na mungu wetu.mtangaze wema wake.
@elizawilfred7107
@elizawilfred7107 5 лет назад
mungu hatawaacha kamwe katika kutumika kwenu,mwanibariki ,amina
@favouredblessed1642
@favouredblessed1642 6 лет назад
wow, nataka nikuone Bwana. God bless you watumishi.
@marclynesidi5510
@marclynesidi5510 2 года назад
Amen
@maidafrancis45
@maidafrancis45 6 лет назад
Huu wimbo umenipa feelings za mbali sana mbarikiwe sana waimbaji
@ashajafari6583
@ashajafari6583 4 года назад
sayuni band mungu awabariki san
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 7 лет назад
Nnawaelewa sana sana. Huyuu Yesu anastahili sifa
@shukurumsite1106
@shukurumsite1106 6 лет назад
Mungu awabariki sana
@scholastikakayanda7932
@scholastikakayanda7932 6 лет назад
Safi sn nawapenda sn jamani
@pendomwambogolo6179
@pendomwambogolo6179 6 лет назад
mbarikiwe kwa wimbo mzr
@pendomwambogolo6179
@pendomwambogolo6179 6 лет назад
nawapenda sana jaman dah wimbo huu unanifariji sana kwa mengi mbarikiwe sana na mungu wa mbingun
@eunicekimbio9158
@eunicekimbio9158 6 лет назад
Amen mbarikiwe zaidi
@ayubumwakasole4992
@ayubumwakasole4992 5 лет назад
Nataka nikuone bwana
@yohanacharles4599
@yohanacharles4599 6 лет назад
Nawaombea mfikie makusudio yenu !!
@yohanamichael5462
@yohanamichael5462 5 лет назад
2019 nataka nikuona Yesu
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 лет назад
Amen, nice song
@omarymwanaidi8064
@omarymwanaidi8064 6 лет назад
mbarikiwe
@gracechacha6651
@gracechacha6651 5 лет назад
Ubarikiwe xn
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 лет назад
amen
@neemajoseph8155
@neemajoseph8155 7 лет назад
kazi njema sana watumishi
@devotharamadhan6574
@devotharamadhan6574 7 лет назад
mungu awabariki sana
@fredymaluda9491
@fredymaluda9491 7 лет назад
cna chakuwapa lkn naombea mpate kuifanya kz zaid namfanikiwe zaid yan mpo vzr sana kwa kila kitu producer wenu yupo vizr video zenu zinaonyesha uhalisia wa mkoa wetu wa mbeya mbalikiwe sana
@thomjonh5231
@thomjonh5231 5 лет назад
K
@andreajeremia436
@andreajeremia436 6 лет назад
Emmanuel Mgogo,yuko wapi.?
@leonardprotas5977
@leonardprotas5977 7 лет назад
Nautafuta ule wimbo unaosema "NYAMAZA ACHA KULIA" nitaupataje?, otherwise mnafanyiaka baraka sana kwangu!
@bonifasadamu563
@bonifasadamu563 6 лет назад
leonard protas andika festina mwadwanga
@agnesssanga3133
@agnesssanga3133 6 лет назад
Hv ety album yao ya Kwanzaa inaitwaje
@victorianazah
@victorianazah 5 лет назад
Iko wap njia
@innocentnyanza3798
@innocentnyanza3798 5 лет назад
Thank your
@nininahazwemireille4062
@nininahazwemireille4062 7 лет назад
mme nibaliki sana Mungu awabaliki sana. mnaweza kuongea na mimi hapa aa2951140@gmail.com naomba
@beatricegunu5118
@beatricegunu5118 5 лет назад
Why do you show this bad roads in your videos
@DottoMpapi
@DottoMpapi Месяц назад
2024 Nataka nikuone Yesu,,nitangaze wema wako
@simonbilumbago1359
@simonbilumbago1359 7 лет назад
pole watumwa wa bwana mungu azidi kuwabariki
Далее
Sheria ya Bwana
9:45
Просмотров 3,2 тыс.
▼ЮТУБ ВСЁ, Я НА ЗАВОД 🚧⛔
30:49
Просмотров 291 тыс.
TUGUL- EMMY KOSGEI (Official Video)
5:31
Просмотров 47 тыс.
NISIAIBIKE  -  JUDITH OKOTH
5:37
Просмотров 1,7 тыс.
Victoria Nazah - Hossanah (Official Video)
5:41
Просмотров 18 тыс.
KAMA SI BWANA.
8:38
Просмотров 295 тыс.
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05
Uso Wangu
9:52
Просмотров 115 тыс.
The end 😂😂😂 #viral #shorts #funny #fails
1:00