Тёмный
No video :(

WAKE WENZA{ SEASON 4) EPISODE 8 FINAL 

Comedy Plus
Подписаться 145 тыс.
Просмотров 126 тыс.
50% 1

#Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : www.youtube.co...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 784   
@ComedyPlustz
@ComedyPlustz 4 месяца назад
Ahsanteni sana wote mliochangia Episode ya mwisho ya wake wenza.Mungu awabariki sana kuwa na moyo huo.
@nadzuamrema5837
@nadzuamrema5837 4 месяца назад
Pia nyinyi asanteni snaa kwa kutuletea filamu yetu
@user-st2ig6ds3f
@user-st2ig6ds3f 4 месяца назад
Asanteni na nyie pia kwa kutumia tukaiona mwisho ❤
@user-gp6fw7nh8e
@user-gp6fw7nh8e 4 месяца назад
Cm yako ndo tatizo
@sheylahpeter
@sheylahpeter 4 месяца назад
Jina LA wimbo please
@ComedyPlustz
@ComedyPlustz 4 месяца назад
Wimbo Tutaupost kesho ​@@sheylahpeter
@judithpendo9985
@judithpendo9985 4 месяца назад
Mlioanza mke mwenza adi final mko wapi jmn 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️team strong hoyeeeeeeeeee
@monicahjustus2018
@monicahjustus2018 4 месяца назад
Tuko hapaaa🔥🔥🔥🔥❤️☺️
@sadcome3213mapenzi
@sadcome3213mapenzi 4 месяца назад
Wa Kenya Hoyeeee nmefika yani sichelewi kabsa haya gonga like tukimalizia wake wenza❤❤❤
@KhabibtyUmmiKhabibtyUmmi
@KhabibtyUmmiKhabibtyUmmi 4 месяца назад
Wa kenya tupo tumejaa tele❤❤❤ tz nawapenda sana
@user-ib1gv8dq2r
@user-ib1gv8dq2r 4 месяца назад
Asanten sana team Bailam kw kazi mzur mloiyonesha ila episode ya mwisho saut ndo haina
@user-ib1gv8dq2r
@user-ib1gv8dq2r 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hassankalu540
@hassankalu540 4 месяца назад
Tupo pamoja
@KirivoloKakule-hu7ge
@KirivoloKakule-hu7ge 4 месяца назад
Muda wote nilikua naangalia sioni wake wenzu afadhali leo imetoka, likes zenu wote mulo shiliki mwanzo hadi mwisho tuone kama tupo wangapi🎉🔥🔥
@user-fl7mr4dt1p
@user-fl7mr4dt1p 4 месяца назад
Umeona eeee
@KirivoloKakule-hu7ge
@KirivoloKakule-hu7ge 4 месяца назад
@@user-fl7mr4dt1p yaani wee achat tu nili imis sana
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h 4 месяца назад
Umeonaee mm ap mwanzo mwisho
@christine7744
@christine7744 4 месяца назад
Mwanzo hadi mwisho patamu mwisho
@abuilfatbeka1122
@abuilfatbeka1122 4 месяца назад
hongereni sana kwa funzo hili naomba niseme jambo kwa NAOMI kama sio MUISLAM basi vazi la KIISLAM linakupendeza sana naomba allah subhanahu wataala akuonyeshe njia sahihi na uifate kupitia uhusika wako kwenye tamthilia hii . AHSANTENI NYOTE WASHIRIKI WA HII TAMTHILIA. NAOMI NIMEKUPENDA MNO.
