Тёмный
No video :(

VIDEO: RAIS SAMIA ASIMULIA TUSIYOYAJUA, 'SIKU YA KWANZA CHUONI NILILIA SANA, MWAKA 1988 NILIAJIRIWA' 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 28 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@user-hg7oz8ze4d
@user-hg7oz8ze4d 6 месяцев назад
Kumbe kaka ana mchango mkubwa sana katika maisha ya mheshimiwa Rais👏👏👏 tumpe maua yake kwa kutuandalia rais wa kipekee...🎉🎉🎉🎉
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 месяцев назад
Acha uchawa nchi ina nyumba kuwa na vijana wa dizaini yako
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 6 месяцев назад
Hakika rais wenye Nia njema na wasio na chuki nae wanajifunza kitu
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 6 месяцев назад
Dah! Aisee! Hawa viongozi hasa Wakina MAMA tusiwachukulie powa Yaani wanatoka Mbaliii na wanapitia mapito magumu🤔 Ongera Rais SAMIA SULUHU kwa mapito uliopitia hadi kufikia hapo MUNGU akusaidie ufike mbaaali zaidi 😍Pia malezi yalikua mazuri Nampa hongera Mzee SULUHU kwamalezi yake kwako 😊😍💯✅
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 месяцев назад
Uchawa unawasumbua sana vijana wa kitanzania
@bibielroybibielroy8710
@bibielroybibielroy8710 6 месяцев назад
Hongera Mama hakuna jambo rahisi ila umeweza wewe ni chachu ya wanawake kufika kwenye ndoto zetu❤
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 6 месяцев назад
Ukweli lazima usemwe tu mama samia ana moyo mzuri na huruma ya dhati kutoka moyoni!!❤
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 6 месяцев назад
Kwa kweli inatubadilisha wengi na kujiuliza hivi kwa Nini huyu aweze Tena Bado awe na hekima
@JoshuaDavid-et7em
@JoshuaDavid-et7em 6 месяцев назад
Mwenyenz Mungu akulinde mama
@lanlady2504
@lanlady2504 6 месяцев назад
Mhhh, ndio maana mama anapenda sana kupanda ndege. Kumbe alipenda kuwa air hostess😂
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 6 месяцев назад
👏🏿👏🏿👏🏿Mama yuko vizuri sana ! Asante Rais wetu
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 6 месяцев назад
hongera mhe Rais # historia kubwa sana ,Mdada wa kwanza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿, pana nchi kama Marekani wana Marais 40 na hawajawahi pata mdada kuwa Rais
@Mr_omary
@Mr_omary 6 месяцев назад
Maisha marefu na afya njema Kwa mama❤
@jeremiahmwanyika869
@jeremiahmwanyika869 6 месяцев назад
Mama umependeza Sana.
@user-gh1wi7dc9g
@user-gh1wi7dc9g 3 месяца назад
Mheshimiwa rais Asante sana tunakuombea sana
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 6 месяцев назад
Mtangazaji Makini saana intaview nzuri saana na mama anaweza kujielezea mashaa allah ❤❤❤🎉
@doramalisa2061
@doramalisa2061 6 месяцев назад
Very smart but humble president. Mungu aendelee kukutunza
@bagenihuduma1569
@bagenihuduma1569 6 месяцев назад
Big up Mom. Kweli hapa ni Pwani, Baharini ndiko umetoka. Chapa kazi mama, historia tu nimeielewa sana unastahili kuwapo hapo. #respect
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 6 месяцев назад
Nice Interview. Big up Rais wetu.
