Wapiga kura Mbeya Mjini nadhani mnamwelewa Mh!Moina na kamati ya chama changu CCM nadhani mmemsikia Mpina sasa kama tunalitaka jimbo la Mbeya mjini basi tumsikie vyema Mpina
Katiba lazima ibadilishwe na serikali livunjwe...Viongozi wengi na Raisi mafisadi wakubwa...ukiwa mchapa kazi wanakushitaki...hamna utendaji wa haki nchi hii...
Tuko pamoja waziri mkuu tatizo lao hawajawai kusafiri innchi zawenzao wakaona maendeleo yalivyo warudishe pesa waache tunataka Tanzania yamaendeleo sio yawezi
Ukimtaja tu magufuli umejipunguzia mambo makubwa sana. Halafu hilo kwa chadema, hawajawahi kujua kama ni doa kubwa huwa linawapunguzia thamani kwa watu. Magufuli anaaminika na watu wengi zaidi, ukimsema wanakuona ni miongoni mwa watu usiyependa mafanikio aliyoyafanya magufuli. Hivyo jifunzeni kurekebisha hapo, watu watawaelewa zaidi kuliko kumdharau JPM
pambana mkuu msimamo mzito huo WA mahusiano but jilinde maana wenye msimamo huo bila kujilinda na kuwa makini wanaondoka Dunian mapema chagua team Bora inayochukia Yale unayochukia ukikuta wanayo mengine jaribu kushaur maana ss binadamu tunachangamoto nyingi
Dada Mungu azidi kukusimamia na kukuinua zaidi.Ukweli nimejiskia moyo wangu kuwaka hasira kali sana.Nahofia kutamka maneno magumu sana.Hivi Mkuu wa Wilaya kweli alishindwa nini ? Mkuu wa Polisi,wakuu wa Vituo,mwanasheria.Hakika nawaambia haya maneno hukumu ya Mungu ipo kwenu siku siyo nyingi.Makonda Mungu akazidi kukuinua piga kazi Baba.Hao wengne ni mawakala wa shetani.
Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa
Nianze kwa kuomba msamaha kwa serikali maoni yngu Makonda hastahiki kuwa mkuu wa mkoa, anastahiki kuwa cheo Cha juu zaidi ili awafikie watanzania wengine kama c wote.
Pole kakaangu nimeumia sana tena sana waziri wangu waone wanyonge dunia tunapita kaniliza sana hiyu kaka dah maisha haya utadhani sio nchi yetu tunanyanyasika mkombozi wetu upo wazari wangu
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..
Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno