Тёмный
No video :(

SHK, QASIM MAFUTA ALIVYOPELEKWA JELA NCHINI SAUDIA - INASIKITISHA SANA - MARKAZ OMARI BIN KHATWAB 

ABDALLAH HUD - HUD (salafiy)
Подписаться 9 тыс.
Просмотров 35 тыс.
50% 1

hapa sheikh wetu alikuwa akielezea na kutaka tuhma za ndugu barahiyani katika kumtuhumu kwake katika kufungwa jela nchini saidia arahia

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@HasfatyBaechou
@HasfatyBaechou 4 месяца назад
Allah akuhifadh ❤
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy 4 месяца назад
Amiiyn
@user-qv6ww4qj4u
@user-qv6ww4qj4u 7 месяцев назад
Allah akuhifadhi shekh wetu
@BilaliIbrahimu
@BilaliIbrahimu 5 месяцев назад
Yarabi mjaalie shehe we2 mwisho mwema
@AliyyAli-ii1uz
@AliyyAli-ii1uz 6 дней назад
Allah akuhifadhi shekh Abdulfadhili kwakubainisha hakki
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy 6 дней назад
Amiiyn
@FarisiAhmada
@FarisiAhmada 6 дней назад
Twayyib
@RamadhanOmar-ow1ki
@RamadhanOmar-ow1ki Год назад
Kwa kweli mnachosha na mambo yenu hivi Mtume angekuwa hivyo dini ingesimama kweli kwa aina ya masheikh kama nyinyi mnatukera sana mmekosa kazi kazi kukosoana tu sijui sijui Salafia jadida ,sijui Salafia qadim mpaka mwisho mtajiuta nyinyi ndo masalifia hakuna cha Salafia jadida wala nni ssi wote ni waislamu ambao tunafuata maamrisho ya Allah kwa kupitia Mtume Muhammed S .A.W na waislamu wote wanafuata maswahaba na ma maimamu baada ya maswahaba.Acheni mipasho katika.mambo ya dini mnatukera.
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Duuh
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
kasome acha makasiriko
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 месяцев назад
​@@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmhabar ndio hyo
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 7 месяцев назад
😂😂😂😂 ushajibiwa duuuuh!!! ​@@Hud_hud_Salafiy
@imranjuma1197
@imranjuma1197 7 месяцев назад
👏👏👏
@meriamumeriamu9015
@meriamumeriamu9015 Год назад
Allah akuhifadhi
@ppandenassoro6666
@ppandenassoro6666 Год назад
Alhamdulillaahi, Umeelekwa vyema Allah Akuhifadhi.Mahizbi wanashida wametafuta uchochoro umeuziba kwa kusema haqq.
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Amiyyn Allah atuongoze katika haki mpaka itakapo tujia yakin
@cholomonmedia2199
@cholomonmedia2199 Год назад
Mafuta anatafuta chochoro hoja za kitabu amezijibu Wapi?
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Год назад
​@@cholomonmedia2199 kweri wewe macho yako chongo.
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 месяца назад
Mafuta uongo kweli ninyi ni majadida urongo mtupu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 месяца назад
Mafuta toka akasome yemeni na mdogo ake walivyorudi tz wameleta fitna kubwa na kuvuruga umoja wa sunnah kaleta fitna kweli kweli akaanza kupiga vita ansari sunnah, tz na kuwatowa katika ahlsunna na kuwasingizia mambo mengi ambayo hayana dalili na kujiona yey pekee ndo salafi na kikundi chake kama dini yake vile tunawauliza wanaojinasibisha na huo usalafi wema walotangulia ndo waliishi hivyo katika uislamu wao walitoana katika sunna na mwenendo wa mtume ikiwa mtu kakosea jambo dogo unaruksa gani ww kumtoa katika man haji na mwenendo wa mtume sasa hawa kina mafuta ndo wamekuja na usalafi wa aina hii wakiambiwa wamekuja na fikra mpya za usalafi wanakanusha hamna wakati tunaona matendo yenu yako mbali na usalafi usalafi ndo kutaja aibu za mwislamu mwenzio itaqi laa muogopeni allah enyi watu
@khalfansharji-ez7pg
@khalfansharji-ez7pg Год назад
MASHAALLAH Ulipo ukweli uongo hujitenga Sasa ni zama mmalizane mawahabi na miuongo yenu na mi Bida yenu iwe kweupe
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
UNADALILI YAHILO UULISEMALO
@user-fg4fv3tx2p
@user-fg4fv3tx2p Год назад
Masha Allah sheikh ALLAH akulipe kheri, usibabaishwe na hizo comment za mahizib na masufi.
