Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.
msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc
Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.
Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya
Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....
Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........
@@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.
Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸
Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi
Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,
Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi
Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua
Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana. Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?
Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo
Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba
Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.
Kwa hiyo kule Zanzibar wao hawataki maendeleo. Ama kwa kweli akili zenu wabunge mnazijua wenyewe. Wewe ulichokiona cha maana ni yale makontena kushushwa kisasa tu, mbona hauzubgumzii uhalali wa mkataba.
Ifike wakati wene pesa, wenye elimu na wenye vipaji tuheshimiane na kila mtu afanye kwa nafasi yake. Kwenye mambo ya sheria na biashara za kimataifa, Musukuma waachie wasomi. Kuwa na pesa zaidi yao haina maana unaelewa kila kitu kuliko wao. Tumejengwa tofauti na kazi ilotuleta duniani ni tofauti. Nikihitaji nyumba nitamtafuta mwashi sio wew, nikiumwa nitamtafuta daktari sio wewe, nikihitaji kiti nitamtafuta selemala sio wewe na nikihitaji kujua bandari nitawatafuta wataalamu husika sio wewe. Acha wasomi waplay part yao. wamejengwa kufanya hayo, na wasipowajibika kuhoji na kudadisi kesho ya mimi, wewe, watt na wajukuu wetu haiwezi kuwa salama. Darasani walifundishwa kuiangalia historia, kuyaelewa mazingira ya sasa na kuitabiri kesho yetu tuwaache waisome na kuichambua hio mikataba. kufanya ubabae wa madaraka na fedha kuwaziba midono ni hatari kwa ustawi wa taifa.
@@mringoarts3710 Unafikiria pafupi mno! Create as much value as you can. Jamii ya wasakatonge haiwezi kuwa na maendeleo kamwe. Just imagine kila mtu amedrop out kaamua kutafuta pesa, utaishi dunia gani miaka 10 ijayo? Utatamba kuwa na private jet na hakuna rubani wa kuirusha? Utatamba na Iphone 14 na hakuna mutu anaejua elecronics? Utatamba na afya njema na hakuna mtu anakesha maabara kujifunza magonjwa na tiba zake? Tabibu atibu kwa uwezo wake wote, mwashi ajenge kwa kasi na ufanisi wa hali ya juu zaidi, Seremala aunde samani bora na za kupendeza... pesa ivutwe kwa kazi za mikono na akili zetu, tusiikimbize. Hapo ndo tutajenga jamii bora, hapo tutajenga maisha yenye maana.