Тёмный

Wanawake wa herufi "F" hii ndio siri ya maisha yao. 

Allykk tv
Подписаться 17 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@HamadDialo
@HamadDialo 9 месяцев назад
Shekre tushushee usiwakatishe tamaa watu maana kuna watu wanaishi vizur tuu hata mtume wetu Muhammad SAW amemuita binti yake fatma .mungu akusamehe tuu maana unaenda mbali sana
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Год назад
Ni kweli mtupu mana kuna ndugu yangu anafanya wema ila anavyo fanyiwa yeye ni mtihani
@ogotsilvester
@ogotsilvester Год назад
Ally kk. Niko na rafiki yangu anaitwa Francis .ni kweli uasumbuliwa na kibofu Cha mkojo.nikweli waaaah
@FatumaSalimu-f9o
@FatumaSalimu-f9o 2 дня назад
Kwelii jaman
@FatumaNchimbi-g9l
@FatumaNchimbi-g9l 15 дней назад
Mhhh mbona mm nimemkuta mmewangu ayupo vizuri lakini saizi tupo vizuri san jamani
@fatmamuhammad4772
@fatmamuhammad4772 3 месяца назад
Hii siamini kwasababu majina ya Herufi F. Yana bahati sana haswa wanawake wa F. Ni nyota kali sana nzuri yenye bahati wana mvuto mkubwa wanawake wa harufu F.. ❤❤❤
@FurahaAmosi-m4w
@FurahaAmosi-m4w Месяц назад
Ni kweli kabisaa f ni wakorofi ila Wana bahati sanaaa
@FRIDAHNTHENYA-i9x
@FRIDAHNTHENYA-i9x Месяц назад
Nikweli tuko na hasira lakini tuko nabahati sanaa
@GatekaFatma
@GatekaFatma Месяц назад
Yani hamjakosea mwenyewe ni hivo nina bahati Kweli
@dahandsomy412
@dahandsomy412 11 дней назад
Hakuna kitu
@olivakalinga3788
@olivakalinga3788 Год назад
kaka ni mimi kabisa nilipo zaliwa nilipewa la furahini sangazi yangu marehemu akalikataa jina akanipa jina lake alilokua anaitwa yeye ndilo lilivuma paka leo lakini jina la furahini naona ndilo linanitawala yani unavyo ongea ni mimi mtupu kabisa
@annageorge43
@annageorge43 Год назад
Asante ninae frenk kama una msema yeye.
@TumainiIbabu
@TumainiIbabu 4 дня назад
Acha uongo huo mbona mm na mtt wangu jina linaanzia n f lakini yote hayo hatunayo mh hapo umechapia kijana
@bethernyirenda4809
@bethernyirenda4809 2 месяца назад
Yaaani uliyoyasema ni kweli kabisa yooooote mimi nayapitia sana ila suluhisho ni nini maana mimi najua akuna kisichokuwa na tiba
@mauahussein9833
@mauahussein9833 Год назад
Me naitwa Farida nayaona Na mwanangu ananzia r je naweza kumbadilishia jina ana miaka 2 kasoro mwezi
@FatumaSalimu-f9o
@FatumaSalimu-f9o 2 дня назад
Sio kwel jaman watutisha tu😮
@Zlfa-y2p
@Zlfa-y2p 7 месяцев назад
Hat mm nikigomban n mdogo wangu asubh naumwa nyumbn baba anamwita mchawi ni mdogo hat miak 20 hajafk
@FatumaAbdallah-mk5qk
@FatumaAbdallah-mk5qk Месяц назад
dah kaka kuhusu jela yan mulemule nishaenda jela
@GatekaFatma
@GatekaFatma Месяц назад
Siokweli mimi mume wangu hanibanduki kwa utam nilonao nasi a tatizo lolote ukweni nat unaendelea vizuri tu kimaisha
@Happysaimon-z5q
@Happysaimon-z5q 2 месяца назад
Ni kweli Mimi huwa Nina penda kuwa debdea wema watu lkn wao huwaa wana nijibu ubayaa. Na huwa Nina jitoa kwa kila mtu
@OctavianPastory
@OctavianPastory Месяц назад
Mimi nina mpenzi wangu na jina lake linaanzia na herufi f na mimi pia ni f lakini napanga kuona nae je hatutakua na migogoro
@PiliAntony
@PiliAntony 16 дней назад
Kaka dd angu hivyo hivyo Yan kama umemuona du
@missmajor254
@missmajor254 Месяц назад
Been so lucky in my life.
