Eh huyu mkuu yupo sawa kweli? hili jambo anatakiwa atoe elimu hiyo kwa usahihi, kuna kunyonya maziwa halisi kutoka ktk titi na kunyonya titi bila kuvuta maziwa na hivi vitu vinatofautiana matumizi kwa makusudioa maalum, mwanamke huwezi kumuingilia kama mbuzi au kama punda au kama kuku, mwanamke anahitaji maandalizi maalum kwa ajili ya kumueka ktk mazingira mazuri kisaikolojia ili kupokea tendo la ndoa na ktk maandalizi hayo titi la mwanamke nalo pia linahusika ktk kumuandaa, sasa anatokea mtu kiongozi kama huyu anaongea mambo ya ndani hadharani kwenye hadhara ya watu huyu kiongozi ndio miongoni mwa wajinga wasiojua ni nini ndoa au nini tendo la ndoa tendo la ndoa ni starehe huwezi kumuingilia mwanamke kama unambaka, kama huna elimu ya jambo lolote usiongee mbele za watu hata kama ni kuongozi huo ni ujinga
Pole mana yamekukuta, sasa kwani we hujaelewa nini hapo? au ndo we unanyonya maziwi ya wanao unawanyima haki Watoto? Kukusaidia tu, umeambiwa usinyonye maziwa ya watoto kama ni hilo titi subiri muda wakua titi tupu utalivuta😂 kaaah Jmn 🤦♀️