Baadhi ya viongozi wa Upinzani wameunga mkono shinikizo la Vijana wa GENZ kushtumu serikali ya Rais William Ruto kwa kuwaua waandamanaji Kiholela. Wakizungumza kwenye mazishi ya Daniel Kakai mwanafunzi aliyepigwa risasi wakati wa maandamano mjini Bungoma ,viongozi hao wanataka hatua kuchukuliwa dhidi ya maafisa wa usalama waliohusika.
4 окт 2024