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
aaamiyn inshallah
@abukassim5645
@abukassim5645 Год назад
BarakaLlahu fik sheikh kwa kusema ukweli na uendelee hivo hivo.Allah akuhifadhi
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Amiiyn inshallah na wewe pia ndugu yangu katika iman
@amiryfastfood5399
@amiryfastfood5399 Год назад
Allah akuhifadh shekih wetu
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Aaamiyyn
@Abuu-Ayman148
@Abuu-Ayman148 Год назад
اللهم آمين
@issaally7928
@issaally7928 Год назад
Mashallah
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Ok
@saidimadzumba2266
@saidimadzumba2266 Год назад
Too much Noise for little things,back bitting,opression,selfupgrading and defamation! Muslims are Brothers! This should be avoided!
@usrahismail3196
@usrahismail3196 7 дней назад
Huyo Shk Musa Ismail ni fattaan mkubwa na mbadhirifu,mkabila hayo yalikithiri pale alipochukua uenyekiti wa hapo Kisumu
@NenemiaEzekia-nn5ym
@NenemiaEzekia-nn5ym Год назад
Asalam alykum shekh Wang Allah akuhifaz
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
aaaminah inshallah
@abdallahsiraji9919
@abdallahsiraji9919 Год назад
Assalam alaykum warahmatullah wabarakaatuh...Mcheni Allah ukweli wa Kumcha.Hakika Allah anashuhudia Nia na nafsi zenu. Kila kukicha daawa zenu ni zq kuwagawa na kuleta kufarikiana ktk uislam Mnabandikana Majina na Chuki waisla kwa waislam jila uchao mara Masufi ,Majadida na n.k haya Mtayajibu mbele za Allah....Mnachukia baadhi ya waislam na kuwapiga mapande, Wa'ataswimuu bi hablillahi jamiaa.........Hii Aya myaifanyia kazi lini?????????
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Kuna watu wamepinda na wanawapotez watu Kama vile mashia nao pia waachwe tushikamane nao katika kamba ya Allah au
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Dini ni bayana na sio kuogopana
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Год назад
Ndugu zangu na mashehe zetu . Tukumbusheni DINI YETU sio kila siku kukosoana mnakua kama mmetumwa na wasio kuwa waislam . Mtume s.a.w Hakua salafi wala sufi wala salafi jadiidu wala walaaa wala . SIO MAWAIDHA hayo . SOMESHENI ELIMU KAMA HAMNA VIREJESHENI VYOMBO VYETU . tushachoka tushachoka Tushachoka
@FarisiAhmada
@FarisiAhmada 6 дней назад
Mche Allah na kaachin usome uctoa hujja bila ilmu kwa kuonesha et unaweza kutoa comment
@BilaliIbrahimu
@BilaliIbrahimu 5 месяцев назад
Kasim
@user-ve2ok3xj1z
@user-ve2ok3xj1z Год назад
Sema haki sheikh acha ujanja
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Duh mtihani
@mohamedswalehe4442
@mohamedswalehe4442 Год назад
Kumbe mwajijua muwaongo hiyo ndio athari zenu kwasasa zinawashambulia wenyewe
@AjsProSigns
@AjsProSigns Год назад
Naomba kuuliza Je kitabu kiliomba kujibiwa? Kitabu kimeeleza sifa za hao watu. Sikutegemea mngekisifia kwahiyo ni sawaaau
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
SIJAELEWA SWALI FAFANUA VZR
@salumkhamis-tp4cp
@salumkhamis-tp4cp 4 месяца назад
Allah atuongoze tuijue haq tuache kulumbana
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy 4 месяца назад
Amiiyn
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Год назад
Acheni malumbano nendeni muka fundishe dini ya mungu vijijini
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Sawa tutalifanyia kazi hilo
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze Год назад
Uwage na aleast na shukran kwa barahiyan aliekulea uliopotako ktk usufi tamta)
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Subuhana llah
@user-cd5sq1dz4u
@user-cd5sq1dz4u Год назад
Mifelia Kaz saana Bora mtu wa maulid kulikon vijisalafi dharau kibri
@habarinamatukio6148
@habarinamatukio6148 5 месяцев назад
Allah akuongoze wewe jahili
@kassimbitogwa6992
@kassimbitogwa6992 Год назад
Mzungumzieni na muhammad bachu muone moto😂
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Mbona alishazungumziwa tayari na audio yake tulishaipost muda mrefu sana
@mzeejumbe900
@mzeejumbe900 Год назад
hebu tupostie hiyo ya bachu
@kassimbitogwa6992
@kassimbitogwa6992 Год назад
@@Hud_hud_Salafiy na si kawajibu tena mbona mpo kimya
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 месяца назад
Hawa majambazi tuu kujidai usalafi kumbe hamna lolote lile salafi wa kweli hawakuwa na moyo na urongo kama kina mafuta
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 месяца назад
Mafuta acha chuki na kutaja aibu za mwenzio ww una aibu zako kibao na mtume anasema mwenye kutaja aibu za mwenzie nae akumbuke kwani na aibu zake.
