Тёмный

Vita Vya Kagera 1977 1978 Sehemu Ya Pili 

SIMU. Tv
Подписаться 237 тыс.
Просмотров 2,1 млн
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 629   
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 7 месяцев назад
Wanaoangalia 2024 like ❤❤
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 9 месяцев назад
Tunaoangalia 2024 tujuane kwa like 😊😊😊
@muhirefiston83
@muhirefiston83 8 месяцев назад
Niko hapa mwazangu
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 8 месяцев назад
@@muhirefiston83 karibu
@oscarakyoo4641
@oscarakyoo4641 8 месяцев назад
niko hapa
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 8 месяцев назад
@@oscarakyoo4641 karibu osca
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 8 месяцев назад
@@oscarakyoo4641 karibu
@rahabunyamsenda5064
@rahabunyamsenda5064 3 года назад
2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi
@kelvingrison7039
@kelvingrison7039 4 года назад
Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin
@williamnathan4630
@williamnathan4630 4 года назад
kelvin Grison Ni kweli, lakini walishatumika wakatupiliwa mbali
@AsaniZubeli
@AsaniZubeli 5 дней назад
nikweli blow Mozambique wanalipwa kwa kila mwezi wengine adi m1 inafka
@hosearioner3637
@hosearioner3637 3 года назад
Much love from kenya...uzalendo ulidhirika katika hii vita vilivyo.
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 5 лет назад
Nipo naitazama video hii November 2019, itaishi milele. Ahsanta kwa wanajeshi wetu na wote walioandaa makala hii...
@nyzerjnl7960
@nyzerjnl7960 4 года назад
Wanao angalia 2020 kama mm niwaone like
@langatemmanuel7359
@langatemmanuel7359 4 года назад
Nko hapa mkenya
@sebastiannikolaus5318
@sebastiannikolaus5318 4 года назад
Nzr
@abdunuruwilliam5380
@abdunuruwilliam5380 4 года назад
🇹🇿
@williammavugosodi322
@williammavugosodi322 4 года назад
niko hapa rwandanese
@sasboy6255
@sasboy6255 4 года назад
Tupo
@hafidhikasimu7436
@hafidhikasimu7436 Месяц назад
Nikuona hii clip ya vita ya kagera wallah namkumbuka Marehem baba yangu mungu amlaza pahala pema amin😢
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 4 года назад
Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
Exactly!
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 5 лет назад
Babu yangu alipambana vikar kwenye hii vita Allah ampe kauli xabit 😭😭🤲🤲huko aliko pia amuepuxhie adhabu zakaburi Amiin
@joelnassari105
@joelnassari105 6 лет назад
Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..
@elimondvoiceboy7383
@elimondvoiceboy7383 3 года назад
Wanao angalia 2021 kama mimi gonga like apa
@annamusembi9885
@annamusembi9885 4 года назад
They were true heroes I salute you. I am a Kenyan
@seifhamad9817
@seifhamad9817 4 года назад
2020 tu like hapa
@issahamisi4066
@issahamisi4066 3 года назад
Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪
@isaacmwaipopo
@isaacmwaipopo 4 года назад
Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.
@eliahmunna1482
@eliahmunna1482 3 года назад
Kweli nimeamini ushirikiano na umoja wa watanzania ni wasiku nyingi sana na ndiyo maana tunaushi kwa amani bila kujali ukabila
@alexandrea4403
@alexandrea4403 7 лет назад
Daaaaah! baba yangu alikuwepo kwenye hii vita mungu akulaze mahali pema Amina...
@tedynicholaus4003
@tedynicholaus4003 7 лет назад
Alex Andrea zpp
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 6 лет назад
Pole sana ila tambua katusaidia wote MUNGU amuweke pema alitutea wote na nchi yake pole sana ndgu ila jivunie kua na mzazi alokomboa nchi
@kisayekapama8401
@kisayekapama8401 6 лет назад
Alex Andrea sorry
@rajabmartojr3302
@rajabmartojr3302 5 лет назад
Alex Andrea pole kaka
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 5 лет назад
Wapumzike kwa amani wazazi wetu..
