Walikuja kupima watu kwa vile uchagusi umefika ila duh watanzania sio wale mliosoa kudanganya danganya Asante ndugu kwa kuwaambia ukweli lla kuwa makin niwatekaji wanakuangalia
Kwanini biashara ifanyikie Kenya kwanini tunajenga Kenya badala ya Tanzania? Jamani hatakama hatujasomea uchumi !! Inasikitisha sana Sana jamani tuipendeni nchi yetu tz!!
Wadau ni kweli kuwa tumetengwa, hii Tanzanite kwa sasa inapatikana kwa wingi huko bankoko, na kule inauzwa kama nyanya , yaani ni rahis sana, kafanyeni utafiti huko bankoko
Alisema dugai nchi itauzwa je Kama haijauzwa kwanini? Soko liko kwenya la kidunia wakati madini hayo tz peke yake wekeni soko la tanzanite liwe tz tunufaike wenyewe na serikali yetu ipate kodi
Arusha watu wana akili sana Tanzania nzima mikoa yote, wilaya zote na kata zote zinahitaji watu kama hawa. Nchi hii itanadilika. Mungu Ibariki Arusha 🇹🇿🙏🏽
Sendeka ana Ukabila hajawahi kuupenda mkoa wa Arusha, Alieiua Arusha kupitia Tanzanite ni Sumaye alipogawa mkoa wa Arusha kuipeleka Mererani kwenda Manyara, kwa kigezo cha Huduma kuwa karibu kwa watu wa Mererani, Hiyo ni wapi na wapi kutoka Babati mpaka Mererani Huduma iwe karibu? Hii akili ya kisiasa itatugharimu sana.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake kama mnataka tanzanite mhamie manyara haiwezekani chakula nipike kwangu nikuletee unigawie sahau na kama manyara ilikua ni mkoa moja na arusha irudi kuwa moja la sivyo mtaongea sana
ACHA SIASA SEMA MATATIZO YA MADINI HAYAFAIDIKI KWA UCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA SIASA TUACHE MANENO YASIYOFAA.HUYU JAMAA AMEONGEA MAMBO MENGI SANA KIKUBWA TUACHE SIASA ZA CCM ETI HATUTAPIGA KURA HUU NI WAZIMU TU TUACHE SIASA KWA MAISHA WATU
Tatizo lenu kesho mtampa kura tena msitumie nguvu nyiiingi wakataeni maccm wapo kisiasa kila jambo waonekane wamefanya kitu kumbe bumbuwazi tu kiini macho tu
Huwa tuna wasomi wa ajabu sana kuna jitu hata ukiliuliza kupandisha thamani manake nini hawajui unapandisha thamani kitu hakipo watu wanapataje hela tunataka mzunguko mkubwa sio kufungia mali yetu bado inauzwa kama drug's shame on you na akili zenu