Takriban wanafunzi 300,000 katika Kaunti ya Mandera, wanahofia kukosa kurejea shuleni kwa masomo ya muhula wa kwanza mwaka huu. Hii ni kutokana na hali ya ukame ambayo inaendelea kukithiri kaskazini mwa nchi. Lakini mradi wa Kaunti ya Mandera ya kupunguza karo kwa wanafunzi limerejesha tabasamu ya wanafunzi wa shule za upili.
20 сен 2024