@mpelienock
@mpelienock 6 лет назад
Mwalimu Nyerere heshima yake itasimuliwa vizazi vyote. Big Salute.
@nyambirotrueinformation7500
@nyambirotrueinformation7500 3 года назад
Wanaoangalia 2021 kama mimi like zenu tujuane
@anithashembilu7732
@anithashembilu7732 5 лет назад
Tumetoka mbali. Rais wetu na wale wote walioipigania nchi yetu, ninawaombea na kuwakumbuka daima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@bigmanyamafilmproduction5890
@bigmanyamafilmproduction5890 3 года назад
Ni sura zenye utayali najikuta nasisimka mwili kwa uzarendo huu usio wa kinafki.heshima kwao
@neemamliga539
@neemamliga539 7 лет назад
My daddy fought on this war too en he's still alive!! May z soul of those who dieD in z war REST IN PEACE
@mpelienock
@mpelienock 6 лет назад
Neema Mliga hongera sana Mshukuru Mungu kila unapokumbuka.
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 лет назад
Neema Mliga even my dad fought in this war and still a live till now
@simonchihongwe8489
@simonchihongwe8489 5 лет назад
Neema Mliga
@oscarbundalla6352
@oscarbundalla6352 5 лет назад
Amen
@williamnathan4630
@williamnathan4630 4 года назад
Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!
@venancenkuwi768
@venancenkuwi768 5 лет назад
Tanzania itajengwa na wenye moyo na sio wazalendo wa siku hizi!!! Mungu ibariki Tanzania
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 4 года назад
Wanao angalia mpaka muda huu rarehe 14/8/2020 agonge like😍😍
@adamssaid4392
@adamssaid4392 4 года назад
Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 9 месяцев назад
Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father
@masshele4438
@masshele4438 14 дней назад
Watakao angalia mwaka wa 3000 mjue tulikuwa hapa 2024
@jiiwolf2900
@jiiwolf2900 9 дней назад
.wajukuu zetu
@OmaryMchana
@OmaryMchana 5 дней назад
Dah umewaza mbali sana.. hapo tutakua tumeshasahaulika km tuliwahi kuishi.. so sad😢
@ZakeoVitus
@ZakeoVitus 10 месяцев назад
Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha
@Christia-07
@Christia-07 8 дней назад
Tunaongalia 2024 gonga like hapa
@samuelimori5711
@samuelimori5711 4 года назад
Nakumbuka mbali sana nikiangalia picha hizi. Nawakumbuka wenzangu waliotangulia mbele ya haki. Namshukuru Mungu aliyenihifadhi na kunirudisha salama.
@bigmanyamafilmproduction5890
@bigmanyamafilmproduction5890 3 года назад
Pole sana mzarendo wa kweli
@isssidd9565
@isssidd9565 7 лет назад
polen sana kwa kutuangaikia ss tuish katika maixha mazuri tunawashukuru jaman
@lubinzamnundulu9485
@lubinzamnundulu9485 6 лет назад
Danilodi
@lucyagustino4200
@lucyagustino4200 3 года назад
Jomon
@tabumasumbuko2909
@tabumasumbuko2909 3 года назад
Hongereni sana wapambanaji wetu kwa kutukomboa hii kazi ilikua ngumu
@mohdkley7366
@mohdkley7366 7 лет назад
Naahidi hatutoitupa nchi yetu tutaipigania Kwa kila hali mimi nipo Zanzibar mungu atusaidie
@mamadoudiaw9231
@mamadoudiaw9231 5 лет назад
3toyou
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Amiiin
@petermwantole9433
@petermwantole9433 4 года назад
kweli huu ulikua uzalendo wa hali juu,,hongereni wote mlioshiriki vita hii,,na pumzikeni kwa amani mliotangulia mbele ya haki...
@aminajackson8119
@aminajackson8119 4 года назад
Siku hizi tunapenda tuvae gwanda tuonekane wanajeshi lkn duu Mungu atusaidie tumebaki masharobaro tuu uhalisia haupo
@saidmanjanjagara55
@saidmanjanjagara55 3 года назад
Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!
