Тёмный

WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 231 тыс.
50% 1

#VYAKULACHINA #YIWUNIGHTMARKET
Yiwu Night Market ni sehemu maarufu kwenye mji wa Yiwu China eneo ambalo Wachina wengi hulitumia wakati wa usiku kama sehemu ya kupata vyakula vyao vya asili baada ya shughuli zao za kila siku, soko hilo hufunguliwa kuanzia saa 12 jioni hadi ya saa 10 alfajiri, Ayo TV, millardayo.com imepita eneo hilo na hii ni ripoti yake.

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 579   
@jndaki8273
@jndaki8273 4 года назад
Kam umemuona jmaaa anapiga miayo mbele ya vykula ivi gonga like😂😂
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
Mimi napendelea kula kaa pamoja na hiyo mikate nimekuwa nakuja hapo kwa. Wiki mala tatu jumatatu ijumaa na jumapili nimeolewa na muchina.❤❤❤
@twahatktekele9227
@twahatktekele9227 4 года назад
Nimependa Mzee Baba avokigonga kichina.,dadeq kam Jet Lee😁😁😁
@noshadysaid2493
@noshadysaid2493 4 года назад
Yaaaa nakubali
@fundi1996
@fundi1996 4 года назад
😄😄😄😄 hatari mzee
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Jet tree 🤣🤣🤣
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 4 года назад
Hilo jamaa linagonga kiswahili cha mtaani kabsa🤣🤣🤣eti we piga tu hyo
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@carenprudence4011
@carenprudence4011 4 года назад
Kama nataka kwenda china aisee nita beba vyakula vyangu kabisa 😂
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 года назад
Vikiisha hivo vyakula ustulaumu😀😀😀😀
@sifamdaki966
@sifamdaki966 4 года назад
Kila siku husema ivyo
@chingwanamalingumba8453
@chingwanamalingumba8453 4 года назад
Sifa Mdaki kuwa
@gracecharles1244
@gracecharles1244 4 года назад
🤣🤣🤣
@mesalimbindo2809
@mesalimbindo2809 4 года назад
,,😂😂
@fredrickwebiro3605
@fredrickwebiro3605 4 года назад
Kwamtazamo wangu nahisi kutokana na kuwa china ndio nchi yenye watu wengi kuliko nchi zote duniani inawezekana kunakipindi ilitokea baa la njaa watu hao wakakosa chakula ndipo wakaanza kula kila walichokiona mbele yao. Pia nafikiri kipindi hicho kiliendelea hadi hali ya chakula iliporejea lakina kwakua mazoea hujenga tabia basi wakajikuta wameanza kuzoea kula hao viumbe na kuweka hiyo kuwa kama tamaduni yao. Pia haina madhara sana kwenye miili yao kwakua viumbe hai wengi wana madini na proteins kwa wingi. Kikubwa ni kujua namna ya kuvitoa sumu kwa vile viumbe vyenye sumu kama nyoka walio na sumu au n'nge na viumbe wengine wenye sumu. Maana imagine hata watu wakiwa porini wakikosa chakula huwa wanakamata chochote wanachokiona mbele yao wanakichoma na kukila Mfano: wanaweza wakala kobe, nyoka, panya, nungunungu na hata konokono na bila kupata madhara yeyote. Hii inasaidia kupunguza njaa na kufanikisha kuokoa maisha yao kipindi cha njaa. Hongera kwa Millardayo.com na timu yenu nzima maana unasaidia kuwafumbua macho wa tz wengi kufahamu mambo yaliyokuwa yakisemekana kama stori kuwa ni ukweli. ******************** Shei shei **************
@OmariNyota
@OmariNyota Год назад
Kumbe una jua histori♥️♥️
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 года назад
Kma umesikia jamaa anamuuliza Bei kwa kichina #xiukayi😀😀😀😀 twende pamoja
@shekinahfaymatatiana5875
@shekinahfaymatatiana5875 4 года назад
Kweli adamu nahawa wange kuwa wachina atunge kuwa na dhambi ulenyoka wange mla😂😂😂😂😂
@husseinsalum5908
@husseinsalum5908 4 года назад
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
😅😅😅🙌🙌🙌🙌
@shekinahfaymatatiana5875
@shekinahfaymatatiana5875 4 года назад
Kwani uwongo jmn🤣🤣🤣
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 года назад
😂😂😂😂
@estherkoya8410
@estherkoya8410 4 года назад
Ndo maana wanyamq wengi wapo Afrika, china wangeisha had fisi
@dorkasmsuya362
@dorkasmsuya362 4 года назад
Hahah
@leticiaedward2365
@leticiaedward2365 4 года назад
Hash!
