Hongera Sana MH. DC Kwa KAZI NJEMA,kuna haja ya vyombo vinavyohusika KUTOA vibali kama HIVYO KUFUATILIA shughuli zinazofanywa na Jamii ya NGO'S KAMA HIZO..
Hivi sisi watanzania nani katuloga unampeleka mtoto sehemu ambayo hujafanya utafiti Kuna Nini hivi unazaa mtoto ili mtu mwingine akulishie ,Mungu afungue akili zetu tujue wajibu wetu Kama mzazi.Hii Dunia usimwamini mtu.
Kazi nzuri sana hii ya mkuu wa wilaya pamoja na timu yako yote. Honestly speaking, mkuu wa wilaya uko vizuri sanaa & nimependa ung'eng'e wakoo. {Mash'allah...., Mola wetu Mtukufu akujalie wepesi zaidi katika kazi zako, pamoja na timu yako yote & nakuombea kibali zaidi katika nafasi za juu zaidi kwenye ngazi za serikali kwa siku za usoni}.
Chanzo cha yote haya ni umasikini uliokithiri (abject poverty) kwa umma wa watanzania. Na huu ni ushahidi mwimgine wa kutosha wa jinsi serikali yetu imeyumba katika kuhudumia umma wake. Ebu tafadhali muyalinganishe haya na yale wanaharakati wanayopigia kelele kila siku. Mtapata majibu mwanana. Pili simuelewi DC vizuri anaposema watoto wanafundishwa mambo ya kijinsia. Mambo gani? Ilifaa afafanue kiasi fulani Mfano: tumegundua wanafundishwa ushoga, elimu ya balehe kabla ya umri stahiki, ndoa, na vitu kama hivyo. Tatu endapo uchunguzi wa kina na haki utaendeshwa yatagundulika yaliyojificha na mahakama ndo ya kutujuza nani mkosa, halmashauri mtoa vibali, wazazi au mfadhili.
Wote watakua na makosa. Serikali lazima iwe makini katika utoaji wa vibali. Mtu mwingine hana haki ya kufundisha watoto wetu bila ya ruhusa. Kila mzazi ni wajibu kulinda na kuwalea watoto wao katika mila na desturi na imani zetu. Pia kama mtu huwezi kulea ana haja gani azae? Wazazi hutumia neno umaskini wakati wa uzembe wao. Huwezi kulea basi usizae
Ndg. chanzo sio umasikini ila upotofu maana hao wafadhili wa mambo hayo sio masikini. Nchi tajiri ndizo zinazosukuma hayo maovu duniani. Sasa wao waliyapataje, je waliyapata wakiwa masikini? Chanzo kikubwa sana cha upotofu ni kuimba wimbo wa maendeleo huku tukikiuka maagizo ya Mungu ili kupata haya maendeleo. Marekani imeendelea sana, lakini huko ndiko chanzo ya upotofu mwingi duniani na ndio wahamasishaji wa maovu duniani.
Ndgu. Maana yangu kusema umasikini chanzo cha yote ni kwamba: ukiwa masikini mtu tajiri akikwambia nitakupa shs 100,000 (huku amekukuta una njaa wiki nzima na hauoni pa kutoea) nilambe miguu, utamlamba! Nipe mkeo, utampa! Nk. Na ndo maana leo umasikini unatuzalishia vibaka, makahaba, kukosa utulivu na tafakari, uchawa, nchi kuingia mikataba ya kifisadi nk. Sasa kwa hili la wazazi na watoto ni kwamba umasikini umezaa serikali ombaomba, hatuna taasisi imara za kukinga maovu toka nje na wazazi kwa vile nao wana njaa hawana muda wa kutafakari au kuchambua nini ampe mtoto wake. Si rahisi kuchambua jambo ukiwa na njaa kali na vivo hivyo kitaifa! Ili unielewevizuri namaanisha nini, naomba utembelea historia ya China ya Mao na China ilipo hivi sasa. Asante.