@johnwangare3024
@johnwangare3024 4 года назад
Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 лет назад
babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli
@majanimshana6006
@majanimshana6006 7 лет назад
pole ndugu yangu yesu akuongoze
@kilimoapp413
@kilimoapp413 6 лет назад
mungu awalinde xana
@saidimpologomyi382
@saidimpologomyi382 4 года назад
Babu yangu ALLY SAIDI alikuwa katika hili kundi la mashujaa,ALLAH akuwekee wepesi katika makazi yako ya milele
@faridmwinyi9462
@faridmwinyi9462 2 года назад
Ameen❤
@ojasoojaso9479
@ojasoojaso9479 5 лет назад
Nyerere hana mfano kwani kila mara alikuwa mstari wa mbele katikati ya vita akiangalia na kukagua kwa macho yake mwenyewe na kuongoza mapigano.mwl hakuogopa kufa wakati wa kuipigania nchi hii ,hakujali uhai wake ,wala mali za dunia,hii.RIP mw JK NYERERE mwana halisi wa Afrika.
@rizikizakaria8044
@rizikizakaria8044 2 года назад
Hawa watu wengine bado wapo hai ila wanamaisha magum sana selikali ifike hatua muwakumbke jamn msikalie tu kula bata na familia zenu.
@saitotilucumay594
@saitotilucumay594 7 лет назад
for sure they was done a very very big work God blessed them wherever theyare
@patrickpondamali5615
@patrickpondamali5615 5 лет назад
Mungu awalaze pema wailopigania nchiyetu na, waliobak wasaminiwe,
@fredmwaijande9411
@fredmwaijande9411 2 года назад
Naipenda sana Tanzania nafarijika kuitwa mtanzania love sana Tanzania
@onesmosimon2720
@onesmosimon2720 4 года назад
Aliye sikia kidumu chama cha mapinduzi agonge like na wapinzani najua kunakitu mmegundua apo
@selemaningulyavyangu7425
@selemaningulyavyangu7425 7 дней назад
Baba angu Allah amsimamie inshaallah Allah amuondolee adhabu ya kaburi ,Alikuwepo vita hii
@taofiqconscious7408
@taofiqconscious7408 5 лет назад
Mungu aibaliki tanzania kwamaana walimwaga damu kwaajili yakuikomboa tanzania hakikalani kwao nyelele. alemaha pema peponi Amin
@vicentzamberiwarioba6468
@vicentzamberiwarioba6468 4 года назад
2020 mungu awabaliki kwa kazi mzr hatuna cha kuwalipa
@mosesfrancis3946
@mosesfrancis3946 3 года назад
Asanteni sana wote mliochangia ushindi huo.
@BarikiTheonesti
@BarikiTheonesti 2 месяца назад
Nawapongeza sana waliojitokeza kulitetea taifa la TANZANIA Asanteni sana
@BarikiTheonesti
@BarikiTheonesti 2 месяца назад
@vedastosama4548
@vedastosama4548 7 лет назад
Majemedari wetu walifanya kazi ngumu kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka kwa gaidi iddiamini Dada Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani wanajeshi wetu waliotufanya tuwe salama mpaka Leo
@meshackmoyo7397
@meshackmoyo7397 6 лет назад
Ndotuige mifano hii jamani lakini nashangaa saizi tuna windana wenyewe kwa wenyewe tens kwasraa kar jaman inaumalakin
@rajabumwongozo9817
@rajabumwongozo9817 4 года назад
Baba yngu Kama angelikufa vtani Mimi nisinge kuepo nashkuru mung baba alrudi Dalia ingawa kwasasa nimarehem mung amlaze mahalapema pepon aaamin
@shaabans.marijani9659
@shaabans.marijani9659 6 лет назад
1978 only i was still very young with two years,i was born in 1976 so when the war was fighting I didn't have any to copy because of youngest.
