Тёмный
No video :(

Huyu ndiye MAFIA anayeitisha ECUADOR! Adolfo Macías FITO: Polisi na Wanajeshi wanatambua BALAA lake 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 7 месяцев назад
MAKALA hizi sipendi kuzikosa kusikiliza, na msimuliaji nae Mashallah 💕
@malimanyanja562
@malimanyanja562 7 месяцев назад
Samaha dada naomba no yako
@yayananajota5838
@yayananajota5838 7 месяцев назад
Ecuador one of dangerous place to be,, in Latin America fo long tyme,, frm Vanuatu we get u🇫🇯
@sadamissa5687
@sadamissa5687 7 месяцев назад
Fredric Bundala sky worker daah nakukubali sana toka nakua nakusikiliza bro Allah akuweke sana
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 7 месяцев назад
Huyu jamaa sio wa kawaida hata kidogo, sema kudos to rais, he is a Man
@user-xl4uc5px9j
@user-xl4uc5px9j 7 месяцев назад
CNN ya Tz ni @simulizi na sauti hongera sana skywalker
@starjay3052
@starjay3052 7 месяцев назад
watu kama awa me ndio nawakubali ata kazi nafanya nae tu kiroho safi roho yake kama yangu tu
@stanastana3199
@stanastana3199 7 месяцев назад
Ausio
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 7 месяцев назад
We una roho gani loser tu acha kuangalia sana movie
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 7 месяцев назад
Unajisifia kuwa na roho mbaya una akili kweli?!
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 7 месяцев назад
Dawa za kulevya Ni sumu nenda kaangalie mtaani vijana wanavyoangamia , watu wanaouza dawa za kulevya hawastaili hata kuishi hawana tofauti na mchawi tu .
@johnrevocatus9955
@johnrevocatus9955 7 месяцев назад
😂😂😂​@@edwardtrigga5701
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 месяцев назад
Hawa jama wanapesa na kuepuka kuwa mtumwa sio jambo rahisi. Bank za nchi zao zinawategemea. Ukitaka kuwafahamu tazama tu Netflix kuna Series zao. Narcos. El chappo
@user-eb7oi2bx6s
@user-eb7oi2bx6s 7 месяцев назад
Fredy ww ni nyoko kwenye kutangaza sauti yako inatosha kufundishia chuo kikuu🔥🔥
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 7 месяцев назад
Fredric Bundala sky worker good work keep it up
@user-ng6ep3hi4c
@user-ng6ep3hi4c 7 месяцев назад
Tatizo South America na latin America viongozi wa serikali wote mafia
@allahisone6386
@allahisone6386 7 месяцев назад
😁🤦😁
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 7 месяцев назад
Asanteee bro!🙏👏👏
@vibetz9991
@vibetz9991 7 месяцев назад
Yote Tisa,,,,,,, kumi Hizo nchi zina pisi Kali kmmmk
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 7 месяцев назад
Ajichanganye tanzania, watu wapandishwe vyeo😮😮😮
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 7 месяцев назад
Hao panya rodi wanawasumbuwa
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 7 месяцев назад
@@alzawahirabdallah2299 nazani watu wasio julikana umewasahau🤔🤔
@bernardjustine6524
@bernardjustine6524 7 месяцев назад
Ungekua unaandika kama hii makala ni 360 maana nakikubali sana kipindi japo ni ngumu kujua kama hii ni makala 360 @simulizinasauti
@wilsonmaduhu4921
@wilsonmaduhu4921 7 месяцев назад
Mtu hatar sana huyo....
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 7 месяцев назад
Hatari sana
@yohanadavid6724
@yohanadavid6724 7 месяцев назад
Ninafurai sana ninapo iona Makala 360, Makala yenye kujuza na yenye uchambufi yakinifu inanifanya nizidi kua shabiki na mfuatiliaji namba moja wa SNS.
@manjeonline1779
@manjeonline1779 7 месяцев назад
He is cute 🥰 😢😢
@vibetz9991
@vibetz9991 7 месяцев назад
Nilimuona kigamboni anavuka pantoni
@user-qp8ud5me2t
@user-qp8ud5me2t 7 месяцев назад
asante kwa tarifa sky worker
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 7 месяцев назад
😂😂😂😂 wakina ado htli Sana
@user-gg2yv6sz2l
@user-gg2yv6sz2l 7 месяцев назад
Ulipotea Sana kaka
@user-oo3np9be8m
@user-oo3np9be8m 7 месяцев назад
Sky unajua adi una keraaaa😂😂😂
@bajosdamour2347
@bajosdamour2347 7 месяцев назад
Tumekua tumemiss hii kitu aisee😭😭
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 7 месяцев назад
Raisi wa iyo nchi haki ana kazi ngumu sana 😢😢😢
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 5 месяцев назад
Tatizo katiba zao zimamnyima mamlaka rais.Hao jamaa wasingesurvive kama sheria zao zingekua hazina loop of henle ndugu.
@awazioga1823
@awazioga1823 7 месяцев назад
Hao magereza ni timu yake fito yaani wote ni WA Moja
@doricelugundiza4849
@doricelugundiza4849 7 месяцев назад
Handsome🥰🥰🥰
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 7 месяцев назад
Natamani kuwa mafia Tz
@binyuraezbon-uq4tz
@binyuraezbon-uq4tz 7 месяцев назад
Hahahahahah
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 7 месяцев назад
Taarifa msomaji nampa maua yake lakini huyu mafia aletwe Kenya atanyooka tu
@binyuraezbon-uq4tz
@binyuraezbon-uq4tz 7 месяцев назад
Hahahahahah
@binyuraezbon-uq4tz
@binyuraezbon-uq4tz 7 месяцев назад
Mmeshindwa kuzuia waandamanaji mtawaweza hao ma mafia
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 7 месяцев назад
Kuandamana sio vita aje tu aone tulivyopinda si unaona waandamanaji wanadil na police lakini jesh haliingilii maswala ya kipuzi
@binyuraezbon-uq4tz
@binyuraezbon-uq4tz 7 месяцев назад
Wasomali tuu wako wanawatoa jasho sembuse hao Latin Americans unachekesha ww
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 7 месяцев назад
Serikal nzima iko kwny payroll yake....sio mafia sema anajua kula na serikali na kuilipa zaidi top bureucrats
@stanastana3199
@stanastana3199 7 месяцев назад
Huwa napenda hawa jamaa sana,akina el chapo,pablo,el mayo.....wako wengi sana
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 7 месяцев назад
Wewe endelea kuwapenda ,lakini si unajua madhara ya hicho wanachokiuza au ?? Nenda mtaani utaona mateja wanavyoangamia.
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 месяцев назад
Askari 3600 kwa mtu mmoja tu? Aaa weeee Tz hatuna huo ujinga huuliwi hadharani ila utapotea kimya kimya
@syntaxsaintezzer5547
@syntaxsaintezzer5547 7 месяцев назад
Weweeeee panya road tuh wanasumbua uku ! 😂
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 7 месяцев назад
@@syntaxsaintezzer5547 wako wapi mpaka Sasa ? Alafu elewa Fito ni tukio la kitaifa ambapo shughuli zote ninasimama kwajili ya Fito 1 ,,,,,panya wako wanamalizagwa na mgambo pekee
@user-wc5jc8vp6u
@user-wc5jc8vp6u 7 месяцев назад
🙏🙏
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 месяцев назад
Jamaa wamoto balaa amekua tishio kwa nchi nzima.
@babuafya3446
@babuafya3446 7 месяцев назад
dawa dogo tu wapitishe sheria ya kuwapiga risasi
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 7 месяцев назад
Ata ukiua mmoja wengne wapo watoto wao pia wanarithi hio biashara jamaa zao man ni matajir kuliko hat serikal zao
@LevinaMichael-oy8cu
@LevinaMichael-oy8cu 7 месяцев назад
Utakuta kashafika mbali hatari
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
👍👊✌️。
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 7 месяцев назад
Jamani ni handsomee😅
@jumaabas6837
@jumaabas6837 6 месяцев назад
Uzinziii tuuuu
@jeremiahmwanyanje5012
@jeremiahmwanyanje5012 7 месяцев назад
jamani mnamsahau Esmael "El Mayo "Zambada makala yake Mwamba sana Zaid ya dolla ml 15 zimewekwa na US wakina Pablo na El Chapo tumezikia sana kiongozi tupe iyo mkuu tumeiomba sana
@sadamissa5687
@sadamissa5687 7 месяцев назад
Bongo wangeshamuua😅😅😅
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 7 месяцев назад
Haoo Jamaa Ni Matajiri Hatarii Pia Wana Ukaribu na Wakubwa Serkalin Sio kma unavyo Fikiria Wewe
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 7 месяцев назад
Bongo wako hawauliwi ng'o hawa ndo wabeba nnchi😂😂
@PeterMalima-fc4tf
@PeterMalima-fc4tf 7 месяцев назад
Nyie mnawachukulia poa hao watu na wao Wana majeshi Kwa mfano Sinaloa cartel ya El Chapo Guzman Ina wanajeshi zaidi ya 4000 ilo ni genge tu la drugs lord na anawapata jeshini wanaochwa baada ya mafunzo anawasign kwenye genge na wanapewa mafunzo tena ya kijeshi na Wana silaa nzuri na hatari kuliko ata polisi na wanajeshi WA mexico,Kuna siku polisi walijichanganya kumkamata mtoto WA El Chapo,genge liliingia mtaani na kuanza kuua watu na kuchoma Mali za watu Hali iliyopelekea rais WA mexico kuwaamlisha polisi wamuachie
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 7 месяцев назад
Weee hao jamaa wasikie tuu
@binyuraezbon-uq4tz
@binyuraezbon-uq4tz 7 месяцев назад
Yan ww unaona nchi yako ni moja kati ya nchi serious hahahaha unachekesha
Далее
POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
9:55
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 4,9 млн
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 4,9 млн