@NatashaOmar-mo4fn
@NatashaOmar-mo4fn 4 месяца назад
Kweli kabsa Allah amuongoze aingie Katika dini ya haki in shaah Allah
@SalmaZainab-nh5id
@SalmaZainab-nh5id 4 месяца назад
Aamiin
@saumbliz8983
@saumbliz8983 4 месяца назад
Amiin
@user-ie6lz6gl5d
@user-ie6lz6gl5d 4 месяца назад
Asanteee sanaaaaa Kwa timu yoooooooteeee hongereni sanaaa Kwa kipaji
@faudhiashaban789
@faudhiashaban789 4 месяца назад
Hiiilii ni funzooo kubwaa mimi ni stability wa woteeee ilaa naomy mariam nawapenda sanaaaa mmewezaaaaaa
@RehemaKatana-hb4ei
@RehemaKatana-hb4ei 4 месяца назад
Watatu kutoka Kenya wapi likes 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mamudequeen
@mamudequeen 4 месяца назад
Naomi si uwe muislamu shoga yngu ❤❤❤❤
@mlongomlongo6680
@mlongomlongo6680 4 месяца назад
Wenye tunagaliya tukiwa ugaibuni tukiosha hamamu tukutane hapa tumalize wake wenza 😊😊😊😊😊😊
@helinasubila987
@helinasubila987 4 месяца назад
❤❤❤❤ hapa sana
@user-qr6wq9kk6c
@user-qr6wq9kk6c 4 месяца назад
❤❤ nime saau matusi ya mwanabu aki iko poa imeishaje jamani😢😢😢
@cabylake2320
@cabylake2320 4 месяца назад
❤❤❤😊
@user-fk8vn8pi9l
@user-fk8vn8pi9l 4 месяца назад
Kweli .kitu smart sana ....asandeni pia waingizaji wote ... Kazi Zuri kabsa ❤❤❤❤❤much love from Kenya .....Ngoma ya mnganga uendelee basi
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 4 месяца назад
Asante sana ubarikiwe bhailam kazi mzuri mno tumejifunza mengi big kwema nawapenda nyote ❤️🥰❤️ sema jojo kila nikikuona nakuwaza kwenye my love😂😂😂😂😂😂
@HalimaSalehe-cd5em
@HalimaSalehe-cd5em 4 месяца назад
😂😂😂
@luckylucky7153
@luckylucky7153 4 месяца назад
Haya ndo mambo Sasa sisi ndo mashabiki zenu shukuran sana kwakutuletea hama hii movies bhalam nakukubali sana
@user-by3ll9ge7y
@user-by3ll9ge7y 4 месяца назад
Kazi nzur sana nimefrah kwakweli Allah azidi kuwapa nguvu katika filam
@DinahNish-bm9sr
@DinahNish-bm9sr 4 месяца назад
Napenda waislam wanavyo fanya ibada jmn hadi raha
@user-ji6cp1ng8g
@user-ji6cp1ng8g 4 месяца назад
Slimu mpendwa wangu ufate dini ya haki
@user-bo1ew3xq6w
@user-bo1ew3xq6w 4 месяца назад
Karibu sana kusilmu bure.
@user-fl7mr4dt1p
@user-fl7mr4dt1p 4 месяца назад
Karibu Sana mdogo wangu Allah akuongoe na akisimamie ammin
@Bintiade1922
@Bintiade1922 4 месяца назад
Hata ww waaweza fanya ibada hukatazwi kwa Iman yako
@DinahNish-bm9sr
@DinahNish-bm9sr 4 месяца назад
@@Bintiade1922 sio kwamba sifanya nimesema napenda wanavyofanya waislam
@lailahmohamed6749
@lailahmohamed6749 4 месяца назад
Hongera Sana kwa tamthilia yenye mafunzo mazuri. Mungu awabariki nyote. ❤❤❤❤❤❤❤❤
@audrickiranzi2810
@audrickiranzi2810 4 месяца назад
Burundi🇧🇮 people please like zenu
@Pmida6943
@Pmida6943 4 месяца назад
Ndi aha 🇧🇮🇧🇮🤜🏾🤛🏾♥️♥️♥️
@seigneurdieu9351
@seigneurdieu9351 4 месяца назад
Tupo ❤❤
@user-py5hz5qb8j
@user-py5hz5qb8j 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@shafiethecompatriot2377
@shafiethecompatriot2377 4 месяца назад
Ahsante kwa yote jamani Nawashukuru saana. From Uganda 🇺🇬. SHA5FIE 🌠 THE 🌠 COMPATRIOT
@nadzuamrema5837
@nadzuamrema5837 4 месяца назад
Mashallah mmetuletea final episode 👏 thnks
@nemahk2361
@nemahk2361 4 месяца назад
Bhailam hongera sana ww pamoja Na team yko❤❤❤❤
@user-pv5xn6vc1w
@user-pv5xn6vc1w 4 месяца назад
Nimefurahi sana kuioyona finally Ep asanteni sana muwe na kazi nzuri baada ya hii 🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏👌kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JanethJoseph-tq2ns
@JanethJoseph-tq2ns 4 месяца назад
Imenigusaaa sana Jaman 😢😢, kwanzia mwanzo hadi sasa hongereni sana 🙏♥️♥️
@user-yu4tt8hx6q
@user-yu4tt8hx6q 4 месяца назад
Nachukua furusa hii niwashukuru sana wana wake wenza woote niwape hongera kwa kazi yenu nzuuuri mno.naipenda sana tamdhiria yenu nipo zangu kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nawapendaga bure tu.
@ComedyPlustz
@ComedyPlustz 4 месяца назад
🙏🙏
@veronicakhamisy
@veronicakhamisy 4 месяца назад
Hongereni sana kwa funzo nime jifunza kitu na mov ni ipendayo ime isha vzr sana
@Riamaproduct
@Riamaproduct 4 месяца назад
Kwakweli hii ilikuwa nzuri sana hongereni mungu awaongoze muendelee kufanya vyema zaid
@FabriceShandwe
@FabriceShandwe 4 месяца назад
Mubarikiwe sana kwa mafundisho yanayo patikana kwenye filamu hii, yameninifunza mengi. Mzee Simba uko star mkubwa sana, Mariam umecheza vizuri sana, Bailam tunasubiri kali zaidi ya hii. Ila wake wenza imechukuwa na fasi ya kwanza kwenye internet na kwenye mchezo zote nilishaka wahi ona.
@MercyNaliaka-ke9lm
@MercyNaliaka-ke9lm 4 месяца назад
Nimejifunza mengi kupitia hii episode aki Allah awabariki mashallah
@emmanueliusemmanaimablecic2243
@emmanueliusemmanaimablecic2243 4 месяца назад
Wa kwanza kabisa , nipeni liké zangu
@user-ss8zw7ep1z
@user-ss8zw7ep1z 4 месяца назад
asanteni sana bailam na ukumbi wako wote Kwa filamu hii ya wake wenza❤❤❤❤
@1czay
@1czay 4 месяца назад
Mzee hamza unakatabasam flaani ❤❤to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-le8bg9md9c
@user-le8bg9md9c 4 месяца назад
Wow hongeren kwa mafunzo mliyotufunza team bailam
@marcellinemayuto
@marcellinemayuto 4 месяца назад
Yani congratulations movie nzuri sana tumejifunza kitu apo 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 4 месяца назад
Asante sana nyinyi wote mulioshiliki kwa kudupa mafunzo mazuri tunawashukulu sana ilikua pambe mumedufulahisha mno mutuandalieni vitu vizuri tena tuko na nyinyi sambamba maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@user-fe8od1uw4j
@user-fe8od1uw4j 4 месяца назад
Wake wenza imetoka mbali san mungu awabariki sn kwa kz yenu .tuko pamoja lshaa allah🤲🤲🤲
@Winleizerabdy
@Winleizerabdy 4 месяца назад
Kazi nzuri nashukuru sana mi binafsi
@user-sy9cu5ef5q
@user-sy9cu5ef5q 4 месяца назад
Wow Asante sana kwakutuletea mwisho muzuri sana nimefurahi kumuona mzee simba kapona napia Familia imerudisha furaha 😂😂❤
@magdalenew.mwanyota5901
@magdalenew.mwanyota5901 4 месяца назад
Mzee simba mwenyewe anatembea kama hiyo simba😂😂😂😂😂😂😂😂sai ni wakati ya familia yetu kulipa uzuni bye 👋 ♥️ 🤣 😂 ❤️ 😆 😂😂😂😂😂😂😂😂 natumai tumejifunza jambo hapa ndungu zangu wa comedian tv 😂😂😂😂😂😂😂😂yangu ni kusema tu asante na mmenifunza sana nisiwai kata tamaa katika maisha nami nitamtetea babangu kwa kila jambo nakupenda sana babangu allah akupe umri mrefu inshallah 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋
@VanillarGia
@VanillarGia 4 месяца назад
Mko vizuri sana bailam, naomi. Na mzee simba mmetisha sana jmn hii ni kari nategemea kuwaona hvhv kweny move nyingine
@HadijaHusen-od2bw
@HadijaHusen-od2bw 4 месяца назад
Jamani nimechelewa ila so sana kazi nzuri sana comedy plus
@user-my1vi6wv9h
@user-my1vi6wv9h 4 месяца назад
Hongeren saan uongoz wot sisi tunawapenda❤❤❤🎉🎉 kwa kutupa finally
@Mimy_keys
@Mimy_keys 4 месяца назад
Wa 5 leo , Naombeni Like na mm 😢😊😂
@zainabmussa-jz2ys
@zainabmussa-jz2ys 4 месяца назад
Asanteni sana kwa kutujali nawapenda mnaweza kinoma noma
@magdalenew.mwanyota5901
@magdalenew.mwanyota5901 4 месяца назад
Lakini mjomba wa my love AKA bwana hamza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu mzee huwa cute kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,
@RizikiZiki
@RizikiZiki 4 месяца назад
Wacaweee mze simba karudi mpya kabisa haya twende kazi sasa kukomesha maaduwi zetu funal imeingiya asanteni sana washirika wa wake wenza kwamafunzo mazuri natumai mutatuleteya nyingine nzuri kuzidi iyi❤❤❤🎉🎉🎉
@MariamAli-eh6bw
@MariamAli-eh6bw 4 месяца назад
Tanashukuru sana kuona final jamani mungu awa bariki from Congo 🇨🇩🇨🇩
@falinamgala5345
@falinamgala5345 4 месяца назад
Waoooohhh!!! Good job bhailam🎉
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 4 месяца назад
Ahsanten kwa kaz nzr. Tuleteeni nyengn
@HaluaKaschana
@HaluaKaschana 4 месяца назад
Wooh ahsante saana Wana comedy plus mmefanya Kaz nzur sana..kaschana ktoka kenya
@hamarosylvano9500
@hamarosylvano9500 4 месяца назад
One of my favourite programs. Pongezi wanafilsmu wote. I loved each and every actor ❤️ ♥️ 💕 💙 💜
@MaryamuKhamis
@MaryamuKhamis 4 месяца назад
Mashallah Mashallah ❤❤ hogeren sana Mungu awabariki sana tunawapenda sana❤
@user-yg9hj8ps2h
@user-yg9hj8ps2h 4 месяца назад
Nami mwengine amependa hii part ya mwisho mzee simba na familia yake mashaallah
@HawaBakari-bs4yo
@HawaBakari-bs4yo 4 месяца назад
Muhimu tyuu ni kuendelea na kazi nzurii kama hizii ndugu zangu 🎉🥳🥳🥰♥️
@gihungaselemani8727
@gihungaselemani8727 4 месяца назад
Season ya wake wenza n somo kwa kila mtu Asante comedy plus kwa hii season
@A.moses_24
@A.moses_24 4 месяца назад
Hongereni saan team comedy plus kwa kuifunza jamii katika hali tofauti..ukwel kwamba kazi imefanyika kwa uwez n maarifa ya upekee kabsa hongeren saaaana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@garirehema767
@garirehema767 4 месяца назад
Asanteni sana kwa kazi nzuri
@ShamyScholastiqueMatadi
@ShamyScholastiqueMatadi 4 месяца назад
Tuna shkr sn kwa kazi zenu zuri Allah awajalie mfike bali Naomi Na mkumbali sn
@faudhiashaban789
@faudhiashaban789 4 месяца назад
Hiiiii movies mmewezaaa mmezishundaa zoteeee mashaallah mashaallah mashaallah mtoeee zingineee bolaa zaid 🎉🎉🎉🎉 hongereeen sanaaa❤❤❤❤❤
@muhammadamir2901
@muhammadamir2901 3 месяца назад
Bwana Hamza na team yako hongera sana kwa kazi nzuri umeupiga mwingi, Bwana hamza ndo uzuri nkuchane wanyanyavandu 😅👏
@user-jf3qz3il3u
@user-jf3qz3il3u 4 месяца назад
Much love from saudia Arabia really appreciate that kazi nzur sana ❤❤🎉
@MulasiMikwa-hc8rg
@MulasiMikwa-hc8rg 4 месяца назад
Wow kazi nzuri sana we really enjoyed the story mwanzo mwisho❤❤
@user-bf1vf8pb8g