@CharlesMpondy
@CharlesMpondy 4 дня назад
Ndo nn
@khameiskibabu4469
@khameiskibabu4469 4 года назад
Yaan hapo unaaga nymbn kma ukipta nafx kurudi ni maajaliwa tn.Mungu aziweke roho za walio tangulia mbele ya haki mahali pema peponi.Amin
@chrisbee7876
@chrisbee7876 6 лет назад
ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 года назад
💪
@rajmatola8611
@rajmatola8611 4 года назад
Amakwel nyerere ni simba wa afrka naipenda nchi yangu
@aridiyahya8049
@aridiyahya8049 5 лет назад
Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.
@marthasumaye6017
@marthasumaye6017 4 года назад
Mmojawapo babangu anaishi ntumba ya miti
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 4 года назад
Inauma
@janemwakapesa5569
@janemwakapesa5569 10 дней назад
Baba yangu nimekumbuka mbali alipigana hii vita na sasa hayukoo😢oooh God 2024
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 лет назад
Rip babu ulipoteza maisha kwenye iyo vita ingawa nilisimuliwa mana sikuzaliwa
@junlabsupplier1932
@junlabsupplier1932 5 лет назад
jojo _linkiss Abiny pole
@khadijaidrisa6575
@khadijaidrisa6575 4 года назад
jojo _linkiss Abiny pichazaekx
@nyahingapeter8835
@nyahingapeter8835 4 года назад
Pole
@obasinatha2400
@obasinatha2400 4 года назад
Polee
@joelrugano6517
@joelrugano6517 5 лет назад
Tulilelewa katika umoja,mshikamano. Kipindi hicho tulikuwa na wanasiasa wa kweli na siyo kama sasa ambapo wanasiasa wetu wako kimasilahi zaidi.
@pamelanyanduga5102
@pamelanyanduga5102 Месяц назад
Daaah wamenikumbusha kitambo...nilipewa mjegeje niliivuruga kagera na Uganda vibaya mnoo.....senene walikimbia kwa miaka 3 ndo wakarudi Tena kagera wakifikia kaitaba.....nipongezeni jaman nilipambana sana kwa ajili ya nchi yangu
@RoseMary-hp5bz
@RoseMary-hp5bz 8 лет назад
naipenda Tanzanian nchi yangu,,r,i,p,wote mlotanglia mbele za haki😥, mungu ibarki Tz to Africa
@evetaerasmi5468
@evetaerasmi5468 7 лет назад
Rose Mary o
@majanimshana6006
@majanimshana6006 7 лет назад
Eveta Erasmi
@mkaliibrahimwololoyayeasha3542
Rose Mary pmj
@mwaikomolegren7021
@mwaikomolegren7021 7 лет назад
Mungu ailaze roho ya marehemu mwl hayati baba wa taiga mahali pema peponi Amina
@OswaldTweve
@OswaldTweve 9 месяцев назад
Jmn​@@mwaikomolegren7021
@patrickkessy3912
@patrickkessy3912 7 лет назад
Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi
@mpandaboy2279
@mpandaboy2279 4 года назад
Hii video imenipa hamasa kubwa kuitetea na kuisemea nchi yangu kwa mema popote nilipo.... Hakika hii vita ilituletea heshima kubwa vilevile ilisababisha hasara kubwa.. Nahakika bila hii vita na zile za ukombozi za kusaidia mataifa mengne yapate uhuru leo hii TZ ingekua ni moja ya developed countries kama SA,,,Mungu awalaze mahali pema wote waliopigania Taifa hili na awalinde wote ambao bado wapo hai🙏🇹🇿
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 года назад
👏
@annazablon8406
@annazablon8406 5 лет назад
Baba yangu alipigana vita japo 2006 ndo kafariki apumzike kwa amani .... amen
@majidypapeny1780
@majidypapeny1780 5 лет назад
mungu amlaze mahali pema peponi
@mdunguupdates4779
@mdunguupdates4779 3 года назад
Wanaoangalia 2021 like hapa
@jandaboytzz4794
@jandaboytzz4794 4 года назад
Tanzania💗💗 na wish mpka ningekuwa mmojaWapo ktk hao Vijana
@josephabel2503
@josephabel2503 7 лет назад
I see the spirit of the nation, mungu awape amani mliotangulia mbele za haki
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 5 лет назад
Dah poleni sana ukweli mlifanya kazi kubwa sana one love Tanzania
@eliazephania7633
@eliazephania7633 4 года назад
Kwa hakika mungu awalaze mahalo pema peponi wote waliohusika kupigana Vita vya kagera
@chrizantuspantaleo6928
@chrizantuspantaleo6928 2 года назад
I love you TANZANIA
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 года назад
Mungu ibariki Tanzania I love you my country
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 лет назад
Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo
@sirilimichaelpamojasana2033
@sirilimichaelpamojasana2033 5 лет назад
watu wa zamani wanaupendo sanajaman mungu awabariki
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 5 лет назад
Naapa naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda mpaka kufa
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 3 года назад
Wow..!!😍
@scotubetz340
@scotubetz340 3 года назад
Hadi nimesisimka naipenda nchi yangu
@sizakitego4374
@sizakitego4374 4 года назад
Hata mimi nilikuwepo kwenye hii vita, gonga like kama umeniona na shati ya drafti
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 5 лет назад
Daaah inafikia muda inabidi ujitolee kwa hali na mali kuhakikisha unailinda nchi yako, haikuwa rahisi kujitoa hawa leo hii tunaishi vizur sana.
