Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
Watanzania tumkumbuke mwalimu jk nyerere kwa mengi makubwa mazuri yenye manufaa, langu kubwa katulindia Mali ya asili ya Tanzania, leo mwaka 2020, tumekuta Mali ya asili ya Tanzania iliyolindwa kutokea miaka ya mingi Sana iliyopita tuseme Karne zilizopita🤲 mwalimu ametufundisha siasa inatupa hekma katika mataifa makubwa, hadi kufikia Leo hii tunapewa sifa na mataifa makubwa kwa siasa yetu. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa
Watanzania tumuenzi baba yetu mwalimu. Aliifanya tanzania moja.tanzania isiyo na matabaka.ubaguzi wa aina yoyote hiyo.leo hii nikiulizwa wewe nani ,kinachokuja kwanza ndani ya kinywa changu najiita mtanzania.Najifaharia na mengi kwa historia ya mzee wetu Mwalimu
Najivunia kusoma shule alyo soma baba wa taifa (Mwisenge) na dawati lake nilkalia, kiongozi bora wa wakati wote, Mungu n mwema kuptia Nyerere Tz ikapatkan, 6msahau Baba wa taifa.
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa RU-vid aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.