@@agnesspetro6695 una jielewa kweli au nyinyi ndio awo wa kuvizia waume za watu pole dada ndoa utaiskia kwa jirani ww zurura kama mbwa aliekosa makao. Unatumika bure hujielewiiii hakuna mwanaume anaesahau familia yake. Jitambue
Aminah hawakutiii shuhuli juu hapendi mambo ya mitandao dada wa watu na heshma zake. Ila mnaopenda kumchokonoa na maneno. Aminah na Ali ni kufa kuzikanaaa mkae kwa kutulia
Acha kujizuzua na mume wa mtu katu hawatoweza kuachana kumbuka amezaa nae watoto kwa ndoa ya halali. Acha kujidai tafuta wa kwako kwanza umfikii Aminah ata robo😂😂😂. Ebu team aminah tujuane apa Naingea kwa niaba ya Aminah
Sawa lkn so Kwa waume w watu na Ivo anavoshikan nae kutekenyana nae ingekua ww ungekubali?? Adimchukulie pia Amina mumewe vo bado hajasain makaratas alikiba ya talaka bado. Oohooo