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 4 года назад
Hawa jamaa ni majembe
@starboyisack1001
@starboyisack1001 7 лет назад
Mungu barik jesh letu TANZANIA
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 8 месяцев назад
Pumzikeni waliotangulia kwa amani kabisa.hakika mungu akufutieni madhambi yenu amin
@jandaboytzz2755
@jandaboytzz2755 2 года назад
Roho Inaniuma Sana Watanzania Wenzetu hao Mjue Walikua Na Famlia Zao😢😢
@amanimoisan6380
@amanimoisan6380 6 лет назад
Were mwenyezi mungu wakumbuke wapiganaji wote waliopigania Tanzania
@frankmdoma3528
@frankmdoma3528 3 года назад
Hqkika nitakukumbuka baba angu kwa kazi mliyofanya
@matokeombugano1324
@matokeombugano1324 7 лет назад
sijui kama hawa vijana wangeweza hii shughuri...hawa team kiba na dimond
@fistonkyuing9888
@fistonkyuing9888 6 лет назад
Labda wangeweza kuimba nyegeza na muvumo wa radi
@joharimaunga6127
@joharimaunga6127 5 лет назад
kabisaa Allah awape pumzko mashujaa wetu kizaz cha leoo ni team kiba mond zar na wema
@racheldauson9471
@racheldauson9471 5 лет назад
Ndomana Kila nikiwa njiani kwenda ug Nashua kuwaombea pale makaburi ya mashujaa aamen
@nicomwasaga1368
@nicomwasaga1368 4 года назад
Hahahahahahahahah hahahahahahahahahahahahaha
@xideblacktz
@xideblacktz 3 года назад
Thanks our soldiers I salute father nyerere
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 4 года назад
Mungu awape nguvu our heroes mlio hai na walaze mahali pema peponi waliopoteza maisha.
@DavidMgimba-z8o
@DavidMgimba-z8o 7 дней назад
2:33 Tazama watanzania hawa walivyo jitoa wakati wa vita vya kagera lkn sasa watu wamegeuza nchi hii kuwa ni mahali pa kuvimbisha matumbo yao na wao wakitangaza uzalendo Hawa ndio walikuwa wazalendo Mungu awabariki sana
@abdulkalim2033
@abdulkalim2033 7 лет назад
Hawa wanajeshi wengine wapo mpaka sasa na awakusaminiwa mchango wao kitika Taifa hili
@richardmabusi3557
@richardmabusi3557 7 лет назад
hassan sasbai
@petervalentino271
@petervalentino271 5 лет назад
Mungu ilinde Tanzania hatutaki yajirudie hayo. Ingawaje wakichokoza hatuwaachi!!!