@user-bf1vf8pb8g 4 месяца назад
Nilipeda sanaaaa nilifata molipoanza hadimwisho Asante kwamafunzo
@user-rl4cf6tc5n
@user-rl4cf6tc5n 4 месяца назад
nimefurahi sana kumwona mzee simba kurdi kwenye hali yke ya kawaida
@user-ov6yi7vw7d
@user-ov6yi7vw7d 4 месяца назад
Wow mashallah tamu kweli hongereni comedy plus much love ❤️❤️
@aisajs8303
@aisajs8303 4 месяца назад
Hongereni wanacomedy plus . Kaz nzr 💪💪💪💪
@user-kh3hr8si2j
@user-kh3hr8si2j 4 месяца назад
Finally 🎉sema kungoja waa much love from team strong #doha
@SarahAimedy-us7if
@SarahAimedy-us7if 4 месяца назад
Nîme aza nayi Nîme maliza nayi liké zangu apa🎉🎉🎉❤❤❤❤
@AngelineSidi
@AngelineSidi 4 месяца назад
Hongereni sana team bailam natamani kumuona dinyo akiwa kichaaa
@EsperanceNzeyimana-wu8ks
@EsperanceNzeyimana-wu8ks 4 месяца назад
Ahsanteni sana nyinyi wote nawapenda sana from Burundi❤
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 4 месяца назад
Masha Allah 🎉🎉hongereni ❤😊😊wote mloshiriki dinyo 😂😂😂 na sheikh masoud
@JaneNdugu
@JaneNdugu 4 месяца назад
Shukuran sana wake weza 🎉🎉🎉🎉mashalah p❤
@user-oj1dv7ci1v
@user-oj1dv7ci1v 4 месяца назад
❤❤❤❤ nawapenda sana mzee simba na timu yako kwakweriii mnafundisha sana
@EugenieKwizera-bg8jr
@EugenieKwizera-bg8jr 4 месяца назад
Kazi nzur san Bhailam, na mzee Simba Mungu aendeley kuwap ujuz na uwigizaj wazaid napend san kufatia comedy plus from buja
@elroyaladyzu349
@elroyaladyzu349 4 месяца назад
wallah ina mafunzo mno ntaimiss sana jman tuleteeni n nyengine nzury kama hii❤😊
@user-jx4rx6jy6y
@user-jx4rx6jy6y 4 месяца назад
Hongeren sana kwakaz nzuri ❤❤❤nawapenda wote
@LatifaIrakoze-dl3yi
@LatifaIrakoze-dl3yi 4 месяца назад
Asanteni sana kwa episode ya mwisho ya wake wenza tunawapenda sana sikutamani iishie hapa nilitamani ienndelee 😢
@emantz3623
@emantz3623 4 месяца назад
Mashaallah Mashaallah Asante sanaa ❤
@user-pd4rl3mx2w
@user-pd4rl3mx2w 4 месяца назад
Congratulations Mr Bailam🎉kazi nzuri sana
@SeleIddi-gj9fu
@SeleIddi-gj9fu 4 месяца назад
Well done Kazi Nzito na Nzuri Keep it up
@zaharaidd8445
@zaharaidd8445 4 месяца назад
Shukran comedy plus kwaku tuburidisha kwa hicho kipindi chote...kazi Safi we can't wait for another bang 👊salute watu wangu👌💪kudos 🇰🇪🇰🇪
@Daestoto
@Daestoto 4 месяца назад
Mafunzo mazuri sana,nawapenda nyote guys
@paulinekombe3753
@paulinekombe3753 4 месяца назад
Asanteni sana kwa kazi zuri nawapenda bure mungu awabariki chukuweni mauwa yenu 🎉🎉🎉 l love you soo much guys ❤❤
@user-id6mn3mv8z
@user-id6mn3mv8z 4 месяца назад
Duuu mwisho mwema jaman,hakika apandaho mtu ndicho avunacho tujitahidi kutendabyaliyo mema mwisho tutauvuna wema wetu,Mchezo mzuri sana barikiwa kwa kutuelimisha na ktufunza pia
@user-qr6wq9kk6c
@user-qr6wq9kk6c 4 месяца назад
Afadhali imetoka nilikua nasubiria Sana ❤❤❤Mach love kutoka kenya😂😂😂
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 4 месяца назад
Asante Kwa kutuhitimishia final yetu Mwenyezi mungu awatangulie Kwa Kila jambo unalolipanga.....kama nawe ni shabiki tafadhali gonga like ili tuende sawa huku tukiwsachia maua yao🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tk6fe6ve6z
@user-tk6fe6ve6z 4 месяца назад
Jamani ilivyo nzuri sitaki iishe kabisa mashaallah tabaraka irudiwe tena au iyendelee jamani yani ni nzuri kweli
@minanietienne-sz8xu
@minanietienne-sz8xu 4 месяца назад
Kazi nzuri sana kwa nyinyi wote
@zuwenamajaaliwa1353
@zuwenamajaaliwa1353 4 месяца назад
Hongreni team mzima kwa kutuletea final hii comedy ni mzuri na Ina mafunzo ndani yake
@fayojarso3777
@fayojarso3777 4 месяца назад
Asanteni sana, mimi nataka kuomba nyinyi plz, tamthilia ya mchawi na tamthilia ya shetani usicheze hiyo ni mbaya sana,hata mwenyezi Mungu ataki plz, tafadhali chezeni tamthilia ya kuchekesha watu plz,
@user-fh4xd1im2c
@user-fh4xd1im2c 4 месяца назад
Hivi mmetuaga vizuri saana,Asante sana wapendwa
@user-ix9nd2jt8j
@user-ix9nd2jt8j 4 месяца назад
Mashallaah familia ya Mzee Simba inapendeza kwa mavazi ya kiislam
@petersige5802
@petersige5802 4 месяца назад
Shukurani sana wapendwa Mungu awajalie mtoe kazi nzuri nyingine
@Sharirer
@Sharirer 4 месяца назад
Wow mungu awabariki sana kabisa ❤❤
@user-yz6ff1ed9i
@user-yz6ff1ed9i 4 месяца назад
As salam alaikum! Niwashuru sana ndugu wapendwa kwa elimu yenu mungu awalipe kila la rheli! 🙏
@Sharifaliuma-gb3vt
@Sharifaliuma-gb3vt 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉 hongera kwa kazi nzuri
@user-xb6pk3en8j
@user-xb6pk3en8j 4 месяца назад
I was very happy to see dinho became befok 😂😂he made so grateful I did like it a lot
@aishajuma6706
@aishajuma6706 4 месяца назад
Kutoka.kenya.❤❤❤i'm Hiii movie.iko.sawa.sana
@user-ri4bm8ly3c
@user-ri4bm8ly3c 4 месяца назад
Mashaallah team bhailam mnajua tena munajua tena😊😊❤❤🎉🎉🎉🎉
@anneangel556
@anneangel556 4 месяца назад
WOW I love you shows😊 Bairam congratulations ❤ ( from Kenya)
@ndayizeyenusla5935
@ndayizeyenusla5935 4 месяца назад
Hongeren saaana ,kaz nzuri
@helinasubila987
@helinasubila987 4 месяца назад
❤❤❤❤ ilove his kwasa yote wanasitahili athabu kweli lakini ndiyo aaa nimefula yangu yote wagapi tulisigoja athabu ya ndiyo😂😂😂😂😂😂 mimi kutoka kenya hagoleni sana sana kazi safi
@defranco3100
@defranco3100 4 месяца назад
mwanzo mzuri na mwisho mmeupatia u guys deserve a gift🖐
@user-ok5qg1ig6x
@user-ok5qg1ig6x 4 месяца назад
Kazi nzr san mungu awabariki
Далее
JOTO | FULL MOVIE
58:49
Просмотров 108 тыс.
Паук
01:01
Просмотров 2,8 млн
MTOTO WA SHEIKHE (Ep 1)
22:09
Просмотров 101 тыс.
GUBU LA RAMADHANI sehem 1
8:28
Просмотров 3,1 тыс.
WAKE WENZA (SEASON 4) EPISODE 6
23:19
Просмотров 114 тыс.
KAFIA GHETTO FULL MOVIE
2:34:15
Просмотров 615 тыс.
IMAAN - EPISODE 31 | FINAL | STARRING CHUMVINYINGI
20:09
#Live :  [06.09.2024] MATENDO MAKUU
Просмотров 67