Madereva na wamiliki wa malori ya mchanga katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamegoma kuendelea na biashara hiyo wakishinikiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kufanya marekebisho ya tozo mbalimbali zinazotozwa kwa shughuli za usafirishaji wa mchanga.
Mwandishi: Enos Masanja
✍official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024