Тёмный
No video :(

BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO. 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 1,8 млн
50% 1

#wasafi #thestorybook

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 927   
@princenewton
@princenewton 4 года назад
Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever
@johnsanga9528
@johnsanga9528 4 года назад
Welcome brother 👊
@edwardombeni5633
@edwardombeni5633 4 года назад
Elfu tatu hadi milioni miatatu na hamsin kweli uchumi was kikoloni unakuwa
@barackmaimu1452
@barackmaimu1452 4 года назад
big up brother
@braitonitaifa4995
@braitonitaifa4995 3 года назад
Nakupenda sana mwalimu
@greyuliki8027
@greyuliki8027 2 года назад
🙏🙏❤️
@professorchurchillms1439
@professorchurchillms1439 3 года назад
I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪
@freedriwa7050
@freedriwa7050 3 года назад
Rule number 1: Put God first
@aminasolisi6961
@aminasolisi6961 3 года назад
@@freedriwa7050getting we
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...
@denisimweji4504
@denisimweji4504 3 года назад
Asante! Mungu akubariki
@Godgrace67
@Godgrace67 2 года назад
@@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 4 года назад
Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 года назад
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
@safarichui8551
@safarichui8551 4 года назад
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
@stephenmusyoka3938
@stephenmusyoka3938 3 года назад
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 Год назад
Kweli kabisa
@camilomassao8971
@camilomassao8971 Год назад
Very true brother!😭😭😭
@pitalimbu3721
@pitalimbu3721 Год назад
lL
@khamissathumany8392
@khamissathumany8392 4 года назад
Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo
@nsimamkamaananias5977
@nsimamkamaananias5977 4 года назад
Whenever I view The story book from 88.9, I become more interested,,Appreciated mtigga abdallah👏👏👏 kazi nzuri
@karimabdallah3296
@karimabdallah3296 4 года назад
Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa
@mohamedimganga1481
@mohamedimganga1481 4 года назад
Mtiga abdalla ukosei story nakukubali sana from songea msamala
@alfredbaraka2209
@alfredbaraka2209 4 года назад
Karim Abdallah 👍👍👍🇹🇿
@amadadam9244
@amadadam9244 4 года назад
Dahhhhhh
@issashabanibakari1433
@issashabanibakari1433 4 года назад
Karim Abdallah vp mtig
@farajimmari1523
@farajimmari1523 4 года назад
Problum
@dinnahnyoni6301
@dinnahnyoni6301 4 года назад
Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞
@salumkanju1732
@salumkanju1732 4 года назад
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 года назад
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
@joycefredrick2244
@joycefredrick2244 4 года назад
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 11 месяцев назад
Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo
@hancpoper3470
@hancpoper3470 4 года назад
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
@chambotz9352
@chambotz9352 4 года назад
Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV
@raymondmwampamba1646
@raymondmwampamba1646 4 года назад
Niatali cn
@kihangasper
@kihangasper 4 года назад
Anaitwa mtigah abdalah
@azahomar2504
@azahomar2504 4 года назад
Ni mtiga abdallah
@mkumbojaphe616
@mkumbojaphe616 4 года назад
Ima BoyLTz r
@dikioska7670
@dikioska7670 4 года назад
Mtiga
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 3 года назад
R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.
@subirajohn728
@subirajohn728 3 года назад
Amina!
@clementiddi5708
@clementiddi5708 Год назад
Ameen
@rachelreuben6466
@rachelreuben6466 5 месяцев назад
Amen
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 года назад
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
@aggymathew7854
@aggymathew7854 4 года назад
Ahsante MAMAANG kwa kunipeleka TAIFA kushuhudia mazishi ya LEGEND NYERERE BABU YETU 🙏
@likevery3498
@likevery3498 4 года назад
Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like. How come??? R.I.P BABA WA TAIFA
@lazarohaule3588
@lazarohaule3588 4 года назад
R i p father see you Again
@felistambwale2687
@felistambwale2687 4 года назад
Wanapenda like cjui Zina Radha gani
@anoldykamugisha9993
@anoldykamugisha9993 4 года назад
@@felistambwale2687 🤣🤣 wakat haziwafkish kilelen😀
@lucasmanyama2892
@lucasmanyama2892 4 года назад
R. I. P Mwl nyerere
@rukahayapolendunguwafiwaha4460
@rukahayapolendunguwafiwaha4460 4 года назад
@@lucasmanyama2892 r l p baba wet
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 года назад
Nakumbuka Ule mwaka Nikitaka kwenda jando Wazee wangu wakagailisha year 1999 Amen
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 года назад
AVATA Ndo ikawa bas au !
