Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Hadisi hii ni kweli America ilichindwa na vita vya vietnam, kwa maana walizani jinsi wanavyofanya kwa inchi zingine. Pia vilevile America walipigwa kwenye vita ya Somalia ndio sababu, America hawawezi kusaidia somalia hata kidogo. Wanajutiya kwenda Somalia na Vietnam.
Ilipigwa lini na Somalia? 😂😂😂 au story za vijiweni, wale hawana watakachopata Somalia ndomana hawana habari nao, hiyo Somalia wanamgambo wake wenyewe had leo wameshindwa kuipindua serikali.
@@laudadeusredemptorysidinda2750Fuatilia historia kaka, tatizo ni kwamba wakifanyiwa ubabe wazungu huwa haiandikwi sana lazma watatafutiza sababu ili ionekane hawakushindwa, hata Ethiopia haijawah kutawaliwa lakin ukiuliza kwnn utaambiwa et waliona kule hakuna kitu watachonufaika nacho lakin ukwel ni kwamba walishindwa. Hata huko Somalia ni vivyo hivyo
Vietnam wangeshindwa na marekani usingekuwa Russia. Hawa majamaa walisaidiwa na mbinu hatari za jeshi la Russia. Bila Russia bac hata korea kaskazini wangeshindwa na marekani. Kwamaana nyingine Russia inatisha kwelikweli kwenye uwanja wa vita. Russia, boss. Putin mkombozi wa ulimwengu mzima!!
@@kibokutiwanatanyika1540 lufufu alikuwa mtafsiri wa movie Tanzania toka miaka ya tisini, movie zake uchoki msikiliza kama sky alivyo sema bwana mkubwa alikuwa na machachali kweli kweli.
Unajua kuingia nchi za watu bila vita ya technology utapigwa tu,,,km Vietnam kule nchi yao misitu na njia zote wanazijua mnajipeleka tu,,mtachapwa,,hata Wangeenda Afghanistan bila technology wangechapwa,hata hivyo wengi walikufa na kuumia,kwa sababu ya majabali yale,wenyewe wanayajua ,wameshayazoea, majangwa yale,,,acha lile joto hawaliwezi plus waliotafunwa na ng'e