Тёмный

VITA YA VIETNAM: Moto wa Wanajeshi wa Vietnam Mitego yao hatari ya JADI Iliua vibaya wanajeshi wa US 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 49 тыс.
50% 1

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 74   
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 10 месяцев назад
Kama unaamin sky Kwa Sasa ndio mtangazaji Bora gonga like
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 10 месяцев назад
Sky noma, uwasilishaji wake auchoshi kusikiliza
@yusufsuleiman7886
@yusufsuleiman7886 2 месяца назад
Kabisa , jamaa yupo poa sana sana
@deogratiaskatabwa5230
@deogratiaskatabwa5230 10 месяцев назад
Sky the great mtqngazaji Bora Africa was simulizi zilizojaa ukweli 100% Tunakuombea kaka
@samirmswahili
@samirmswahili 10 месяцев назад
Sky noma sana
@user-so9rn6ld3n
@user-so9rn6ld3n 10 месяцев назад
Uko vizuri mtangazaji historian ya kweli kabisa
@Cadabrizzo
@Cadabrizzo 10 месяцев назад
Big up brother sky
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 месяцев назад
Simulizi nzuri na imesimuliwa kwa utulivu sana, huwa namkubal sana huyu msimuliaji hana mbambamba😂👏👏👏
@hamisilumona7163
@hamisilumona7163 10 месяцев назад
Hadisi hii ni kweli America ilichindwa na vita vya vietnam, kwa maana walizani jinsi wanavyofanya kwa inchi zingine. Pia vilevile America walipigwa kwenye vita ya Somalia ndio sababu, America hawawezi kusaidia somalia hata kidogo. Wanajutiya kwenda Somalia na Vietnam.
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 10 месяцев назад
Hawa jamaa wakikupiga kwa technology hautoboi ila vita isiyohusisha technology mnafanya battle, technology ndio ubavu wa hizi nchi kubwa
@laudadeusredemptorysidinda2750
@laudadeusredemptorysidinda2750 10 месяцев назад
Ilipigwa lini na Somalia? 😂😂😂 au story za vijiweni, wale hawana watakachopata Somalia ndomana hawana habari nao, hiyo Somalia wanamgambo wake wenyewe had leo wameshindwa kuipindua serikali.
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 месяцев назад
​@@laudadeusredemptorysidinda2750Fuatilia historia kaka, tatizo ni kwamba wakifanyiwa ubabe wazungu huwa haiandikwi sana lazma watatafutiza sababu ili ionekane hawakushindwa, hata Ethiopia haijawah kutawaliwa lakin ukiuliza kwnn utaambiwa et waliona kule hakuna kitu watachonufaika nacho lakin ukwel ni kwamba walishindwa. Hata huko Somalia ni vivyo hivyo
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 10 месяцев назад
@@brunoh_bx safi sana kijana Kwa maelezo mazuri
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 месяцев назад
@@Chettymlambalipsi-lb9km Pamoja sana kaka
@ishaqally444
@ishaqally444 10 месяцев назад
Watching from Hanoi Vietnam, nmefurahi sana kusikilza nakala Sky you are the best.
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi 10 месяцев назад
Vietnam wangeshindwa na marekani usingekuwa Russia. Hawa majamaa walisaidiwa na mbinu hatari za jeshi la Russia. Bila Russia bac hata korea kaskazini wangeshindwa na marekani. Kwamaana nyingine Russia inatisha kwelikweli kwenye uwanja wa vita. Russia, boss. Putin mkombozi wa ulimwengu mzima!!
@nakali79
@nakali79 10 месяцев назад
Kwani marekani hiyo vita gani imewahi kushinda ikiwa peke yake kama nchi?
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi 10 месяцев назад
@@nakali79 hamna yaani
@martingeorgenzali5614
@martingeorgenzali5614 10 месяцев назад
Sns...Is...The...World
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 10 месяцев назад
Nakumbuka Lufufu kwenye movie za wavietnam na USA
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 10 месяцев назад
Me too I remember him
@kibokutiwanatanyika1540
@kibokutiwanatanyika1540 10 месяцев назад
kwani huyo lufufu ndo nani?🙈
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 10 месяцев назад
😂😂
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 10 месяцев назад
​@@kibokutiwanatanyika1540umezaliwa mwaka gan??😢
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 10 месяцев назад
@@kibokutiwanatanyika1540 lufufu alikuwa mtafsiri wa movie Tanzania toka miaka ya tisini, movie zake uchoki msikiliza kama sky alivyo sema bwana mkubwa alikuwa na machachali kweli kweli.
@chany9950
@chany9950 10 месяцев назад
Love you sky👍🏽👍🏽😘😘🙏🏾🙏🏾
@Gerardirankunda2885
@Gerardirankunda2885 10 месяцев назад
Ulikua umekawia san bro 😂😂🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🤣❤
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 месяцев назад
WA THAILAND WENGI WA KIUME WALIKUFA KATIKA VITA HII NA NDIO ILIO SABABISHA WANAWAKE KUWA WENGI MPAKA LEO.