@BiteBoyz
@BiteBoyz 6 месяцев назад
🎉🎉🎉
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 4 года назад
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
@keyakeya8911
@keyakeya8911 4 года назад
Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 4 года назад
@@keyakeya8911 🙏🙏
@fatumachombo5450
@fatumachombo5450 4 года назад
keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari
@tonyjohn8419
@tonyjohn8419 4 года назад
Wacha uongo wew
@gervasjustn2842
@gervasjustn2842 4 года назад
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
@piligeorge8278
@piligeorge8278 4 года назад
Tutamkumbuka sana hatokei tena,pumzika kwa amani baba uliifanya kazi yako kwa ukamilifu miss you
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 года назад
Mtetez wetu leo tunaringa kuw huru Tanzania yanguuuuuu Allah akulaze mahal pema pepo amina yarab allamina
@gibemarco5875
@gibemarco5875 4 года назад
Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###
@peninabusumabu7586
@peninabusumabu7586 4 года назад
R.i.p.baba wa taifa
@diacynthedia6295
@diacynthedia6295 4 года назад
Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu
@mdigokhan8227
@mdigokhan8227 4 года назад
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
@Bagenzi4life
@Bagenzi4life 4 года назад
Mdigo Khan 🤣🤣🤣🤣🤣
@kassimluzwiro3368
@kassimluzwiro3368 4 года назад
angalia hapo mm n ww nan frst
@sabigaombaja5616
@sabigaombaja5616 4 года назад
Mdigo Khan like zingekuwa msoso..!!!
@mariamabdallah5224
@mariamabdallah5224 4 года назад
😂
@mariamabdallah5224
@mariamabdallah5224 4 года назад
😂
@thomasclemence8636
@thomasclemence8636 4 года назад
Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like
@foergivenessrupia7560
@foergivenessrupia7560 4 года назад
Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu
@user-nj1jd6zy8e
@user-nj1jd6zy8e 4 года назад
😁😁😁😁😁
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 4 года назад
Asante kwa Hayati JK Nyerere!
@j...876
@j...876 4 года назад
MR DIAMOND tuna hutaji ELIAS MPAGAZE wa Fanye kazi nahuyu jamaha the story book ita noga kabisa!!!💪💪
@CHALTV
@CHALTV 4 года назад
Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu
@michaelkapingu6991
@michaelkapingu6991 3 года назад
I miss you magu mukapa and nyelele
@joelzaga2672
@joelzaga2672 4 года назад
Nyerere still lives on As his wishes towards Tanzania Is about to be fulfilled by the current President Hope he rests in peace
@augustmj4573
@augustmj4573 4 года назад
aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋
@akikamurua3622
@akikamurua3622 4 года назад
Wasafii nawakubali sana
@simonfilbert7008
@simonfilbert7008 4 года назад
Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭
@mohamedimganga1481
@mohamedimganga1481 4 года назад
mtiga elim yako kidato cha ngapi?
@creativetv989
@creativetv989 4 года назад
Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
@fancymixx1026
@fancymixx1026 4 года назад
All great thing come from wasafi media much appreciation 🔥🔥
@elshaarawymuhabesh316
@elshaarawymuhabesh316 4 года назад
Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere.... Asante wasafi
@davidnchoji
@davidnchoji 4 года назад
Pw
@masigejose429
@masigejose429 4 года назад
Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪
@sultanmbogo701
@sultanmbogo701 4 года назад
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
@sultanmbogo701
@sultanmbogo701 4 года назад
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
@christinapeter810
@christinapeter810 6 месяцев назад
Tunakukumbuka baba wa Taifa. Tunajivunia maisha yako na Tunamshukur Mungu Kwa zawadi hii🙏 endelea kupumzika Kwa amani
@hancepopessau2527
@hancepopessau2527 4 года назад
He was the great man ever
@sk-wj9or
@sk-wj9or 4 года назад
Sauti nzuri katika mtindo wa documentary. Sehemu ya simulizi ipo sawa. Lakini inamapungufu mengi sana. R I P comrade. J K Nyerere.
