Wakulima tarafa ya Pawaga iliyopo wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa wameishukuru serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa mradi wa ujenzi skimu ya umwagiliaji ya Mkombozi, kwani utekelezaji wa mradi huo utawasaidia wakulima kulima zaidi ya msimu mmoja na kuwa na kilimo cha uhakika.
Mradi wa ujenzi skimu ya umwagiliaji ya Mkombozi una thamani ya shilingi bilioni 55 wenye jumla ya hekta 6,000 ambapo kukamilika kwake unatarajiwa kunufaisha zaidi ya wakulima 16,000 vijiji sita ikiwemo Itunundu, Boliboli pamoja na Pawaga.
Kukamilika kwa mradi wa ujenzi skimu ya Mkombozi utaongeza tija ya uzalishaji, usalama wa chakula na kuinua kipato Cha wakulima katika mkoa wa Iringa na taifa kwa ujumla.
..............................................................................................................
#01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1 @TBC_Online @ikulutanzania255 @globaltv_online @kilimotv1730 @millardayoTZA @uhondotv5210 @WatchTanzania @Channeltenonline @CLOUDSMEDIA @chamachamapinduzi-official2767 @CNBC @CNN @bbcswahili7924
5 сен 2024