Hii ni chaneli ambayo inajihusisha na mambo mbalimbali ya kijamii kama vile matukio, habari, mikutano, mahojiano ya vipindi na mambo ya kimaendeleo kutoka sehemu Mbalimbali.
Eh huyu mkuu yupo sawa kweli? hili jambo anatakiwa atoe elimu hiyo kwa usahihi, kuna kunyonya maziwa halisi kutoka ktk titi na kunyonya titi bila kuvuta maziwa na hivi vitu vinatofautiana matumizi kwa makusudioa maalum, mwanamke huwezi kumuingilia kama mbuzi au kama punda au kama kuku, mwanamke anahitaji maandalizi maalum kwa ajili ya kumueka ktk mazingira mazuri kisaikolojia ili kupokea tendo la ndoa na ktk maandalizi hayo titi la mwanamke nalo pia linahusika ktk kumuandaa, sasa anatokea mtu kiongozi kama huyu anaongea mambo ya ndani hadharani kwenye hadhara ya watu huyu kiongozi ndio miongoni mwa wajinga wasiojua ni nini ndoa au nini tendo la ndoa tendo la ndoa ni starehe huwezi kumuingilia mwanamke kama unambaka, kama huna elimu ya jambo lolote usiongee mbele za watu hata kama ni kuongozi huo ni ujinga
Pole mana yamekukuta, sasa kwani we hujaelewa nini hapo? au ndo we unanyonya maziwi ya wanao unawanyima haki Watoto? Kukusaidia tu, umeambiwa usinyonye maziwa ya watoto kama ni hilo titi subiri muda wakua titi tupu utalivuta😂 kaaah Jmn 🤦♀️
Asante Sana mheshimiwa mkuu wa mkoa Kwa uwasilishaji mzuri wa miradi ya kuifanya Kigoma commercial hub.Mheshimiwa rais atusaidie pia kuzijenga Barbara za Kigoma ujiji KISASA,kama ilivyo Kwa mikoa ya kibiashara,maana Barabara Za mkoa huu zinvyojengwa,ni aibu tupu,wananchi wanajiuliza maswali mengi.
Taarifa nzuri ila tungependa muwe munajitaidi kuzitoa tarifaa zote za kuhusu buhigwe haswa za pande ya tarafa ya Muyama kata ya Mugera tunazisikia kupitia watu badala ya kuzipata kwenye tovuti hii
Genious professor mchango wake unaoendelea uko ni moja ya juhudi zake anazo endelea kufanya kuipammbania jamii ya watu wa kigoma kwa ujumla tujivunie kuwa na prof Yanda tupo dar es salaam ila uwepo wake uku uku alipo anatuoneaha upendo wa hali ya juu na kutufungulia milango ya kuuendeleza mkoa wetu. Tunahitaji akina prof Yanda wengi wengi katika mkoa wetu