@puregamers4215
@puregamers4215 4 года назад
Hahahah
@Davidinstaller
@Davidinstaller 4 года назад
😂😂😂😂ni kweli kabisa
@likeothers2498
@likeothers2498 4 года назад
Hahahha
@katotalifestylemedia1789
@katotalifestylemedia1789 4 года назад
Kaka napenda Sana kazi yako. unatufungulia dunia. ningependa kufanya kazi kwako tafadhar. ......Amir Katota, Kigoma Tanzania.
@twahatktekele9227
@twahatktekele9227 4 года назад
Mzee Baba umepewa msosi mbna hujala.,utakosa vitamin😁😁😁
@abalfadhilabdulqahari3018
@abalfadhilabdulqahari3018 4 года назад
😂😂😂
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 4 года назад
Kaambiwa wee piga tuu
@luganohenry6141
@luganohenry6141 4 года назад
kama namuona jux anaandaliwa tandu na mchina wake😂ajipange😁
@salimomarmkapa
@salimomarmkapa 4 года назад
Hahhaha Mr Lugano umemwaga mtama sasa. Bro Nikama unaukweli flani hivi
@jacquelinosmond221
@jacquelinosmond221 4 года назад
Nimechekaaa
@salehahmedy3414
@salehahmedy3414 4 года назад
LUGANO HENRY hahahaha
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 4 года назад
😂😂
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 4 года назад
Hahaha duuh
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 4 года назад
Eti nile Mitandu sijui Minnge na mijoka . Dah labda nishikiwe bastola ,kwanza uyo tandu unaweza sema ni mcheni flan hivi umening'inizwa ,wachina kuleni tu izo vitamin zenu.
@niccomedia3147
@niccomedia3147 4 года назад
Duh hatariii
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 4 года назад
Konokono watamu sana.siyo china hata sisi huku kwetu hao wanaliwa.
@veronicatweve4786
@veronicatweve4786 4 года назад
Cosmas Thomas mhuu!🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
@osmundixavel780
@osmundixavel780 4 года назад
Haaaaaaaa
@christinakanan7450
@christinakanan7450 4 года назад
R
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 4 года назад
Eeeh dada angu, usisikie la kuambiwa,yaani is one of delicious meat!ungekuwa karibu nami ningekutafuta siku ili nawe upate onja radha yake.
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 4 года назад
Ndiyo,yaani siyo wachina tu,huku kwetu hata watu wa Western Countries(Europeans) wanapitia kaka.yaani ukiikuta imetengenezwa na ipo kwenye sahani ww hata hautofahamu kuwa ni 🐌.
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 года назад
Mi hiyo harufu tu nahisi nitajamba wiki mbili mfululizo😁😁
@carneystevenekon3330
@carneystevenekon3330 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@victoriaadhiambo1021
@victoriaadhiambo1021 4 года назад
😁😁😁😁😁😁
@jeskapeter6553
@jeskapeter6553 4 года назад
😂😂😂😂😂😂wabongo
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 года назад
@@jeskapeter6553 wamefanyaje😂😂
@bettykichuna7158
@bettykichuna7158 4 года назад
😂😂😂😂
@merryjulius4098
@merryjulius4098 4 года назад
Duh hapana kwa kweli..
