Тёмный

WADAKWA WAKIWA na VIUNGO VYA MTOTO ALBINO WAKITAFUTA MTEJA, PAROKO na BABA MZAZI WAHUSIKA,. 

HABARIMPYA TV
Подписаться 629 тыс.
Просмотров 3,4 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 3 месяца назад
HUYO PADRI NI MSHILIKINA AISEE.Amezalillisha kanisa . Wote wachukuliwe hatua kali za kisheria kwa mauaji na ukatili mkubwa walioufanya. Hongera sana wananchi wa kijiji hicho na Jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri.
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 месяца назад
Paroko katili kabisa
@BakariKombo-er9xr
@BakariKombo-er9xr 3 месяца назад
Kazi ziendelee ,uchunguzi wa kina ufanyike ili iwe fundisho kwa jamii ya watu wasiokuwa na hofu ya mungu
@MonicaRaila-tn5rb
@MonicaRaila-tn5rb 3 месяца назад
Mungu afadhali ungamishe dunia uanze upiya dunia matendo ya ajabu hatujuwi Tuendako dunia imelewa duuu Hivi Leo hii gafla mwalim Nyerere akirudii hatamini
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 3 месяца назад
Heee jamani hadi paroko??? 😢😢😢 Wallah watu wamegeuka kuwa kobra. Maana hata shetani kanyooxha mikono
@emmanuelndotela9412
@emmanuelndotela9412 3 месяца назад
Jeshi la police mkiamu kufanya kazi huwa hamshindwi kabisa, Asante jeshi la police 😢😢😢
@KwanduKanuda
@KwanduKanuda 3 месяца назад
Eeee mungu wangu tunusuru
@AminaJuma-r4y
@AminaJuma-r4y 2 месяца назад
😢😢😢Pumzika kwa hamani mtoto mzuri
@HAM998
@HAM998 3 месяца назад
Hapa ndo tunajivunia jeshi letu la polisi
@michaelkitebo9305
@michaelkitebo9305 3 месяца назад
Ushetani unatafuna taifa, jaman MBONA watu sku hiz hawana hofu ya mungu?
@joycebayo8106
@joycebayo8106 3 месяца назад
Mimi ni mkatoliki ila ikidhibitika huyo baba paroko kahusika afungwe maisha. Na hataona mbingu huyo .
@WitnessKivuyo-cc6cq
@WitnessKivuyo-cc6cq 3 месяца назад
Jamani😢
@JoshuaLukandikija
@JoshuaLukandikija 3 месяца назад
Cy binadam hao ni simba kabxa
@RogeyMaxbravo-og8xs
@RogeyMaxbravo-og8xs 3 месяца назад
Mmmmhh,,jaman
@happymrema7487
@happymrema7487 3 месяца назад
Ivi kumbe hata mteja hawakuwa nae jaman
@michaelkitebo9305
@michaelkitebo9305 3 месяца назад
WALAANIWE MILELE WALIOFANYA KITENDO HICHO CHA KINYAMA
@BakariKombo-er9xr
@BakariKombo-er9xr 3 месяца назад
Inasikitisha mno na tamaa tata za kujipatia mali
Далее
How Israel Assassinated  Hezbollah Commander?
8:48
Просмотров 2,9 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 587 тыс.
Bajeti na faida ya kufuga broiler 200
11:19
Просмотров 18 тыс.