@FarisiAhmada
@FarisiAhmada 6 дней назад
Kaa usome pia kuwa na heshma na mashekh
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 5 дней назад
@@FarisiAhmada shekh wengine hishima na hikma hawana waropokaji ovyo ovyo kama kina mafuta sasa wafuasi tutawaheshimu vipi ikiwa wao wamelalia fitna tuuh, kuwavunjia watu hishma na watu pia watamvunjia heshima
@husseinazizi1275
@husseinazizi1275 Год назад
Huyu alieandika ni mpuuzi
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
Ni Mimi ndiye nimeandika hapo kwani tatizo lipo wapi na upuuzi wangu ni upi
@husseinazizi1275
@husseinazizi1275 Год назад
Maandishi na maneno yapo tufauti uoni tatzo
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
@@husseinazizi1275 Mimi sijauona ttz ndio Mana niandika hivyo na ujue Mimi ni miongoni Mwa wanafunzi niliyepitia na kusoma kwa sheik markazi pongwe sio kwamba ni mtu wa vichochoroni niliuekurupuka ndugu nimeandika kitu ambacho sheikh amekisimulia na hakusema amezuliwa na kitu ambacho kimetokea wakati akitafuta elimu katika nchi ya saidia Rabia Sasa ebu nielezee tatizo uliloliona ndugu
@husseinazizi1275
@husseinazizi1275 Год назад
@@Hud_hud_Salafiy Afwan Akhy
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Год назад
Si mpuuzi kila siku kutukanana tu mpaka misiki mnanyanganyiana
@RashidJuma-uh8sv
@RashidJuma-uh8sv 8 месяцев назад
Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?
@Awes396
@Awes396 2 месяца назад
Good question
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 2 месяца назад
Katka mtu wa kuwa hafai kufatwa ni mtu huyu ana jiona yy ni mbora hali ya kuwa mbora ana mjuwa mwenyez mungu mnafki sana mtu huyu
@RashidJuma-uh8sv
@RashidJuma-uh8sv 8 месяцев назад
Shikamaneni Katika kamba (dini) moja Wala msifarikiane
@MohamefMullah
@MohamefMullah 11 месяцев назад
Nyote mawahabi mutajuana eti wanajiita masalafi hata Salim Baraiyan anakutaja na wewe kwa ubaya nyote ni pote moja la mawahabi Allah anawafedhehesha mmoja baada ya mwengine kila mmoja kati yenu Ana madhaifu yake na kati yenu hakuna salafi ni jina tu mumejipachika wala halitawasaidia nyote ni chungu kimoja, Salafi ni waja wema waliotangulia jee nyie mumo
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 4 месяца назад
Kumbe mlitiwa hatiani kwa uhalifu hamna jipya wahalifu
@sheikhBabuu-nq3bx
@sheikhBabuu-nq3bx 8 месяцев назад
Mashia wanatushambulia, nanyi badala ya kuangalia watu wanahuisha vipi sunnah,mnaleta Fitna Za Maslahi Mnatumia Elimu mlonayo kujifichia Maslahi yenu Achene Fitna linganieni Dini, Mnatumia masaa kusemana mnatupa Mifano gani,milioni 200 kila wakati wataja lingania Dina
@cholomonmedia2199
@cholomonmedia2199 Год назад
Wee mafuta mche Allah unasema umejibu hoja za kile kitabu ebu twambie umejibu kwenye muhadhara gani? Mihadhara yote ulikuwa unazungumzia habari za milioni 200 tu hakuna hoja uliojibu na hata muhadhara huu hakuna hoja ya msingi uliojibu acha uongo mafuta.
@abubakarhussein2186
@abubakarhussein2186 2 года назад
MBONA KICHWA CHA HABARI NI TOFAUTI NA KINACHOZUNGUMZWA HUMO NDANI??
@abdallajuma0587
@abdallajuma0587 2 года назад
Wewe khawarij au hujaskiliza mpka mwisho ukaona
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy 2 года назад
Ebu sikiza mpaka mwisho ndio utajua kipi kimezungumzwa humu ndani
@hawakiza6067
@hawakiza6067 2 года назад
@@abdallajuma0587 nini mana ya khawarij
@abdallajuma0587
@abdallajuma0587 2 года назад
Njooni katika markazi zetu za Ahlusunna utajuwa maana yake
@abubakarhussein2186
@abubakarhussein2186 2 года назад
@@abdallajuma0587 wewe hizb salaf, markaz zenu okoteni wanafunzi hukooo muwakaririshe matamanio ya nafsi zenu mm bado cjaona kuwa mna hoja wala dall za kutosha katika mambo mnayoyadai. Bado yatabaki kuwa madai tuu bila hoja wala dalili kwetu hatuyackilizi
@saidchina8552
@saidchina8552 Год назад
Hauna hekim Shekhe kuwen na ikhilaswi jamanin
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy Год назад
IKHILASWI ILI NA HESHIMA IPI UNATAKA AWE NAYO MAANA HAPA YUPO KATIKA KUBAINISHA HAKI NA BATILI
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 4 месяца назад
Jamaa alponda sana miasasa mwanzo mwanzo, kumbe baada ya kuona kua ni mshiko jamaa kasajili na yy muasasi taasisi lkn kina answar muslim youth centre ni hizb!? wao ni sawa, majadida hamna jipya nyie
@user-cd5sq1dz4u
@user-cd5sq1dz4u Год назад
Salafi Hawa ni watu wa bidaa kujiona mwema kwa kuwadharAulisha wengne manhaj ya ufofolo mtume s a w hakufundisha hayo
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 4 месяца назад
Jadidah huna hoja
@shabanishabani2981
@shabanishabani2981 2 года назад
Shekh kua na hekima ktk da'awa
@Hud_hud_Salafiy
@Hud_hud_Salafiy 2 года назад
Hekma ipi unayoitaka wewe awe nayo
@shabraniamirimohamedi9036
@shabraniamirimohamedi9036 2 года назад
unahitaji hekma ipi maalim
@saidimadzumba2266
@saidimadzumba2266 Год назад
Naona Show off! Sheikh Mada za ujadida zimesinya! Elimisha watu sikilasiku kuongea watu tu! Hakuna Hekima hapo!
@chifuismail6959
@chifuismail6959 Год назад
Hekma ni kuweka wazi mambo ya dini
@imranjuma1197
@imranjuma1197 7 месяцев назад
Huu ni ujinga wa wazi kila mtu anatetea taasisi yake😂 Hata wewe Mafutaa unapewa pesa nyingi toka Saudia ili kueneza Usalafi🚮 Wewe Mafutaa ni Yahudi ulio someshwa saudia
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 года назад
We vp wanawachuoni wenu kwani umemilikishwa wale We jadida tu Ata usemeje
@abdallajuma0587
@abdallajuma0587 2 года назад
Nyie makhawariji muna shida sana nini maan ya jadida hamujuw ata kiarabu
@abdallajuma0587
@abdallajuma0587 2 года назад
Waanzilishi wa hili jina la jadida ni makhawariji wa zama hizi ukiwemo wewe miongoni mwao
@abdallajuma0587
@abdallajuma0587 2 года назад
Ukimuona mtu atumia hili jina LA jadida basi uyo ni hizbi na ana chembe za ukhawariji
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 Год назад
Pavillion: Kwani Jadida ni nini? Weka wazi ulilo nalo moyoni.
@ahmadnonela3215
@ahmadnonela3215 Год назад
Majambazi wa kiwahibi wameanza kugombana wenyewe kwa wenyewe Nahiyo nidhambi ya matunda ya najdi
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 9 месяцев назад
Dawa yako, walikosea kukuachia bora wangekukata shingo kabisa
@RashidJuma-uh8sv
@RashidJuma-uh8sv 8 месяцев назад
Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?
@RashidJuma-uh8sv
@RashidJuma-uh8sv 8 месяцев назад
Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?
Далее
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,2 млн
HISTORIA YA SHEIKH KASSIM MAFUTA -ALLAH AMUHIFADHI
30:04