HUYO PADRI NI MSHILIKINA AISEE.Amezalillisha kanisa . Wote wachukuliwe hatua kali za kisheria kwa mauaji na ukatili mkubwa walioufanya. Hongera sana wananchi wa kijiji hicho na Jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri.
Mungu afadhali ungamishe dunia uanze upiya dunia matendo ya ajabu hatujuwi Tuendako dunia imelewa duuu Hivi Leo hii gafla mwalim Nyerere akirudii hatamini