Sepa achana na abiola chapa kazi upate hela sura ya abiola inatisha tuu yaani ningekuwa mimi ningemkimbia mtu ana watt 7 kila mtm ana mama yake sasa wa nini?
Kwel we mama ni shujaa,, hongera nyingi zije kwako kwa ushujaa huo!! kwel kinamama tunapitia mambo magumu na ya kikatil but tusichoke tujipe moyo tutashinda!!! big up kwa akinamama wooooooote kwan nimashujaa!!!!!
kwakweli hiki kilio cha wengi maisha yako kama yangu lkn hivi kunawakat inabidi serikali itutazame wanawake tunasababishiwa maisha magumu lkn namshaur huyu mama mungu antulipa hapahap dunian
Ukweli Nimekuvulia kofia....na sina chakukoments kwako...nimefikia mwisho...hongera mmno Mh..kumbe hadi ndoa za wananchi wazishuluhisha kwa wekedi hivyooo...ila naomba wakati mwingine..ukiwa kwenye utatuzi kma huo huyo mpendwa kiongozi (m mama) hapo pembeni yako usiandamane nae...maana wewe unaongea point yeye anacheka tuu...dah.sijafurahishwa naye jamni.
Magonjwa yooote haya now anatembeza tu 1200 zake kila mahali c kujifharirisha mwili huko.mama kinachomkalisha hapa watoto na asikubali kumpa penzi hadi wapime Ngoma kwanza maana abiola mwenyewe akashashupaaa mashavu.mke mzure be mnyarukoro
Duh jamaa sio poa. Huwez kushinda na mwanamke mwanamke anafanya kosa akiwa na jibu tofaut na mwanaume ndio maana kes nyingi za mwanaume na mwanamke hawawez kushindana.Mungu tu asaidie ndoa zidumu.