@@stewartdyamvunye-wz6rn Ndg. umaskini ni kisingizio tu kinachosababisha mtu kupokea uovu kwa sababu ya kuahidiwa alichopungukiwa. Lakini chanzo kinatoka katika moyo. Moyo ukiwa wenye adili na safi hauwezi kurubuniwa na mali. Wengi ambao leo ni mafisadi sio watu maskini, ni matajiri, wenye mishahara mikubwa. Chanzo cha ushoga kimeanzia kwenye nchi ambazo ni matajiri. Swali, ni kwa nini mapotofu yameshamiri kwa hao ambao wameendelea? Wapi ambako ni rahisi kuupokea ushoga kati ya vijijini na mijini? Kwa nini watoto wa matajiri ndio ni rahisi kuupokea ushoga au umalaya au utovu wa adabu kuliko watoto wa maskini?. Kama ni tatizo ni umasikini, kwa nini wazungu hawaendi kwa masikini vijijini kuwarubuni ili wawe matajiri? Amini usiamini kwa kadri tunavyozidi kuelekea huko kunakoitwa maendeleo, ndipo ushoga utakuwa huru mitaani. Ndio maana hao wazungu wanahimiza sana maendeleo maana ndani yake kuna kupotoka kimaadili. Tamaa ndio hupelekea mtu kudanganywa na kurubuniwa kutenda uovu, lakini tamaa hiyo haitokani na umaskini bali inatokana na moyo usio na adili. Maadili hayategemei hali ya kipato cha mtu, bali moyo ulio mwema. Mtu mwadilifu hawezi kuiba, kuhongwa, kumuua mwezake ilia pate mali, kurubuniwa, kujiuza kwa ukahaba au kuuza utu wake kwa sababu ya mali au anasa. Kwani nchi za ulaya zilirubuniwa na umasikini wao ili waukubali ushoga, ukahaba na haki potofu za wanadamu?. Ni mioyo tu iliyopotoka. Ndio maana mafunzo mengi leo yanalenga kutuposha kimaadili moyoni ili hatimae uovu uonekane ni sawa. Ibilisi ana ajenda ya kusimika uovu duniani, lakini ataanza kwanza kwa kutupotosha kimaadili moyoni. Leo taasisi za fedha zina watumishi wengi wezi na wabadhilifu kuliko wale wa miaka ya nyuma ambao hawakuwa wezi japo walikuwa hawana hata baikeli. Hata wachungaji wa leo ni watafuta mali tu, si kwa sababu ya umasikini bali kwa sababu ya mioyo yao isiyotakaswa kwa neno la Mungu. Yesu alisema kikombe kikitakaswa ndani ndipo nje nako kunakuwa safi Mt 23:25. Kwa maana moyoni ndiko kwenye chanzo chote cha mabaya na tamaa, lakini vile vile moyoni ndiko hutoka mawazo mema na uadirifu. Na hapo haijalishi tajiri wala masikini, ila hazina ya moyoni ilivyo - Shida iko kwenye mioyo. Mt 7:18; 12:33-35; Luka 6:43-45
Mkuu wa wilaya huyu anaakiri kubwa sana, Mungu amuongoze kwa busara kubwa aliyoifanya hapa, maswali yote aliyouliza hayajajibiwa na mmiliki, Serikali iwe macho hivi hivi. Binafsi naamini alichokifanya na kukiamua kiongozi huyu.
DC nimempenda kanyooka sana hana konakona kafanya maamuzi huku akiumia moyoni Kwa mda Gani watoto wetu wameharibiwa ALLAH SW ambariki pamoja na timu aliyokwenda nayo
Hamna chochote ni majungu tu Na roho chafu za kichawi za kitanzania wameona bwana mdogo yuko vizuri kimaisha nyumba zuri mke mzungu Na mtoto ni majungu yameanza, ukute waliomba rushwa wakanyimwa na huyo mkuu wa mkoa hata haeleweki inaonekana anakurupuka! Tanzania 🇹🇿 ni nchi ya ovyo sana mkuu wa wilaya anataka kiki aonekana anafanya kazi
Kuna ngo mpya huku usangi mwanga,wanajidai daycare na wanapita nyumba had nyumba na mzungu wao kuwalaghai watoto wawapeleke watoto wao na wazazi wanapeleka watoto wao wanaona ndo maendeleo. Wanaanzaga hvhv
Dah kazi nzuri DC ila Kuna kitu hakikoclear kwenye hii serikali... Yenu watoto wameharibika sana tu mpaka kwenye hizo shule mnazotoa free education .... Sustainable Solution ni ipi ? Sababu mnawapa leseni wenyewe hamfanyi evaluation ya NGO mpo tu 😢😢😢😢
Huyu anastaili adhabu Kali Tena ya kunyongwa ...hivi kwann serikali mna wachekea hawa watu 😢 ... Mamaangu , mheshimiwa mama Samia suluhu hasan watt ndio taifa la Tanzania la kesho assume hata ww mama ulianaza kua mtt baada ya maadili mazuri ya Babu na bibi zetu then Leo hii sisi kama taifa Tanzania tuna nufahika na wewe ... Mungu akuongeze hekima katika Hili mama 🙏
Sio vizuri hiyo kufunga hio inaitwa children home serikali fanyeni uchungu wenu. Makosa ni kuwatowa tu Shule Kuja kusoma kabla ya mda. Lakini sioni kama kuna ubaya watoto kuendelelea kusoma
Huyu kaka anaonekan n muhuni tu ongea yake hovyo, maelezo hayaelewek mala maembe mala mabegi eti bado sijaelewa😂 na zile nywele anaonekan kabisa hajui nini anafanya ila ni kama agent wa maovu tu
Ukiona ofisi nzima ya mkuu wa wilaya imeahamia hapo ujue wana taarifa ya kutoshaya kinachoendelea....wamechunguza na kurizia kwamba kuna tatizo hapo...........
