Pengine wewe hujafahamu Kutubu nikitu chengine Na kuuwa ni kitu chengine Nakufahamisha kama ulifanya zambi ya kuuwa au nyengine zozote zambi kwa kusudi Msamaha hakuna.Na wale wenye kupitisha sheria mungu anawalipa kheri. Mungu kasema kulipiza kisasi ni sheria ila ukisamehe mungu anakusamehe zaid Kaka umefahamu
Watangazadji wanasema et ni révolution ndio lakini ni révolution ya shetani kama alivo ahidi mungu yakua atawababaisha atawasaliti kufanya mayovu ili yasiende pekeake motoni inakua je mongozi wa dini anaruhusu ndola yajinsia ??? Hâta kwenye biblia haipo yesu. hajaruhusu mtume luth agaipiga Hao mambo mpaka akaomba mungu awapige viboko mpaka ardhi mungu akayiondowa
۞ فَلَمَّا أَحَسَّ عِيسَىٰ مِنْهُمُ الْكُفْرَ قَالَ مَنْ أَنصَارِي إِلَى اللَّهِ ۖ قَالَ الْحَوَارِيُّونَ نَحْنُ أَنصَارُ اللَّهِ آمَنَّا بِاللَّهِ وَاشْهَدْ بِأَنَّا مُسْلِمُونَ [ AL I'MRAN - 52 ] Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu.