Тёмный
No video :(

VIDEO: AROBAINI YA MTOTO WA MARIOO NA PAULA, KAJALA NA MAMA MARIOO KWA PAMOJA WAMSOMEA DUA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 179 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 164   
@MoniraAbuu
@MoniraAbuu 2 месяца назад
Mashaallah yani apo wangefunga ndoa kabisa ingependeza zaidi Allah awafanyie wepesi watimize jambo la heri❤❤
@CandidaTemba-up5yj
@CandidaTemba-up5yj 2 месяца назад
Ooo this is so nice God bless them forever❤❤🥰😍
@Milanorock
@Milanorock 16 дней назад
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉mashallah
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
Dua inasomwa kichwa wazi Subhannallah 😢. Haya hatimae mama wa Marioo aonekana sasa
@husnaabubakar7144
@husnaabubakar7144 2 месяца назад
Si ameva buibui na mtandio wa Black alafu akabadilisha
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
@@husnaabubakar7144 Kwahy hapo sio muda wa dua? Km sio muda wa dua sawa
@bintyk5149
@bintyk5149 2 месяца назад
Mama ake omy kama hajawahai kumuona mjukuu wake anamuangalia kwa kuibia😢
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu 2 месяца назад
Huyo ndo alikuwa anamfanyisha mazoezi yakutembea Paula kama hujui
@PitaMwinuka-o6k
@PitaMwinuka-o6k Месяц назад
Hongeren
@samhasuleiman7673
@samhasuleiman7673 2 месяца назад
Mmemuona Amara Anchzea face ya dady ake ❤
@mohamedmahmudali9346
@mohamedmahmudali9346 2 месяца назад
Mtihani mtupu hapa , ukosefu wa kuijua dini na kuhafilika na matamanio ya Ulimwengu,inapelekea watu kuishi kama vile mbuzi aliekata kamba eti hela inaongea , wenye uwelewa wameshaelews,zaidi ninani atamfata mwenziwe kwenye dini yake ? COME back to Allah💪
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 2 месяца назад
Wamependeza sana mashaallah
@Rinnickbenard
@Rinnickbenard 2 месяца назад
hongereni sana mungu awatunze
@Sabina_Thomas
@Sabina_Thomas 2 месяца назад
Hongera Dana mdogo Angu Paula mungu awatunze
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 2 месяца назад
Nimefurahi kumuona mama Marioo.
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 2 месяца назад
Yaani ! Wambea wamezibwa mdomo
@PetroagustinoMgina
@PetroagustinoMgina 2 месяца назад
🎉🎉hongera Mario kwa kupata jiko zuri lakin muoane huoni wa2wanapenda maneno mengi 2 ukifa auwoz 😅😅😅 wooooh Mario and paula❤❤❤❤
@user-kg2tm2eq7q
@user-kg2tm2eq7q 2 месяца назад
Punguzeni ukali wa maneno...mtoto ametimiza cku 40 tangu azaliwe anatolewa nje inasomwa dua mtoto anapata baraka zake..watu wanajitoa ufahamu hayo wakati uko mtaani hayo mambo tunafanya sana na tukialikwa tunaenda lakin umu mtandaoni kla mtu sheikh kazi kukosoa ya watu
@Ashuzuberi
@Ashuzuberi 2 месяца назад
Waaambie chuki tu zinawasumbua, utazan wao wamekamilika Kila kitu😂😂😂
@user-hy9pp5rp9i
@user-hy9pp5rp9i 2 месяца назад
Wewe unasema 40 mtoto akifikisha siku7anatakiwa afanyiwe hakika na ikiwa wakike mbuzi 1 aanachinjwa na kutolewa sadaka mifupa yake inafukiwa na nywele zake sinanyolewa na kupiwa halafu zinatolewa pesa Kwa mujibu wa kipimo chake na akiwa wakiume ni mbuzi wa2 nayo mifupa hairuhusiwi kuvunjwa I nn afukiwa hivo ndio dini inavosema na sote watoto wetu tumewafanyia na ikiwa imefikia arubaini kama mwenyewe unataka kumtoa unamtoa Kwa Dua khalas
@alhamdhulillahyaallah4013
@alhamdhulillahyaallah4013 2 месяца назад
Nenda kasome dini wewe sikujiongelea ovyo tu...nani kakwambia Kuna arubaini wala sitini?hebu kasome usipotoshe wasiojua kama wewe
@HellenaMissana
@HellenaMissana 2 месяца назад
Mashaalla❤❤
@RoseMadatta
@RoseMadatta 2 месяца назад
Anae onekana și amala amala bado anafinywa agalieni anavyo funikwa ❤❤❤❤❤
@florencemeza6540
@florencemeza6540 2 месяца назад
Mario ana amaniiii anampenda saaana paula
@user-bc3lh5ss6c
@user-bc3lh5ss6c 2 месяца назад
Hata Paula anampenda Sana marioo❤❤❤
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 2 месяца назад
Amuoe
@RamadhaniIbrahim-ed8xr
@RamadhaniIbrahim-ed8xr 2 месяца назад
Jamn simlitangaza mtt amefarik kumbe yup Hay asante mng napenda sana wtt mung atampa maisha marefu inshaalla
@BonifaceMasolwa
@BonifaceMasolwa 2 месяца назад
Mbona Paulababa mtoto hayupo hapo mmependezen na mond km ndio baba shuhuli 😂😂😂😂😂
@yfhff5268
@yfhff5268 2 месяца назад
Huyo mama marioo kama haruhusiwi kumshika mtoto
@fahymamsangi7303
@fahymamsangi7303 2 месяца назад
Wakwanza leo nipewe maua yangu😂❤❤
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 2 месяца назад
Uislam Hauna Arobaini.Hizo ni Mila za Kifirauni ktk Nchi ya Misri.
@AishaNgoyi-vi2ku
@AishaNgoyi-vi2ku 2 месяца назад
Hawa Malaya wapo kzn Mario utachunw mpaka utaukimbia mji
@NaaPius-kl2wh
@NaaPius-kl2wh 2 месяца назад
​@@AishaNgoyi-vi2kuwivu mbaya sana mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya kwel jmn wakat wew Kuna jemba inakupanua miguu na unamuomba Hela vp wew haumchuni mwanamke kuwa na kauli ya stara
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 wenzio wanapiga hella kila katukio mbona warabu hawafanyi na ndo wenye dini
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 2 месяца назад
​@@dorcaskidoti249arobaine hufanywa acha uongo wangu siku ya 40 ndo alitahiiriwa
@Boshbriz3344
@Boshbriz3344 2 месяца назад
​@Aish😂😂😂aNgoyi-vi2ku
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 2 месяца назад
Jaivah amebadilika aiseee😅😅😅😅😅
@RayChausa
@RayChausa 2 месяца назад
😂😂😂😂😂Wa mwisho wenu mm hapa...ma sha Allah❤❤❤❤
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 2 месяца назад
Masha Allah
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 2 месяца назад
Mashaallah ❤
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад
Mama mkwe mbona anaogapa kumwamngilia mtoto anaon kaingia ukoo wa maneno kajala muonyeshe vizuri mtoto mama w omari
@sisifaty9183
@sisifaty9183 2 месяца назад
Umesema kweli kama vile ushirikiano mdogo kama kuna kitu
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 2 месяца назад
Mama kavaa hereni pia kapendeza mashaa Allah ❤.. Baba nae kavaa hereni na kipini juuu😢😢
@hanifamziray277
@hanifamziray277 2 месяца назад
Hy sio 40 ni sherehe kchwa wazi ndio nn ss
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 2 месяца назад
Mayahudi(Wana ezrail) walisema hawatatuacha hadi tufate Mila zao ndio hizi sasa
@RayanDai-fr7ks
@RayanDai-fr7ks 2 месяца назад
Swadacta
@emmadora7848
@emmadora7848 2 месяца назад
Waisrael wanawapa joto sana ,siku hizi hata mkishindwa kuwaridhisha wake zenu , Israel kahusika😂😂😂
@JumaMpwimbwi-oi4fz
@JumaMpwimbwi-oi4fz 2 месяца назад
Acheni kuchipua mamb wabongo wapeni maua yao na mpite na yenu 😊
@saumukiduma
@saumukiduma 2 месяца назад
Maashallah
@ghhyhh7591
@ghhyhh7591 2 месяца назад
Huyu alosema km 40 maana tunajua amefariki nakujib km ulizaliwa 40 ipo na ukifa 40 ipo kwa ss waislam cjui wengin
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
Mbona wamesema 40 sio kiislam
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 2 месяца назад
​@@Nihadshighadisio kiislam na wakati siku ya 40 ndo damu ya uzazi ya mama inakata anatakiwa ajisafishe ili kuendelea na ibada zingine kwnye ukristo mnayajua hayo
@MamyHamso
@MamyHamso 2 месяца назад
​@@fettiemaganza1484sikubaliani na ww kabisa mia fil mia damu ya uzazi wengi ni wk 2 ikizidi inategemea na pindi damu zikiacha kutoka unapaswa kujinadhifisha ndio wuanze ibada kama kawaida
@africa7479
@africa7479 2 месяца назад
​@@Nihadshighadikatika uisilamu hakina arubain tofauti na hapo mtoe dalili sio kusema tu hakuna arubaini msibani wala uzazini
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
@@africa7479 yani ww na huyo mwenzako hapo ju hamjulikani mnaeleza ama sijui makasiriko ya nn
@ginafaruque5335
@ginafaruque5335 2 месяца назад
Karibu amarah
@user-ff7hl3mh3h
@user-ff7hl3mh3h 2 месяца назад
Waowane Tena wapate watoto wa halali,maana Kama baba wa mtoto ni muislamu basi si mtoto wake na hafai kujinasibisha nae,ni mtoto wa nje,anapaswa kumuhudumia lakin hawez kumrithi so etlist wakioana atakuwa na nafasi ya baba wa kambo,ni vile tu tunayaendesh maisha kidunia na sio kidini
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 2 месяца назад
Swadactaaaa umeongea kweli kabisaaa
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 2 месяца назад
❤❤❤❤❤
@doricemwakasengo1167
@doricemwakasengo1167 2 месяца назад
Mm wa nne😂😂
@sadakombo2048
@sadakombo2048 2 месяца назад
Kumbe mama wa mariyo bado kichanga kabisa
@naomymuro2199
@naomymuro2199 2 месяца назад
Leo kajala kavaa nguo ya kumstri nahis anaona mwl unamuwasha kabs anataman avue zote 😅
@aickatesha4542
@aickatesha4542 2 месяца назад
😂😂😂
@BerthaKihanga-qd5hy
@BerthaKihanga-qd5hy 2 месяца назад
Amen
@HalimaYussuph
@HalimaYussuph 2 месяца назад
siku mkiyachana yani sijuhi niseme nini
@arafakhamis3336
@arafakhamis3336 2 месяца назад
Mtihani dual kusomwa kichwa waz
@user-xo4xq6rr3f
@user-xo4xq6rr3f 2 месяца назад
Niulize wali funga ndoa hawa
@Msafirimakini
@Msafirimakini 2 месяца назад
Sawa
@RockstarKitanga
@RockstarKitanga 2 месяца назад
Wasitaa😂
@Mariam-pe6ow
@Mariam-pe6ow 2 месяца назад
Minaona wanache kexha2 Dunia 😅ahaaaaa
@khadija5761
@khadija5761 2 месяца назад
Wa sita
@IbrahimOmar-tu5tc
@IbrahimOmar-tu5tc 2 месяца назад
Ona mlivo vaa mavaz ya dini sahih ya uislam mlivopendeza
@hassanramadhani1122
@hassanramadhani1122 2 месяца назад