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 года назад
LEO NDIO NIMEAMINI HAKUNA KABIRA CHAFU KAMA WACHINA NAWW KAMA UNA AMINI ACHIA LIKE WAZEE WA SAMAKI NCHANGA BINDA
@partsonlupenza9666
@partsonlupenza9666 Год назад
Kabila chafu lipi acha upumbavu uwe una fatilia na sababu
@merrycastor5836
@merrycastor5836 4 года назад
Mmmh jaman kichefuchefu 😆
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 года назад
Kwa namnahiyo utakuwa na uno kweli...ndio maana wamepigwa pasi kalio zao
@mutalemwagabriel2277
@mutalemwagabriel2277 4 года назад
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 года назад
@@mutalemwagabriel2277 😂😂😂
@mwanaidhussen1325
@mwanaidhussen1325 4 года назад
😂😂😂
@neemanyika2137
@neemanyika2137 4 года назад
Bongo star seach
@nasrarashid2996
@nasrarashid2996 4 года назад
Huhuhuhuhu
@purymark5281
@purymark5281 4 года назад
Wachina na Philippines hawana tofauti,mbwa anachinjiwa mgeni wa heshima
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 2 года назад
Yan hao ,,, duuuu Mbn bala
@brigitamash2007
@brigitamash2007 4 года назад
dou wanakula vituko inchi ya china wanakula wadudu mamayoo
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
😂😂Mmmh kwye vinyakula nd shida Kupe money ya tz iko up🔥🔥🔥🔥🔥
@gracejane4013
@gracejane4013 4 года назад
ati waenda hoteli waitisha. waiter naomba nyoka nusu na mix ya konokono😋😋😋
@noellahtheodory56
@noellahtheodory56 4 года назад
Hatar sana🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lydianangaki5420
@lydianangaki5420 4 года назад
😄😄😄😄😄😄,,,Apo sasa
@mishibabu8946
@mishibabu8946 4 года назад
Duh!nomare
@faucynkrctian6607
@faucynkrctian6607 4 года назад
4:47 ..😂😂😂😂 Kuna mchina apo pembeni anakula kwa macho
@vonexmobile9116
@vonexmobile9116 4 года назад
China zipo Restaurants ambazo hawapiki wadudu (Arabian Restaurants) unapata Halal Foods hamna mambo ya nyoka na mende lkn kama ww ni mgeni basi uje na begi lako la Vyakula vya kibongo.
@manenojames2011
@manenojames2011 4 года назад
Uko akufai kwenda
@ingawajekalupula8063
@ingawajekalupula8063 4 года назад
Dadadeeq Kobe anauzwa kitoweo Kama kuku😂😂😂😂nimejikuta nacheka kwa sautii
@micamathew6433
@micamathew6433 4 года назад
Mimi chakula ninachokipenda kuliko yote hapa ni konokono. Hahahahaaaaaaaaa dahhhh hahahahaaaaaaa, uwiii
@AK-is9xi
@AK-is9xi 4 года назад
Kuna ainambili wazanzibar pia wanakula na wanawapenda kichizi
@qasammawa5310
@qasammawa5310 2 года назад
A see,wafate maandiko,nazani hawana ustarabu s vyakula, vilivyoerekezwA namwenyezi mungu
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 4 года назад
China China China, mmmmmh noma snaA
@freddokuckelmann8502
@freddokuckelmann8502 4 года назад
Wasemeni tu Wachina na nyie muendelee kufa njaa wakati mna kila kitu cha kuliwa. Madini mnayo mnatupa wazungu tunachukua bure, baadaye mnapanda ndege zetu (ndege zenu hamzitaki) kuja kutuomba pesa (hizo hizo za kwenu) tena kwa kutupigia magoti. Mmepata raisi mjanja wa kuwasaidia, mnaanza kumsema vibaya. Kweli penye miti hamna wajenzi.
@antoinettedjumapili2522
@antoinettedjumapili2522 4 года назад
Freddo Kuckelmann yaani umesema kweli Afrika watu wengi wanalala njaa na chakula yote wako nayo
@jonathanmzava5010
@jonathanmzava5010 4 года назад
We mzungu choko tu
@donpillo7334
@donpillo7334 4 года назад
Fuck you
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
@@jonathanmzava5010 🤣🤣🤣🤣
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 года назад
Mzungu shoga wewe
@keshenidaniel5176
@keshenidaniel5176 4 года назад
Wachina ni watu washamba sana nini sasa icho
@afyatvtz6547
@afyatvtz6547 4 года назад
Jameni karibuni kwenye grup letu la afya kwanza najua ili tuinjoi kwenye maisha nilazima kua na afya njema chakufanya bonyeza link na itakuleta moja kwa moja kwenye gruup chat.whatsapp.com/CK8unsCAXK9IjW5eY3VzB8
@lawmaina78
@lawmaina78 4 года назад
Waafrika tunakwama wapi, muhimu sana kula haya mavitu maana yanaboresha hata kwenye ubongo, ndio maana huwa hatubuni chochote, tumekomalia ugali na wali tu.
