Shekre tushushee usiwakatishe tamaa watu maana kuna watu wanaishi vizur tuu hata mtume wetu Muhammad SAW amemuita binti yake fatma .mungu akusamehe tuu maana unaenda mbali sana
Hii siamini kwasababu majina ya Herufi F. Yana bahati sana haswa wanawake wa F. Ni nyota kali sana nzuri yenye bahati wana mvuto mkubwa wanawake wa harufu F.. ❤❤❤
kaka ni mimi kabisa nilipo zaliwa nilipewa la furahini sangazi yangu marehemu akalikataa jina akanipa jina lake alilokua anaitwa yeye ndilo lilivuma paka leo lakini jina la furahini naona ndilo linanitawala yani unavyo ongea ni mimi mtupu kabisa
Si kweli mm nitwa farida mbona hakuna mwanaume nilio Kaa nae akaugua magonjwa ya riri na hata kushuka kiuchumi zaidi yy hua tajiri au kipato chale hupanda 8:34
Kaka anaesema wewe muongo asikuvunje moyo chizi huyooo kaka mie naiywa frenk ila nimeslimu asaivi naitwa abubakari ila unayoyasema kuhusu sie wa f upo sahihi kabisa