@FathiaMzee
@FathiaMzee 26 дней назад
Kwel mm Nina heruf f ila bahat Sina
@BakariMaulidi-rn8pj
@BakariMaulidi-rn8pj 3 месяца назад
Nikwel kak mam Yang aitwa Fatuma nasumbuliwa Sana na yutiay
@FaridaSwabra-o2c
@FaridaSwabra-o2c 2 месяца назад
Si kweli mm nitwa farida mbona hakuna mwanaume nilio Kaa nae akaugua magonjwa ya riri na hata kushuka kiuchumi zaidi yy hua tajiri au kipato chale hupanda 8:34
@wardaally7233
@wardaally7233 Год назад
Kwakweli wewe ni zaidi ya mtafiti.❤❤❤❤
@FURAHINIGADAU
@FURAHINIGADAU 6 месяцев назад
Nakupataje plzzzz ni mm kabisa
@faridaabdallah7424
@faridaabdallah7424 Год назад
Nimimi kbs 😢
@FatumaJuma-gv5op
@FatumaJuma-gv5op Год назад
Shekhe naomba nikuone ninashida
@FatmaFatma-s9q
@FatmaFatma-s9q 2 месяца назад
Apo mi xierew ngoj nipit kwaz mbon mi nik n bahat san n baby wangu kafanikiwa san nikinun mamb ayaend mmmmm
@fridahkaigongi9901
@fridahkaigongi9901 Год назад
Mi kila siku ni vita😢
@FadhilaSwalehe-dl8ko
@FadhilaSwalehe-dl8ko 11 месяцев назад
Kunaueezekano wakubadilisha jmn
@HappyCharles-z4n
@HappyCharles-z4n 5 месяцев назад
Muongo kabisa kwaiyo hakuna jambo zuri katika nyota hii umetaja mabaya tu.
@fridahkaigongi9901
@fridahkaigongi9901 Год назад
Kama mimi kila Pahari ni nuksi tyu😢
@هلاهلو-ث3ع
@هلاهلو-ث3ع Год назад
😢😢
@abubakaripasto2696
@abubakaripasto2696 Год назад
Kaka anaesema wewe muongo asikuvunje moyo chizi huyooo kaka mie naiywa frenk ila nimeslimu asaivi naitwa abubakari ila unayoyasema kuhusu sie wa f upo sahihi kabisa
@annageorge43
@annageorge43 Год назад
Ukiwa na akili lazima utamuelewa tu
@AdveninaPius
@AdveninaPius 2 месяца назад
We nae umzd uongo hayo unayosema uongo mtupu
@beatricekyando4574
@beatricekyando4574 3 месяца назад
Sio uongo nikweli kabisa hujakosea
@Farida34-kx8fl
@Farida34-kx8fl 6 месяцев назад
Uongo mbn me xkuumwa
@FaridaRamadhani-w2r
@FaridaRamadhani-w2r Год назад
Ww ni muongo kaka.
@abubakaripasto2696
@abubakaripasto2696 Год назад
Kwanini unasema muongo
@HappyCharles-z4n
@HappyCharles-z4n 5 месяцев назад
Muongo kabisa kwaiyo hakuna jambo zuri katika nyota hii umetaja mabaya tu.
Далее
Wanawake wa herufi "E" hii ndio siri ya maisha yao.
14:20
TABIA ZA MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI (F,R,M,H,S)
9:59
Wanawake wa herufi "S" hii ndio siri ya maisha yao.
32:33
Wanaume wa herufi "F" hii ndio siri ya maisha yao.
14:32
KITENZI CHA: TO HAVE (KUWA NA KITU FLANI): SOMO LA 5
9:19
IKIWA HERUFI S, NDIO JINA LILILOKULEA MWANAMKE.
30:37
Просмотров 2,7 тыс.
Jinsi ya Kuuliza maswali kwa Kiingereza.
0:50
Просмотров 15 тыс.
C Programming Tutorial for Beginners
3:46:13
Просмотров 13 млн
Herufi A,M,Y, jitibie mwenyewe.kwa kufanya hivi.
14:27