@amosicronery7730
@amosicronery7730 2 года назад
wewe unakula?
@amosicronery7730
@amosicronery7730 2 года назад
kama unakula ntakutafutia konokono, wapo wengi hapa
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 4 года назад
Hao wana asili ya majini sibure khaaaa toba roho yangu duh mimi hata nikiwauwa bs naogopa jee kumla
@nellywizz9631
@nellywizz9631 4 года назад
Asil hzo mzee
@antoinettedjumapili2522
@antoinettedjumapili2522 4 года назад
Fatma khanii kwa nini watu wasio na elimu huweka mambo ya kishirikina na majini kimbelembele?
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 4 года назад
@@antoinettedjumapili2522 sio ivo mpenzi bali hivo sio vitu vyakawaida kula binadam niviumbe hatari
@antoinettedjumapili2522
@antoinettedjumapili2522 4 года назад
@@fatmakhanii1676 sio viumbe hatari kila watu na desturi zao na chakula vyao hata wao na wazungu wanaona chakula vya kiafrika na wanajiuliza maswali
@antoinettedjumapili2522
@antoinettedjumapili2522 4 года назад
@@fatmakhanii1676 naishi Australia nilipika majani ya viazi nikaweka samaki wa chunvi nikamupatia rafiki yangu mzungu akani uliza kwani chakula imekosekana kabisa ili nile majani ya viazi( matembele)
@hassanturky7511
@hassanturky7511 4 года назад
Ndomana wanapata maradhi ya ajabu ajabu. Na maradhi makubwa
@shabanismaily5777
@shabanismaily5777 4 года назад
Uchafu kama wote daah!
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 4 года назад
Ndio wario reta nacorona
@king-size8114
@king-size8114 2 года назад
Mmmhh
@hassanmkotya8167
@hassanmkotya8167 4 года назад
mmmh wananukia hadi hukuu kwelii noma
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 3 года назад
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂ww
@mukhtarmahat4131
@mukhtarmahat4131 2 года назад
24 hour economy..Let us try we Africans . we can prosper
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 4 года назад
Kamba ao watamu kinoma ata huku tz tunatumia na has a huku Zanzibar
@AK-is9xi
@AK-is9xi 4 года назад
Hapo sio kamba tu vingi zanzibar wanakula takriban vyote
@sgfdhaikuhusu6086
@sgfdhaikuhusu6086 4 года назад
@@AK-is9xi mhh si kweli Mimi nimeviona km vitatu tuu Acha kutufananisha na wachinaaaaa
@loisjackeliakim4339
@loisjackeliakim4339 4 года назад
Wapo chalinze ( tywford , keda ) wananunua chatu kwa laki 3 sharti awe mzima tu
@justerkaregi8044
@justerkaregi8044 2 года назад
Ni tamu sana sana wewe
@moodychanday9220
@moodychanday9220 4 года назад
Mi nikiwa China nakulaga sana hawa ila nikurudigi Tz nakausha
@arapharuhinda6308
@arapharuhinda6308 4 года назад
Umeoneka tu
@aminamohamed1914
@aminamohamed1914 4 года назад
Jamani huyo muarabu ala mdudu gani
@veronicatweve4786
@veronicatweve4786 4 года назад
Amina mohamed nzi
@chobastian-chobo5759
@chobastian-chobo5759 4 года назад
Hamisi kutoka pasiansi mwanza kule mlimani mpaka china 😂😂 safi sana kijana karibu sana mjini, we are proudly Tanzanians diaspora 💪🏼💪🏼🇹🇿
@Moon-wf2ec
@Moon-wf2ec 4 года назад
Bado nyau washawash sisimizi ngadu
@bonipahcemsigwa6375
@bonipahcemsigwa6375 4 года назад
Hiyo wee piga tu wala usijali. Ni vitu vya uhakika!!!! Mtangazaji vp mbona hujapiga vitu vya uhakika hivyo? Duh! 😁😁😁😁😁😁😁
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 года назад
Hahaha
@francissaanane5874
@francissaanane5874 4 года назад
aisee bora nisingeangalia, yak yak
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 3 года назад
Mmmh, maradhi hayataisha duniani
@nyingos
@nyingos 4 года назад
Halafu Kuna watu wanadharau samaki nchanga. a.k.a. panya
@DenrichStar
@DenrichStar 4 года назад
Daah inatisha
@anodijuni778
@anodijuni778 4 года назад
Hapo kwenye konokono hapan
@princematta2150
@princematta2150 4 года назад
china adi matapishi watu wanakula ndio chakula chao cha taifa
@justinemashine4292
@justinemashine4292 4 года назад
😣😣😝😝
@kmotivation1130
@kmotivation1130 4 года назад
kula kila kitu kama sio sumu ,mm yenyewe naona mbwa wamezagaa zagaa huku tz wakiwe bhna na konokono,paka deal kwel
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 года назад
sana ayooo tunakupata sana
@zawadiyusuf538
@zawadiyusuf538 4 года назад
Kazi ipo
@rashidsuleiman1531
@rashidsuleiman1531 4 года назад
nakukubali mkalimani tulikua pamoja pale Zhejiang Shanghai ndani ya qming big up broo.
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 года назад
Mmh wachina kiboko wamenishinda tabia adi mede nyuki
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 4 года назад
Kila k2 ni mazoea sioni ajbu kbxa hapo!! Maana na ww ungezaliwa hko kingekua ndo chakula chko hcho so hakuna cha kushangaa
@victormneney8236
@victormneney8236 4 года назад
Supu ya konokono ntatapika wiki Mendee mwezi chura 😤😤😤😧😧
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 4 года назад
Hahahaha
@furahadavid766
@furahadavid766 4 года назад
😂😂😂😂😂😂
@westzonetv366
@westzonetv366 4 года назад
Millard bwana
@shaban6644
@shaban6644 4 года назад
Ndo mana hawa jamaa uchumi wao upo juu sana Coz Wanapiga kazi masaa 24., imagine saa sita usku nyomi la watu kama wote utazani saa 8 mchana.,
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 4 года назад
Hapo kwenye mende napo uwiii
@asyabinmaulid9570
@asyabinmaulid9570 4 года назад
Heeeh wenzetu mungu akunusuru na coronavirus....
@BenMula36925
@BenMula36925 4 года назад
Millard Ayo kweli we fighter
@abubakarikisuju5374
@abubakarikisuju5374 4 года назад
Hawa pumbavu ndo mana wameleta corona
@sophiawerema5861
@sophiawerema5861 4 года назад
Hapo korona haiwezi kuisha jamani.
@rauhiyanyange1335
@rauhiyanyange1335 4 года назад
Milady ayo waulize kama wanaagiza mbwa kutoka tz mm niwaletee yupo wa jirani yangu usk kucha anapiga kelele sana
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 года назад
😂😂😂
@rauhiyanyange1335
@rauhiyanyange1335 4 года назад
@@niaanthony9588 uje kunisaidia kumkamata mwenyewe asjue tumpeleke china 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 года назад
@@rauhiyanyange1335 😂😂😂😂Sawa bwana maana mm hata mende nikimuona mnzima nachefuka roho ila kweli ndiomaana wachina wanafanana si kwaulaji mdudu yale
@rauhiyanyange1335
@rauhiyanyange1335 4 года назад
@@niaanthony9588 😆😆😆😆😆Ndiyo ukimona huyu sasa hivi kama ndo ulie muona mwanzo mm siwaelew hao
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 года назад
😂😂😂😂😂Jamani jaman
@mathewndunguru6340
@mathewndunguru6340 4 года назад
Wachina ni shidaa nimekubali wana apply sayansi ilivyo kuzingatia vitamin mbalimbali
@sarahemmanuel3455
@sarahemmanuel3455 4 года назад
Mmmh nasikia kinyaa nikitizama wanavyokula dooh
@upendozengula3416
@upendozengula3416 4 года назад
Mko juuuuu sana
@aliceuhiriwe8814
@aliceuhiriwe8814 4 года назад
Wakuje wachukue hizi mende zinatusumbua hapa
@bhoketugara9703
@bhoketugara9703 4 года назад
Kula sio ili mradi yako maelekezo mazuri katika eneo la kula hata ukiwa mchina ukiyatafuta utayapata.
@leilathango8411
@leilathango8411 4 года назад
Wewe kaka yetu umewnda huko china umebeba chakula au unakula cha wachina
@lewismpangala927
@lewismpangala927 4 года назад
Wanakula kila kitu kwenye maji kasoro melikebu
@edithajoseph9312
@edithajoseph9312 11 месяцев назад
😀😀😀😀😀
@consolathamsanga9733
@consolathamsanga9733 2 года назад
China kwangu hapana jamani
@salmaiddy6059
@salmaiddy6059 4 года назад
Mhhh mpaka nmesisimka
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 года назад
Dulla unatangaza vizur sana big up
@frankmapunda5017
@frankmapunda5017 4 года назад
Ahsante Millard
@annahisack3860
@annahisack3860 4 года назад
Mimi kwa kweli nimempenda huyo kaka anaekula ng'e aliekupatia kijiti akakwambia kula na ww kama vp naomba uniunganishe nae awe rafiki angu wa karibu
@annahisack3860
@annahisack3860 4 года назад
Plz niunganishe huyo aliekwambia ww piga tu nimemuelewa hatareee
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 года назад
🤣🤣🤣🤣
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Duh kali sana...
@godfreylyimo9442
@godfreylyimo9442 4 года назад
Hahaja hizi mambo in balah
@rodapesambili7650
@rodapesambili7650 4 года назад
Hao sio panya no simbilisi
@hawamohaa4973
@hawamohaa4973 4 года назад
Toba
@liliannaomi6981
@liliannaomi6981 4 года назад
Hiyo we piga wala husijali😂😂😂😂
@rehemshehoz8704
@rehemshehoz8704 4 года назад
Mungu anawaon nyie n mtakuf nyie mmetuletea coron kwa kul hz wadud 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sarahamos5535
@sarahamos5535 4 года назад
Ndo maana wanaiteketeza dunia na maulafi yao jaman
@kassimulugajo6512
@kassimulugajo6512 4 года назад
dula tza nakubali sana
@khalifamnyese8579
@khalifamnyese8579 2 года назад
Vifaranga muhhhh
@shariphkasweha870
@shariphkasweha870 4 года назад
jamani hadi tandu
@florakabena12flora29
@florakabena12flora29 4 года назад
Waah makubwa haya
@diamondplatnumz6155
@diamondplatnumz6155 4 года назад
Noma
@tokkichasikkomando8179
@tokkichasikkomando8179 3 года назад
Wooow chakula tamu sana aki
@naomileonald8895
@naomileonald8895 Год назад
Duuuuuh nimeangalia mara mbimbi jamni mmmh
@barakmazigo8945
@barakmazigo8945 4 года назад
Mtangazaj umetukosexh uhondo maan mambo meng hujaulza, ukufklia nge n hatar cn na niadimu cn wao wanawapata wap weng hvy
@hadijajumbe6291
@hadijajumbe6291 2 года назад
Sie tanga twala hiyo yaitwa mirindi ety konokono😂😂🙌🏼
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 4 года назад
*4:46** kuna mchina kaona nyoka kaanza kupiga mihayo hapo*
@philiponuru2371
@philiponuru2371 4 года назад
Khamis nawe piga t vitu,,
@na0m1fes51
@na0m1fes51 4 года назад
😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂
@exaverymakoyebatromeo3257
@exaverymakoyebatromeo3257 4 года назад
😂😂
Далее
Cute
00:16
Просмотров 2,5 млн
Bacon на громкость
00:47
Просмотров 87 тыс.