Тёмный
No video :(

WALIFANYA JARIBIO LA KUMUUA SHEIKH ABUL FADHWIL MAFUTA حفظه الله تعالى, SHEIKH ASIMULIA. 

ABUL FIDAA ASSALAFIYYAH
Подписаться 313
Просмотров 4,8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@HajiDibwa-n2f
@HajiDibwa-n2f Месяц назад
Allah akuhifadhi sheikh wetu Abdul fadhi Qassimu mafuta Qassimu na akupe mwisho mwema inshaallah
@ibrasaid9256
@ibrasaid9256 Месяц назад
ALLAH AMHIFADHI SHEIKH WETU KIPENZI NA AWAHIFADHI MASHEKH WOTE WA KISALAFI KWA UJUMLA KATIKA NCHI YETU HII NA EAST AFRICA KUTOKANA NA SHARI ZA WAOVU, NA ATUTHIBITISHE SISI PAMOJA NA WAO KATIKA HAQQ MPAKA SIKU TUTAYOKUTANA NA MOLA WETU
@sophiakassim6979
@sophiakassim6979 Месяц назад
Aamiin
@MussaMussa-ph6wm
@MussaMussa-ph6wm 29 дней назад
Aamin. ALLAH awahifadhi Masheikh zetu. Kisha daima TUNAMUOMBA ALLAH AFYA NA ULINZI NA THABAAT
@zanlec7357
@zanlec7357 8 дней назад
Allah akulinde n kukuhifadhi Sheikh Kassim Mafuta. Aamin
@abdulsalaam5166
@abdulsalaam5166 Месяц назад
Allah akubaarik shekhe wetu.na shari za Mahaasidi wa Manhaji Salafy
@AbdiShemndolwa
@AbdiShemndolwa Месяц назад
Allah akuhifadh shekh wetu
@MussaMussa-ph6wm
@MussaMussa-ph6wm 8 дней назад
Aamin Aamiin Aamiin
@RamadhaniOmary-x6u
@RamadhaniOmary-x6u Месяц назад
MaashaaAllah! Allah akuhifadhi sheikh na awahifadhi waislam woote popote walipo
@zaydamos874
@zaydamos874 Месяц назад
Nakupenda sana sheikh Qassim mafuta Allah akupe umr mrefu sana
@RamadhaniOmary-x6u
@RamadhaniOmary-x6u Месяц назад
MaashaaAllah! Allah akuhifadhi sheikh wetu
@BakariBinuri
@BakariBinuri Месяц назад
Allah akuhifadhi shekhe mafuta
@user-ry3uz7ni6b
@user-ry3uz7ni6b Месяц назад
Mwenyezi mungu atakuhifadi na dawah itasonga mbele
@DossaAbuzufaila
@DossaAbuzufaila Месяц назад
naam Allah akuhifadh na shari zao
@amenakenya7993
@amenakenya7993 Месяц назад
Allah awaifdhi masheikh wetu wooote waki salafi Allahuma Amiy
@abulhusseinmpare-yw3dn
@abulhusseinmpare-yw3dn Месяц назад
Allah akukinge na shari zao
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Месяц назад
Hii audio ni ya muda gani?
@tariqsinga8440
@tariqsinga8440 Месяц назад
2014
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 27 дней назад
Usalafi jadida ni uzandaqa
@hamzajuma6830
@hamzajuma6830 21 день назад
Wewe nae likichwa lako sijui limejaa makamasi!! Unajua maana ya salafia jadida au unatopokwa tu baada ya kujaza tumbo lako
@azizaj776
@azizaj776 Месяц назад
ACHENI , KOMENI , muwe na khofu na MOLA Mtukufu kwa kusema uongo, waongo wakubwa nyie toeni taarifa polisi ifanye uchunguzi tujue mbichi na mbivu au tinaihifadhi hii clip ili tuikabidhi Jedhe la polisi lifanye uchunguzi tujue ukweli
@abulfidaassalafiyyah
@abulfidaassalafiyyah Месяц назад
@@azizaj776 ndugu yangu sikiliza maneno vizuri acha chuki na baadhi ya watu
@user-kd1vp7cz5w
@user-kd1vp7cz5w Месяц назад
Alafu wewe mshezinzi kumbe polisi ndo nini
@tariqsinga8440
@tariqsinga8440 Месяц назад
Kumbe hata haufaham uwe unauliza basi, hili tukio lilitokea 2014 na polis wanalijua na walimuhoji Sheikh Zanzibar na Dar es Salaam pia na kuna kijana mmoja ambaye kipind cha nyuma alikuwa na hizo za kikhawarij lakin siku alipohudhuria Muhadhara wa Sheikh Arusha akaachana na hzo fikra rafik yake ndio alihusika na kulipua bomu yeye ndio aliyetoa taharifa kuwa anafahamu aliyefanya hilo tukio na akahojiwa polisi na wakafuatilia mawasiliano ya huyo mtu ktk simu na wakaona mipango yote ilivyokuwa na akakamatwa.
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Месяц назад
Abuu muwayia mbona ulikataa kufanya naye mjadla!!! Shekh wetu why so!!
@tariqsinga8440
@tariqsinga8440 Месяц назад
Maneno ya Maulamaa yapo wazi kuhusiana na mkataba wa Muhammad Imaam aliouingia na mashia makhuth Yemen, ktk mkataba huo Muhammad Imaam anasema sisi na mashia ni ndugu, Dini yetu ni moja, kitabu kimoja, Mtume wetu ni mmoja, adui wetu ni mmoja nk Waulamaa wakamtahadharisha na makosa yapo waz, Sasa baadhi ya Maulamaa wakampa udhuru Muhammad Imaam lakin ktk elimu ya jarhu wa ta'adiil kuna msingi unasema jarhu yenye dalili yaan jarhu mufaswar inazingatiwa kuliko ta'adiil sasa sembuse udhuru? Na yeye Abuu Muawiyah anafahamu huo msingi nenda katembelee page yake ya Facebook uone post aliyotuma mwaka 2017 July akieleza hayo masuala ya jarhu mufaswar angalia page yake yenye jina la Abuu Muawiyah A Lsalfy, sasa Sheikh Qassim Mafuta alisema hawez kukaa na yeye kuzungumzia hizo kadhia kwa sababu maneno ya ulamaa yapo na yeye kiarabu anakijua vzur sasa wajadili kitu gan?
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Месяц назад
@@twaibumikidadi7377 Yashapita hayo!!!
@RamadhaniOmary-x6u
@RamadhaniOmary-x6u Месяц назад
MaashaaAllah! Allah akuhifadhi sheikh wetu
@RamadhaniOmary-x6u
@RamadhaniOmary-x6u Месяц назад
MaashaaAllah! Allah akuhifadhi sheikh wetu
Далее
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!
01:36
Просмотров 13 млн
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!
01:36
Просмотров 13 млн