😊
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 2 месяца назад
Mimi napita tu
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 2 месяца назад
Mario. Mtu. Wa wapi. Yani. Mkoa gani
@maryamathman8917
@maryamathman8917 2 месяца назад
Wa tano🎉😂😂😂😂
@estermongela8733
@estermongela8733 2 месяца назад
Lazima marioo afate nyayo za baba mkwe wake kuishia kulea mtoto nahiv nayy ni wakike yaani milemule maji hufuata mkondo
@pendoseleman9069
@pendoseleman9069 2 месяца назад
Mimi wa nane😅
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 месяца назад
wa kumi hapa nimetuliaaa😂😂😂😂
@Mariam-pe6ow
@Mariam-pe6ow 2 месяца назад
Minaona wanache kexha2 Dunia 😅
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@user-ok7fo5dt2q
@user-ok7fo5dt2q 2 месяца назад
Jmn binadamu tunashida wivu ndo tumejaza kwenye mioyo yetu kipi kibaya kimefanyika hapo
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 2 месяца назад
Naombeni kufafanuliwa 40 Ni nn?! Mtoto kufikisha mwezi tanguvazaliwe au Nini??
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 месяца назад
🎉🎉🎉❤❤❤
@user-ql6jr4tz4m
@user-ql6jr4tz4m 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@TatuSeleman-zm1hn
@TatuSeleman-zm1hn 2 месяца назад
Wakumi
@BerthaKihanga-qd5hy
@BerthaKihanga-qd5hy 2 месяца назад
So
@keyla3641
@keyla3641 2 месяца назад
Mbona km paula hamumfungi tumbo
@stivmabando5661
@stivmabando5661 2 месяца назад
Hatari sana
@barbiepixie92
@barbiepixie92 2 месяца назад
Hivi nyie mnaoulizia ndoa nyie mnazo? hebu mtupishe
@anjelagwasma
@anjelagwasma 2 месяца назад
Hata celewi
@salmasalam3268
@salmasalam3268 2 месяца назад
Ako katoto keusi sana kama bibi kizaa baba😂mkono nimeuon bas apo rkn kaatapigwa Snapchat mpkatuisi kazungu kumbe black
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
Kwan babake mzungu?
@HappyMtondi
@HappyMtondi 2 месяца назад
ndo hapo xax bab ake sio mzung😢😢😢😢😢
@barbiepixie92
@barbiepixie92 2 месяца назад
Kwa hiyo unamaanisha watu weusi no wabaya au hebu acha ulimbukeni
@MSELLEMSWELUMYAHYA
@MSELLEMSWELUMYAHYA 2 месяца назад
Oya dogo km n kweli muowe wcha uwoga
@annamussa185
@annamussa185 2 месяца назад
Uchafu tu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 месяца назад
Hivi jina la mtoto ni Amarah au ni Amalah
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 2 месяца назад
Kama Nerson na Nelson
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 месяца назад
😂😂😂😂
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 месяца назад
Sasa hapa lipi sahihi😂😂😂😂
@SuleimanAbdallah-jb6sx
@SuleimanAbdallah-jb6sx 2 месяца назад
Hawajaowana. Nafahamu wote ni waislamu.. Nauliza u _ jee mtoto nje ya ndoa huitwaje. ? Na anaweza rithi ?
@judithsijaona9875
@judithsijaona9875 2 месяца назад
Pau mkristo
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад
Baada ya hapo mario ataachwa atakuwa nahudumia mtoto tu
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 месяца назад
Why aachwe😂😂
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад
@@aminakipande5645 wewe si maji yanafuata mkondo mama ake WA Paula ilikuwa VP??