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 10 месяцев назад
Tukihamia sie wanaume tutakua deal ee huko
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 месяцев назад
@@lameckraphael3743 UTAWAKIMBIA BROO WIKI TU INAKUTOSHA 😂 😆 😆 😂
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 Месяц назад
😴😴😴
@princekarani7836
@princekarani7836 10 месяцев назад
Alafu Marekani wanavyoifichaga ihi story, hawatakagi kuiongelea kabisaa.alafu movie za kimarekani wanavyoigizaga wanawapiga wavietinam🤣🤣🤣🤣 kila movie
@ramaccr7525
@ramaccr7525 10 месяцев назад
Nakukubali sana bro🙏🙏🔥
@AndrewPaul-no2wr
@AndrewPaul-no2wr 10 месяцев назад
Sky✊
@billskeez92
@billskeez92 10 месяцев назад
Asante bro sky ❤ @Billskeez🇧🇮
@SimbanaYanga_
@SimbanaYanga_ 10 месяцев назад
sky mwamba sana kwenye hizi kazi
@fathmafatomo2962
@fathmafatomo2962 10 месяцев назад
STRONG 💪👊
@mwakasaladaniel9198
@mwakasaladaniel9198 10 месяцев назад
Naikubali bro
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 10 месяцев назад
Unajua kuingia nchi za watu bila vita ya technology utapigwa tu,,,km Vietnam kule nchi yao misitu na njia zote wanazijua mnajipeleka tu,,mtachapwa,,hata Wangeenda Afghanistan bila technology wangechapwa,hata hivyo wengi walikufa na kuumia,kwa sababu ya majabali yale,wenyewe wanayajua ,wameshayazoea, majangwa yale,,,acha lile joto hawaliwezi plus waliotafunwa na ng'e
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 10 месяцев назад
Halafu enzi hizo wanaume wakifikisha 18yrs old,wote walikuwa wanalazimishwa kwenda jeshini.
@aristidesvedasto7855
@aristidesvedasto7855 10 месяцев назад
Wazalendo wa kweli
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 10 месяцев назад
marekani hajawahi kushinda vita, labda ya japani, nayo asingetumia nyuklia wangemkanda😂
@sayshabani6350
@sayshabani6350 10 месяцев назад
Na juzi wamepigia na mtu mmoja putin haàhahahahhaa . Wamejichanga na ndugu zao wa ulaya ila bado
@laudadeusredemptorysidinda2750
@laudadeusredemptorysidinda2750 10 месяцев назад
Sasa kwanini wasipigwe kabisa wakaacha ubabe kama huwa hawashindi?
@OumaBashir-oj5hk
@OumaBashir-oj5hk Месяц назад
The battle at Mogadishu Marekani alipigwa hadi akatoroka
@emmanuelmasele4990
@emmanuelmasele4990 10 месяцев назад
Marekani jau
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 10 месяцев назад
Mi ninahis hata kina kinjikitile ngwale, mwanamalundi na Mkwawa waliwashindwa, bas tu historoa yetu haikukaa vyema
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 месяцев назад
✌️👊👍
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 10 месяцев назад
Hatareeeee sana💪🏾
@OumaBashir-oj5hk
@OumaBashir-oj5hk Месяц назад
America wameshindwa kwenye vita zote wanazopigana ikiwemo The battle at Mogadishu
@sonnyr1899
@sonnyr1899 10 месяцев назад
Mmarekani popote alipo ni nuksi tu.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
Kimbelembele chake Apa Alikomeswa kimitego 😂
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 10 месяцев назад
Maarekani have lost all fights
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 10 месяцев назад
American hakomi yupo kila sehemu
@samirmswahili
@samirmswahili 10 месяцев назад
Duuu kumbe zile muvi nyingi wamerka walichezea kweli?
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 10 месяцев назад
waongo hao, movie zao zinadanganya!
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 10 месяцев назад
Kwani hauwezi kutamka "Makala Miatatu Sitini"? ... shiriki katika kudumisha kiswahili na sio kukiuwa Swahili
@abisaimsewa1935
@abisaimsewa1935 10 месяцев назад
Ivi Wamarekani Kuna vita gani walisha shinda sehem zote walizo vamia
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 10 месяцев назад
wanakimbiaga labda japan
@jonasizack6712
@jonasizack6712 10 месяцев назад
Kwa Japan yenyewe walishinda baada ya KUTUMIA nyuklia
@gabrielkabato9909
@gabrielkabato9909 6 месяцев назад
Uzalendo ni kitu muhimu sana
@PesaMadafu
@PesaMadafu 10 месяцев назад
American got they ass beat also it was a lot racism during the period.
@richardburundi3090
@richardburundi3090 10 месяцев назад
Kwasasa tunataka vita live Israel acana na viduvyazamani
@audaxmlowa9953
@audaxmlowa9953 10 месяцев назад
​@@fatmafatu1128watu wengine uharo sana
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 10 месяцев назад
kasome vitabu acha uzembe
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 3,6 млн
СМАЗАЛ ДВЕРЬ
00:31
Просмотров 276 тыс.