@rashedabdalah1981
@rashedabdalah1981 4 года назад
Kama yapi kaka
@sk-wj9or
@sk-wj9or 4 года назад
@@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia
@samsonjuma5618
@samsonjuma5618 2 года назад
Asante kwa ajili yahistoria MUNGU awawezeshe katika kutujuza mentioned...GOD BLESS YOU ALL
@sarahismail2968
@sarahismail2968 4 года назад
We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍
@hemedibabdallah125
@hemedibabdallah125 4 года назад
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
@raulentbenard8492
@raulentbenard8492 4 года назад
Hemedi b abdallah wtghkgg
@haburamidousady6166
@haburamidousady6166 4 года назад
Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!
@mudimaarifa9394
@mudimaarifa9394 4 года назад
Uko good sound mtiga Abdallah 🙌🏻
@yonamwakamele
@yonamwakamele 4 года назад
Asante ndugu sauti makala na mood napata ya huzuni
@stefanontandu2041
@stefanontandu2041 Год назад
R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind
@franciskomba8057
@franciskomba8057 4 года назад
Wanao homba like washamba sana
@allykutenga2862
@allykutenga2862 4 года назад
Francis Komba: Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.
@selemaniseja6328
@selemaniseja6328 4 года назад
jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa wabongp bwana... like mnafanyiaga nn...?
@geraldpallangyo7726
@geraldpallangyo7726 4 года назад
Like ni za kutangaza bei
@Being_Hussein
@Being_Hussein 4 года назад
Masenge sana
@hallin9561
@hallin9561 4 года назад
Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna
@tiktokreposted12
@tiktokreposted12 4 года назад
zinaogeza hamu yakuingia yutube
@allykutenga2862
@allykutenga2862 4 года назад
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
@nektacleophance6243
@nektacleophance6243 4 года назад
mwalimu was special and great leader in the world.
@mohammedkibombe7361
@mohammedkibombe7361 4 года назад
Kama unampenda baba Wa taifa gonga like
@carlosbrayan5779
@carlosbrayan5779 4 года назад
Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.
@annemlay11
@annemlay11 Год назад
Naamini Mwalimu atatajwa kuwa Mtakatifu baada ya siku si nyingi.Eee Mungu tunakushukuru kwa ajili ya Mwal. Nyerer.
@ismailismailmwaluseke2111
@ismailismailmwaluseke2111 4 года назад
Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 4 года назад
Kwani ujui kama zinageuka pesa
@khalidsimiyu8075
@khalidsimiyu8075 2 года назад
Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 Год назад
Benjamin William mkapa
@thabitbakari6733
@thabitbakari6733 3 года назад
Watanzania tumkumbuke mwalimu jk nyerere kwa mengi makubwa mazuri yenye manufaa, langu kubwa katulindia Mali ya asili ya Tanzania, leo mwaka 2020, tumekuta Mali ya asili ya Tanzania iliyolindwa kutokea miaka ya mingi Sana iliyopita tuseme Karne zilizopita🤲 mwalimu ametufundisha siasa inatupa hekma katika mataifa makubwa, hadi kufikia Leo hii tunapewa sifa na mataifa makubwa kwa siasa yetu. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 11 месяцев назад
Mazuri yapi 📺 angalie yeye tu
@larrypeterkiwia2957
@larrypeterkiwia2957 4 года назад
sauti nzuri sana kama una mkubali gongà like
@marrymusa2204
@marrymusa2204 3 года назад
Jamaa anajitaid
@joharhamisi9140
@joharhamisi9140 4 года назад
mtiga Abdallah 😘😘😘😘😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😗😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
@queen-vc6de
@queen-vc6de 4 года назад
Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍
@saidamkekanule6251
@saidamkekanule6251 4 года назад
Good afternoon
@saidamkekanule6251
@saidamkekanule6251 4 года назад
🤩😍🤣😅😎
@otegakamala645
@otegakamala645 4 года назад
Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu
@braisonkyando8959
@braisonkyando8959 3 года назад
Forever Mwl.Julius Kambarage Nyerere our icon..........he will live in our memories
@yuusufnuur5752
@yuusufnuur5752 4 года назад
Thanks love story book
@saadahamimu7596
@saadahamimu7596 3 года назад
Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
@elibarikifoya6385
@elibarikifoya6385 3 года назад
dah inaumiza sana mungu mpokee magufuli
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 3 года назад
Mungu ampe makazi yaliyomema
@Lavalava-lg2ww
@Lavalava-lg2ww 3 года назад
😭😭😭
@suzanamabula2099
@suzanamabula2099 3 года назад
Tuko wengi
@djmackmovies.