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
Ww unajua kesho yao,yko waijua
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад
@@Nihadshighadi ndio najua Mimi
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 месяца назад
@@GeorgeChitemo-kt8sw mnh hebu ngoja tuone mwisho wa huu mchezo lkn km kweli wanapendana wanaweza fika mbali
@Pemba680
@Pemba680 2 месяца назад
Sisi waislamu tunajuwa 40 anafanyiwa mtu aliekufa
@NoelaSumari-ww9lo
@NoelaSumari-ww9lo 2 месяца назад
Ww muislamu wa wapi Mbona mm mkristo na najua kuna arobaini ya kuzaliwa na dua inasomwa na pilau tunakula
@zahrazahraa3485
@zahrazahraa3485 2 месяца назад
Ww n mwesilam wa wp kwani hujuwi mtoto wakiisilam anapo zaliwa n anapokufa nilazima afanyiwe 40 au ww wa wp
@Pemba680
@Pemba680 2 месяца назад
@@NoelaSumari-ww9lo ww kafiri kaa kmya ya upande huu ww hayakuhusu hivyo ata niongee vpi kamwe huwez kunielewa
@Pemba680
@Pemba680 2 месяца назад
@@zahrazahraa3485 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maiti iyo,alie hai hasomewi 40
@victoriamatei7757
@victoriamatei7757 2 месяца назад
Noo pia ya kuzaliwa we vipi
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i 2 месяца назад
Mnajua maana ya 40 kwamba alifariki au
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
Ukizaliwa kuna 40 na ukifika vile vile
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 2 месяца назад
Aroubaini ya mtoto wa nje ya ndoa halafu eti Jina la baba Ni muislam na mama mkiristo Hakuna hiko kitu kwenye Dini yetu Hao wote Ni wazinifu na huyo mtoto Ni koba tu
@MvuviJuma
@MvuviJuma 2 месяца назад
Ucmtie mtt dhamb n za wazaz wake
@emmadora7848
@emmadora7848 2 месяца назад
Na wewe ni Koba mbona tunakufahamu vzr
@user-ff7hl3mh3h
@user-ff7hl3mh3h 2 месяца назад
Hamjamuelewa tu ijapokuwa ametumia neno sio zuri la kumuita mtoto koba,mtoto Hana kosa,makosa ni ya wazazi wake
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад
Marioo uweke akili sawa au utakuta huna hata pesa ya kula hoa wanapenda mahali pawe na pesa huoni rayvanny al8shiyuka katoka japonica alilimlipia ada ya shule na duka akafungua kudaiwa tena ada ya shule akaona hapa mm analipa ada mtu yupi na mungine na wewe kaa mkao w kuliwa na mshenga mwenywe ni j lokole
@Gersah
@Gersah 2 месяца назад
Acha makasariko
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 2 месяца назад
Bado hujasema
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 2 месяца назад
Hakuna asiependa helaa wewe mwenyewe ukipewa utazitupa?😮😮😮
@OmanOman-fr5hl
@OmanOman-fr5hl 2 месяца назад
40 ya wazinizi lanatullahi alykum
@Zuuh4286
@Zuuh4286 2 месяца назад
𝗠𝗮𝘀𝗵𝗮𝗮𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 2 месяца назад
Ujinga tuuuu.utapeliii.,..mapenzi hajui...kiuno kigumu
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 месяца назад
Wajinga wote kama kweli alobaini mbona mashekhe hawapo pumbafu zenu
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 месяца назад
Ndio wanaichezea dini
@arafakhamis3336
@arafakhamis3336 2 месяца назад
Mtihani dual kusomwa kichwa waz
@user-kg7yq3on9j
@user-kg7yq3on9j 2 месяца назад
❤❤❤❤❤
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 2 месяца назад
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
Далее
НЕДОВОЛЬНА УСЛУГОЙ #shorts
00:27
Просмотров 19 тыс.
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн
AIBU JUX AZUA GUMZO AMUIGA VANESSA KUVAA
3:08
MUME WA SNURA ALIVYOCHUKUA KABIDHIWA MKE FULL SHANGWE
8:22
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
Просмотров 159 тыс.