@user-xw9kh3vm8i
@user-xw9kh3vm8i 5 месяцев назад
Mwanamke jasiri 🎉🎉🎉
@albertmaneno
@albertmaneno 5 месяцев назад
Mama ni msimulizi mzuri sana... na historia yake ina inspire kwa kweli
@BAHATIALI-ek6do
@BAHATIALI-ek6do 6 месяцев назад
nakupenda sana rais wangu❤
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 месяцев назад
Hakuna asali Bila nyuki jamani maendereo hataki Kwa maneno tu jamani mama umetoka mbali
@ammarabdulrazaq200
@ammarabdulrazaq200 6 месяцев назад
Hata mtoto wng wa kike amenambia akimaliza masomo anataka kua air hostess namuomba mungu amcmamie ndoto yke itimie hongera mama samia umenitia nguvu nizidi kumkumbusha acmamie kikamlifu ndoto yke
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 6 месяцев назад
Samia Umependez sana
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 5 месяцев назад
No comment
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 6 месяцев назад
Kila mtu historia anayo kusema ukweli au tumuite tundu lisu asimulie mpaka leo alinusulika kufa kwasabab y siasa yaan maccm bana😂😂😂😮😮😮
@magangadashina2176
@magangadashina2176 6 месяцев назад
Kaka yake na mama anaakili sana,je kaka ake atakuwa wapi Kwa Sasa?
@chikujuma18
@chikujuma18 6 месяцев назад
Mama tunakupenda tunaomba tuu vyakula vishuke bei sisi watu wa hali ya chin tunashindwa kula milo mitatu unakula mlo mmoja tuu utufikirie mama
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 6 месяцев назад
Kalime Kwa ajili ya biashara na chakula , hutoona njaa tena
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 5 месяцев назад
Mmekosa kweli habari ,hii nchi ni ngumu sana hivyo chochote ukiona kitakuingizia hela unafanya na inaenda.
@janemyinga2575
@janemyinga2575 6 месяцев назад
Mama yetu nimekuelewa sana unaongea vinzuri kwa utulivu kweli kabisa uko vinzuri
@jimmyally5974
@jimmyally5974 5 месяцев назад
Mama ameupiga mwingi....
@Adevitutv
@Adevitutv 6 месяцев назад
Safari ndefu lakini uhakika
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 месяцев назад
Maisha magumu mitaani vitu vina panda bei dada zetuu kazii kuvuta bangeetuu daladala wanajipangia nauli wana mchii wana kufa njaaaa
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 6 месяцев назад
Ongeza bidii ya kufanya kazi punguza na starehe
@maxsenciusalexander2213
@maxsenciusalexander2213 6 месяцев назад
⁠😂
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 месяцев назад
@@MohamedAhmada-ie7ke njie sindio mlie pewa KAZI yakuchukua Kodi lazima usheleekee 2 ila sisi wauza nyanya lazima tulie
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 6 месяцев назад
@@RomanMwinyi katika maisha yangu sijawaza kuajiriwa na serekali tuna pambana tu kama unavo pambana wewe ila tu watoto wa kiume tuna kaza sio kulia lia kilasiku na maisha
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 6 месяцев назад
Ongeza BIDII ktk kazi, Lima,weka AKIBA,ipende familia , fanya kazi sana sana
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 6 месяцев назад
mbona Samia hueleweki ulishasema kuwa ulikataa kuwa makamu wa Rais ikabidi ulazimishwe leo unasema ulipoteuliwa hukuwa na wasiwasi wowote ?? which is which?
@user-io2rj2yp5d
@user-io2rj2yp5d 6 месяцев назад
Wewe inakuhusu nn hiyo
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy 6 месяцев назад
Huogopi
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 6 месяцев назад
Mama anazungumza vizuri anachoulizwa unatakiwa usikilize kwa umakini na kumuelewa!! Isitoshe ni Rais lakini anaongea kwa nidhamu sana !! Mimi binafsi nimempenda sana jamani.🎉
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 6 месяцев назад
Hiyo ndio inaitwa safari ya mwanasiasa.
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 5 месяцев назад
Hongera sana mama samia
@AdamFundikira-jb9vq
@AdamFundikira-jb9vq 6 месяцев назад
Mafuta yanapaaa tuu mama angefanya yakapanda mpaka elfu kumi tu tujue moja
@Hasnspop
@Hasnspop 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@mrsinia3064
@mrsinia3064 5 месяцев назад
Mi sikoment chochote isije ikaja defender bure
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@ommyj9653
@ommyj9653 6 месяцев назад
Intaview ya kibabe
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 месяцев назад
Uchawa uo
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 6 месяцев назад
Simulizi za kijinga hizo udumia wananchi wako walio gizani wasiojua Cha kufanya😂😂😂
Далее
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 489 тыс.
Аруси Точики ❤️❤️❤️
00:13
Просмотров 190 тыс.
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 489 тыс.