@djmackmovies. 3 года назад
2po wengi
@mawaidhatv8557
@mawaidhatv8557 4 года назад
Oyoooooo One million Ambae ameshuhudia pls gonga like
@jeremiahmajura9757
@jeremiahmajura9757 3 года назад
Jeremiah.majura
@owenimerraly712
@owenimerraly712 4 года назад
wasafi mko juu sana
@godwinchristian9646
@godwinchristian9646 4 года назад
Safi nipo ndani from nairobi hongera wasafi
@saidamkekanule6251
@saidamkekanule6251 4 года назад
Good afternoon😍🤩😂😅😃😎🤑👩‍🌾👩‍🎓👩‍💻🧚🧜👥🛀🏌️🏂⛷️🏇🚴🏍️🤹
@saidamkekanule6251
@saidamkekanule6251 4 года назад
Thanks
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 4 года назад
MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌
@jonesjohanes4313
@jonesjohanes4313 3 года назад
MUNGU DIYE AJUAYE LEO NA KESHO .
@YUSUPHMWAINUNU
@YUSUPHMWAINUNU 4 года назад
kama unamkubali mtiga naomba like 50 apo chin
@davidnyambuche352
@davidnyambuche352 4 года назад
Likes tumeshampa yeye mwenyewe
@MrJediahmed
@MrJediahmed 4 года назад
Watanzania tumuenzi baba yetu mwalimu. Aliifanya tanzania moja.tanzania isiyo na matabaka.ubaguzi wa aina yoyote hiyo.leo hii nikiulizwa wewe nani ,kinachokuja kwanza ndani ya kinywa changu najiita mtanzania.Najifaharia na mengi kwa historia ya mzee wetu Mwalimu
@denispeter4221
@denispeter4221 3 года назад
Najivunia kusoma shule alyo soma baba wa taifa (Mwisenge) na dawati lake nilkalia, kiongozi bora wa wakati wote, Mungu n mwema kuptia Nyerere Tz ikapatkan, 6msahau Baba wa taifa.
@rammietv4907
@rammietv4907 4 года назад
WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN
@braxtosharon5367
@braxtosharon5367 4 года назад
,,
@lucasmanyama2892
@lucasmanyama2892 4 года назад
Of course, It's so painful
@greyuliki8027
@greyuliki8027 2 года назад
Yes
@officialmao
@officialmao 4 года назад
Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣
@biommy6700
@biommy6700 4 года назад
Nawashangaa
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 года назад
official Mao , ni wajinga tu
@dullahbarca3279
@dullahbarca3279 4 года назад
Me mwenyewe huwa nawashangaa cjui huwa wanafaidika nn
@dicksoncharles1650
@dicksoncharles1650 4 года назад
Hawajielewi
@fednandnews2240
@fednandnews2240 4 года назад
Napenda sana speach zako mzee baba Unaweza
@hamzakondo6102
@hamzakondo6102 4 года назад
Mtiga mzee baba nakubali kazi nzuri kuna bia zako leo njoo tabata jion.
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 года назад
Nilimlilia Rais wangu mwaka ule nilihisi km.Tanzania yooote tumekwisha ila nikakumbuka Yesu hajatuacha Watanzania.