@mackeykonji5175
@mackeykonji5175 7 лет назад
hakuna kizaz cha kufananishwa na Mwl Nyerere..... Wanajesh wa sasa hawana tofaut na wazaman TATIZO niviongozi wetu
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 лет назад
Mackey Konji kweli
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 лет назад
Tofaut ya sasa depo adi uonge
@maulidrehani
@maulidrehani 7 лет назад
mungu awapumzishe kwa amani hakika they fought for our country
@godlivergift8754
@godlivergift8754 Год назад
Mungu alitutoa mbali
@AguliSimchimba-fq7ep
@AguliSimchimba-fq7ep 9 месяцев назад
Huu ndio uzalendo.Hongereni sana wote mliopambana kuleta amani katika taifa letu Tanzania
@rassosman3094
@rassosman3094 9 месяцев назад
Wanaoangalia 2023 kama mimi mnipee likes
@richardlucas2275
@richardlucas2275 9 месяцев назад
hii sio 2023 ni 2024 😂😂😂
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 3 года назад
Huu ulikuwa Morali wa hali juu sana wa kuikomboa Nchi yetu, Kipindi hiki kilikuwa kigumu sana Kila Mwananchi mawazo yake yalikuwa ni kuikomboa Ardhi ya Tanzania iliyovamiwa na Nduli Idd Amin Dada.
@neemaruttaiwa6202
@neemaruttaiwa6202 5 лет назад
Pumzika kwa Amani mzee wetu umetufanya mkoa wetu Kagera kuwa huru
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 4 года назад
MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amina🙏🙏
@emmanuelymakwawa2539
@emmanuelymakwawa2539 4 года назад
Kwa kweli mliotupigania hadi kupata uhuru Mungu awalinde sana pia wale wote ambao walipoteza maisha kwa sababu ya uhuru wetu Pia Mungu azilaze roho za marehem mahali pema Amina,. Mb zangu zina tumika kihalali kabisa leo naitwa Emmanuel Makwawa bila hata ya kugasiwa hii yote ni kwa sababu Ya Babu Au Baba wa Taifa Mwalim Julias Nyerere
@philbertmyinga6344
@philbertmyinga6344 3 года назад
Ndauli mwanamtwa
@emmanuelymakwawa2539
@emmanuelymakwawa2539 3 года назад
@@philbertmyinga6344 Ndi mnofu hela
@Patriotism-x3v
@Patriotism-x3v 4 дня назад
Watu walijitoa Kwa ajili ya nchi hii❤
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 4 года назад
Watu Walikuwa na umoja hawakuwepo watu wabinafsi jamani hii ndio ilikuwa Tanzania ya hapi kale. Watu wana upendo wako tayari ya chochote kugharamia ili adui asishinde .inafurahisa ,Mungu awabariki sana na hata waliopoteza maisha yao walale pema peponi. AMINA
@jumarajabu4795
@jumarajabu4795 4 года назад
hii video nikiangali huaga machozi yananitoka mungu awabarki wote waliopigana hii vita
@MugaruraIssa-z8e
@MugaruraIssa-z8e Месяц назад
Hawa ndiye madhalim wakubwa na Leo hawapo Tena na wengine waliyo hai hawajiwezi Tena wali uwa waislam wengi Uganda Mwenye zi MUNGU azidi kuwa angamiza insha'ALLAH
@ivanmarcela1209
@ivanmarcela1209 7 лет назад
mungu ibaliki tz mungu wabaliki wote walioshiriki kuikomboa tz amina
@hinetadacres2618
@hinetadacres2618 7 лет назад
eeh mungu wapumzishe mahala pema pepon mashujaa wetu waliotutangulia
@tanzanianchiyangu8984
@tanzanianchiyangu8984 4 года назад
Babu yangu pia alikuwemo katka vita hio mungu amlaze mahali pema pepon
@elisamehecharles5432
@elisamehecharles5432 6 лет назад
ogaaah! ukimsikiliza msimuliaji ndo unaamini siku hzi hatuna watangazaji kabsa
@johnimarko5646
@johnimarko5646 4 года назад
Mungu aibarki afrka mungu aibarki tanzania
Далее
NAH UH
00:17
Просмотров 2,2 млн
На самом деле, все не просто 😂
00:45
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
South Africa-Mandela and Nyerere news conference
2:15
Developmentalism & Welfarism - Dr Julius Nyerere
1:47
NAH UH
00:17
Просмотров 2,2 млн