Please subscribe to STRAIGHT PATH DAWAH channel for more videos and please support Dawah by donating through mpesa number +254722600533 or Lipa na mpesa till number 558297
Asalamu alekum mashallah ramazan umeifanza kazi vizur sana leo ulikuwa uwaoneshe hasa kwenye kitabu chao kama kofia ni vazi takatifu ila wameelewa ukweli wameujuwa mengi umewambia leo Mungu akulipe kher na umri wa afya uzidi kuwasilimisha wengi
MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah pamoja na Mashelhk yote Mungu hawape maisha marefu na afya njema
Naima ubarikiwe mh amevaa miwani kwa furaha kwa sababu meseji yake Kuna Wengine wamesha yikubali alhamdullilah mgu kamzidishie Imani na nguvu yamshe wakristo waingie kwenye dini yausilamu ishallah
MashaAllah! Mwenyezi Mungu atiye baraka Juhudi Zenu Ameen! Tafadhali andikeni manukuu ya mistari ya Biblia katika Kiingereza ili lugha zingine ziweze kufaidika pia
MashaAllah, what a massive effort from Ustad Rama! TabarakAllah Team! Ku SUJUDU ni hivi: Matthew 26:39 ► King James Bible And he went a little further, and fell on his FACE, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt! THE FACE must touch the ground in total SUBMISSION to the ONE who created you. Beautiful point from Ustad about the BARAKA on ISMAIL as compared to ISSAQ, whose 'baraka' is confined to a TINY corner, SMALLER than Marasabit County! Hawa Bible writers hawa adabu, wamem fanya BI HAJRA Maid? Ibrahim na Sar'a walikuwa na Sufuria na Mwiko moja au mbili, MAID ata kuwa niwa kazi gani kwa IBRAHIM? Ujinga tupu from the Writers!
Doh! Sheikh Naona ilibidi uvae miwani kujistri🤣🤣🤣 Lakini MashaAllah, kwa muda mrefu sana sijaona mkristo ameshindwa na kutafsiri bibilia yake, yaani wengine kiazi kilishindwa kupita koo😁😁😁...Mola akuzidishie kwa kazi njema munayo fanya
Kupitia daawa mitaani nimejua wakirsto hawasomi bblia nakuifahamu ila hubaki tu kuamini yesu nimwokozi wa maisha.na imani bila vitendo haufaulu kw Mungu
masha allah mungu akuzidishe akhi, bali walikua wengi hapo nathani walikua wanatarajia kua waisilamu ila maswali yao ikazidi uka wacha hapo nyuma, kuna kijana mmoja hapo mwanzo mwanzo kwa video 24.13 alikuuliza akisilimika saa hii na alikua na imani nyingine tofauti akauliza nani atamuelekeza yaani atapata masomo ya kidini vipi ukamjibu vizurii bali hukumuuliza kaa labda ako tayari kua muisilamu, huyo jama anaonekana alikua na interest sana , bali shekhe wentu ulikwenda kwa wengine ukamsahau , lakini haina shida labda allah subhanahu wa taala hakumundikiaa awe muisilamu
Yule ameuliza kama anaweza kumtoa mwanamke kwa Uislamu ni vyema aelewe lengo la Uislamu ni kwamba Allah amewatuma Mitume wawatoe watu kwenye giza la kuishi kwenye uwongo wa kudai hakuna Mungu au kuna miungu au mtoto wa Mungu, wawapeleke kwenye nuru ya kuamini Mungu mmoja yaani njia ya Mitume wote.
Na Ustad ali sahau pia ku mention the fact that uzaa wa ISSAQA hawa kuwa na baraka kwa sababu, apart from being limited to a SMALL strip of land smaller than MARSABIT, kabila 8 out of 12, walio ASI MUNGU, led by Kabila la Judah na Reuben, wali GEUZWA na kuwa MaNYAANI na WaNguruwe, na MUNGU! KWA hivyo, ukila NGURUWE, basi jua hiyo, unam kula kabila la JUDAH na REUBENI
Kweli, SIO dhihaka! KABILA karibu sita wali asi na waka geuzwa waka MaNYAANI! That is why scientists wana sema DNA ya APES is SAME as Humans LAKINI, LAKINI, hawa pati CONNECTION how that is possible! Ni kwa sababu ni MUIJIZA wa MUNGU ss a punishment to uzaa wa ISSAQ! SIMPLE!
We are not related with Isaac or Abraham.our genes as black people are not related.we have our forefathers and know and worshipped God creator of all even without these religions.
@@janaleokesho8374 True. But you need to explain these Facts to the African 'chriistian' , as for some strange reason, they think that they are related to Issaq! I think maybe they dont have Mirrors in their bathrooms! 🤔🤔
Maasha allah sheikh wetu. Kazi yako nzuri, Allah atakulipa duniani na akhera. Hiyo point ya eid kidogo imenichanganya. Kiarabu eid ni sherehe yoyote ile, au sio? Inawezekana kwenye tafsiri ya bible wametumia neno eid kwa sababu hiyo. Hii ni tanbih tu, ili ujiandae vizuri utapokutana na wakristo wenye kujua kiarabu.
Huyu jamaa alie vaa t-shirt ya njano anataka afundishwe historia " Adolf Hitler aliwauwa wa Israel wengi sana hivyo baada ya vita ya 2 ya dunia wamarekani wakawachukuwa Israel kwa maslahi yao hivyo ukiwakuta Israel marekani historia iko hivyo" watching this from green and spice island (Zanzibar)
Mim nilikua sijaelewa nilijua huyo mzee wa bahatimbaya kwamba sio yeye Alie weka mimba 😀 kumbe mwenyewe alafu anasema bahati mbaya Yani Bora ata asingesubutu kusema ivyo maana kajitia aibu t naona mm
Wakristo ebu kuweni na akili na utaratibu wa kusoma vitabu vya Mungu vyote utajua ukweli upo wapi msipende kudanganywa na wachungaji wenu na kuimba sana pasipo faida kwa MUNGU
Masha'Allah! Mwenyezi Mungu akujaalie baraka tele kwa maamuzi yako ya busara kusilimu na kuifata dini ya haki. insha'Allah Ustadh atakuelekeza ... Hapo ulipo ukienda msikitini utasaidika. Jazak Allah khayran.
Mm nikisikia mtoto wa kike WA kislam kuenda kufanya upuzi kma huo tena mtu nje ya dini ya uislam na hata Kwa uislam yenyewe dhambi na Kwa hawa wasio kua waislam ndio madharau kma hya sasa wanajigamba mbele ya MTV mungu atuhifadhi na dada zetu wallah aibu hizi
Yani ni kheri asingesubutu kusema ona ss Yani ndio km amemuowa halafu akaona mume wake anavyo mtangazia hio dhambi asige kubali hatakukaanae huyo mume maana katowa Siri ss
Huyu Wecliff Mapengo ni Nyoka! Wecliff ame ZINI, halafu amepata MTOTO wa ZINA(Child 🧒 has NO blame) AND then he has the Audacity to accuse Prophet IBRAHIM of doing what he, Weclife did!? What a Snake 🐍 and a Hypocrite! Na huyu mschana haku pata MWANAUME wa ki sawa sawa, a real Man, instead of this SNEAKY Mapengo!?
Bini kaguu hao watu wuko anapotosha Siku yakiama utapigwa kuliko watu wengine, hizo sikukuu ulizo unawaeleza ukisema idi yiko ndani yabibliya , maneno hayo yiko kwa bibliya mulizo jicapiya nyie bibliya sahihi maneno hayo hayuko, pameandikwa utafulahiya siku kuu sio idi ni sikukuu, wa sio soma ndoo wanapotoshwa na kutumia ujanja wenu.
Kumbe huyu Wekliff ame LAANIWA na Ibrahim!! Wekliff amekwenda kama PANYA aka Zini mwenyewe, halafu anafikiria ku zini ni khitu normal! Wekliff tema Uwongo kuhusu Ibrahim! Hawa WaJinga huwa hawa fikiriyi kabla yaku ongea? Common sence iko wapi kutoka hawa WaKristo!
Ukweli, Ukweli,Ukweli. Ndugu zetu waislamu, Angalieni clip hii hapa-> (ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-P5aFppM13H4.html) INAYO USHUHUDA WA KWELI NA MUJIOKOENI KUTOKA HATARI KUMBWA MBAYA.
Allah ameipendelea lugha ya kiarabu sababu aliona ndio itakua lugha nyepesi kwawatu nandio mana dunianzima husomwa Qur'an kwa kiarabu Ibadan zote huendeshwa kwa lugha ya kiarabu hataka ww ni mchina na kwa taarifa yako tu nakupa lugha yakiarabu ndio itakayo tumika kesho yaumul kiayama wewe ikatae Leo but kesho ukilia ikisaga Meno utalia kiarabu
We unafikr yesu alipewa injili Kwa kiswahili alfu mbn nyie WAKIRISTO ni km mazuzu kwaiyo yesu yy alikuwa mswahili au?, Muarabu au nan, tatzo LENU biblia anasoma mtu mmoja tu na nyie hata hamuwez jitambua pumbavuuuu kwaiyo yesu alishushiwa dini Kwa kiswahili wakt yy mwenywe alikuwa muarabu au hujui Ilo pia?
@@sharifuahmed8340 Yesu alikuwa mwarabu wa nchi gani maana mnapenda kuokoteza maneno Mungu wetu anasikia lugha yoyote maana yeye ndiye aliye ziweke kugha hizo sasa huyo Allah wako anae sikia Arabic peke yake ni Mungu wa wawapi?