Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee
Anaekataa Uchawi Aupo Uyo Ndie Mchawi Kwanini Wakati Wa Kuelekea Uchaguzi Mauwaji Yanakua Mengi Yenye Dalili Za Ushilikina Uyo Mkuu Wa Wilaya Wenda Cheo Chake Matokeo Ya Wachawi Unazani Atakaa Kimia Bila Kuweka Katazo Yesu Anajua Uchawi Upo Ndio Mana Mpaka Kihama Yanajengwa Makanisa Kuombea Watu Mtume Muhamadi Anajua Uchawi Upo Na Amelogwa Sasa Wewe Ninani Ambae Unasema Akuna Uchawi Umetokea Dunia Gani Wewe Ikiwa Mitume Inatambua Uchawi Upo Ni Shetwani Mimi Pia Mwaka Sikumbuki Nyumbani Kwetu Siku Moja Nilikuta Mmbwa Anabweka Shuleni Na Kufukuza Kitu Uku Akiwa Analudi Nyuma Kwa Woga Kiukweli Nilishangaa Mimi Sijaona Kitu Lakini Siku Walivopita Akina Lambalamba Uwezi Amini Palepale Walitoa Pepo Mpaka Mganga Akazimia Pale Pale.Serikali Awaamini Uchawi Lakini Viongozi Ndio Wanajaa Kwa Waganga Na Magali Yao Ususa Mwezi Wa12 Utakuta Magqli Kibao Ya Gharama Kwa Waganga Uchawi Upo Hao Wachawi Awawezi Uliwa Isipokua Wengine Wahamishwe Mimi Ushauli Wangu Kwa Waganga Kama Kweli Nyinyi Ni Waganga Wananchi Wawaamini Mlogeni Mkuu Wa Wilaya Atoke Kwenye Cheo Chake Naamini Mtazunguka Nchi Nzima Kutoa Mapepo Ayo Ambayo Hata Yesu Anajua Yapo Ndio Mana Kanisani Kuna Maombi Bila Mapepo Waumini Wangepewa Maelezo Kwa Muda Mfupi Sana Na Kuludi Majumbani Lakini Kwasababu Ya Mapepo Na Nguvu Zake Makanisa Yanajengwa Na Mtume Muhamadi Anajua Uwepo Wa Uchawi Sasa Mtu Mwenye Kubisha Anatoka Dunia Ipi Iyo Au Yeye Yuko Mungu Wake Ambae Niyadunia Nyingine
Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu
Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele, Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi Bayii
Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18
Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline
ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI
Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur
Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue. We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.
Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.
Kenya kunawachawi huyo präsentiert wa kenya piyeye anajuwa wile wachawi wanauwa watu abadilishe yoyote ambaye nimuchawi ajulikane ahakikishe kile kisherija cha kenya siile yakuwa wanaongeya ukweli musidarau raiyawenu niukweli wile wanaongeya
Watu kenya kunawachawi wachawi wanauwa kwahivyo itokane sheriya yakuwa kama mutu nimuchawi apelekwe kiaponi ? Siile munawatharu wile waongeya hiyo heiendi naomba sheriya yakenya ibadilike sikuuwana ovoovo wachawi wa onyeshwe tuko na präsent von kenya gut präsent gut ist?
Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.
Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa
Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu