Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewasisitiza wateja wa mitandao ya simu nchini kuitumia kwa nidhamu na malengo kusudiwa ili kujiondoa katika makosa ya jinai ambayo mwisho wa siku yatawafikisha katika vyombo vya dola.
#AzamTVUpdates
Mhariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
29 авг 2024