@lazarodaniely5377
@lazarodaniely5377 4 года назад
Nko fist because am like it
@queenkikoti49
@queenkikoti49 4 года назад
Nimeisubirisana ya leo
@godlistenmariwa2707
@godlistenmariwa2707 4 года назад
Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama
@mikidadichande9488
@mikidadichande9488 4 года назад
Majira yetu haya yangekua wap sasa utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha.Kama nko sawa nakukumbuka mtetez wa taifa langu
@daudkuyunga378
@daudkuyunga378 3 года назад
YOUR THE LEGEND STAY FOR ME JULIUS NYERERE RIP LEGEND HEROOOO
@prettynana6580
@prettynana6580 4 года назад
R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭
@esterkeya7547
@esterkeya7547 4 года назад
R I P
@mbwambondimangwamichael6761
@mbwambondimangwamichael6761 4 года назад
12 minutes naombeni like zangu
@boazmvellah6286
@boazmvellah6286 4 года назад
Napendagaa sana ongea yako piga like twendee pamoja
@fadhilbreez5781
@fadhilbreez5781 4 года назад
Nice
@kelvintz7684
@kelvintz7684 4 года назад
Talented presenter
@maesryclassic456
@maesryclassic456 4 года назад
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa RU-vid aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
@eddyboi8476
@eddyboi8476 4 года назад
Bro kumbuka kuna uandaaji wa story
@eunicejoseph3870
@eunicejoseph3870 4 года назад
Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake
@victormtani7170
@victormtani7170 4 года назад
Una maanisha nini kufuja mali? Nani aliyefuja mali za nchi yake? Utoe na uthibitishe
@richiecharles2301
@richiecharles2301 3 года назад
Nakumbuka nilikuwa chekechea..
@shabaniramadhani4109
@shabaniramadhani4109 4 года назад
mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 4 года назад
Mm nililia jmn acheni na nikawaliza wengine
@dominicikuja7392
@dominicikuja7392 2 года назад
Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say
@mzuluclassic5259
@mzuluclassic5259 4 года назад
mwaka 1955 ML Nyerere from dar to Masasi ✌✌
@ndayikezafranck1612
@ndayikezafranck1612 4 года назад
He was a real man, the role model!
@ayubusheshe1450
@ayubusheshe1450 4 года назад
Kama unapoteza mb kwa story book km mm gonga like twende sawa
@armylee360youtube
@armylee360youtube 4 года назад
Unaweza kusimulia kama unampenda jamaa huyu 👇
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.
@matikumarwa5252
@matikumarwa5252 3 года назад
Mungu akubalik popote ulipo mzee na akufanyie wepes wa maisha ya mbingun
@abdkhalidi6625
@abdkhalidi6625 4 года назад
Daaaaaahhhhh ipo vzriiiii kk mkubwa nice sanaaaaaa!!!!
@tanzanianchef8647
@tanzanianchef8647 4 года назад
He is legendary 👍🏻
@tanzanianchef8647
@tanzanianchef8647 4 года назад
Musir Brain sawa mkuu
@kyngkhari3041
@kyngkhari3041 3 года назад
instablaster...
@user-yj6wr7fu5c
@user-yj6wr7fu5c 5 месяцев назад
walimu wetu mungu awalaze mahala pema peponi Amina Tanzania itawakumbuka daima
@nurdinihassani8811
@nurdinihassani8811 4 года назад
Aiii nilochelewa hii ila si mbaya gonga like yako kama tupo pamoja🔥🔥🔥
@janethsamson9123
@janethsamson9123 3 года назад
Juu sana
@jaydon3361
@jaydon3361 4 года назад
Mbona hata usipoomba like Kama comment yako ni nzur wata like tu
@cathernmbena3090
@cathernmbena3090 4 года назад
Nice san
@ashachamwilem9980
@ashachamwilem9980 4 года назад
Ttuuiio
@raymondnyami6815
@raymondnyami6815 4 года назад
Revolution hii imetuweka huru kwa tulioenda nchi jiran kama umeshawah fika Zambia utagundua kitu kikubwa
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 3 года назад
Hahahahahahahah
Далее
Developmentalism & Welfarism - Dr Julius Nyerere
1:47
Просмотров 2,5 тыс.
would you eat this? #shorts
00:35
Просмотров 341 тыс.
#JasonStatham being iconic
00:38
Просмотров 342 тыс.
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41