Hongera Kwa hilo . Ushauri Kwa watoa vibali jaribuni ku trace mara kwa mara. Hili mjue na mjiridhishe zaidi na vinavyofanywa na hawa majamaa . Na hivyo vyakula vipimwe
Hongera Sana Kwa DC Bagamoyo kwani hawa wazungu wanatumia umasikini WETU kuwa mafanikio Yao Kwa kuwapiga picha watoto na kuonesha kuwa wanawafadhili Kwa chakula,Elimu na mavazi kisha wanatafuta wafadhili kisha wanawachangisha Fedha huko zinatumwa kwenye Akaunti zao.
Wazungu wanawasaidia tu nyie masikini mzungu gani ajishughulishe Na kuwapiga picha watoto ili wapate pesa hivi unawajua wazungu au unaropoka huyu mjerumani hawawezi kufanya upumbavu huo wazungu wanajua ni masikini hadi serikalini yenu Na wanawasaidia tu !
@@Kabwela776usisahau kuendelea kwa mzungu ni raslimali za kwako muafrica bisha kama siyo kuibiwa basi wewe umeibiwa mpaka akili penda vy a kwako usipende kudandia
@@hamidahamdun3646 ni kweli bila ya wazungu hata dawa za ukimwi huko ndio wao wanalipia wakikata misaada mtavuliwa nguo ni wapuvukaji tu ila hamna mbele wala nyuma kama nchi hela kibao ni wazungu wanawasaidia Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka
Angemkugusa mzungu ndio ungejua serikali ya Ujerumani ikoje unafikiri raia wa nchi yeyote utawapiga tu makofi , angemgusa tu mzungu huyo Samia angemtumbua na cheo chake feki cha kuteuliwa
@@hamidahamdun3646 badala uwe Na wasiwasi na maisha yako na za ndugu zako ambao hamjui mtakula Nini kesho eti uwe na wasiwasi na mimi kichefu chefu kabisa endeleeni kuongozwa na kiongozi mpuuzi mpumbavu kama huyo dada malaya mtafuta Kiki
Hongera sana dada..maana angalau umetumiza majukum yako..swali ni jee wakubwa watalitia akilin hilo au watacheza michezi ya panya na kukutoa kwenye hiyo nafasi kulinda ugali wao..
Lakini pia hii haki ya mwanamke kuwatawala wanaume imetoka kwa wazungu, si katika neno la Mungu kwamba mwanamke kuwa kichwa juu ya mwanamume. Baadae ushoga tutakuja kuukubali tu maana wasukuma gurudumu ni wazungu walioendelea wenye kuendesha dunia hii watakavyo huku wakiwa wamepotoka.
Safi sana we kiongozi ivyo ndivyo inavyotakiawa kamata wote awo wasieeneze ushoga awo ndio wanaturetea ushoga kwetu tena wapewe azabu inayostairi pumbavu awo 😱
DUNIA kwasasa imevamiwa kwa kiwango kikubwa na 👹👹👹👈🏿 na pia anamawakala wake kila mahali hapa Duniani na hao ni binadam wenzetu jambo ambalo ni hatari sana yaani niwasaliti wa hadhi ya ubinadamu wetu ktk kumcha MWENYEWEZI MUNGU jamani tufuatilie sana sana watoto wetu jamani hawa watu wanafanya kazi kwa niaba ya shetani 👹👹👈 Hongera sana Mh. DC
Huyu DC sio ndugu yangu kwel huyu Yani nimempemda bureeeee Allah akulinde na akuhifadhi,,,hao wanaroho ngumu sana hao wanakitu wanafanya watoto wachunguzwe kwanza Kuna kitu wanaficha,wakiangalie na hicho chakula kwanza PENGINE Kuna dawa wanawawekea Allah awalinde watoto wetu jaman wawe salama maana mmmgh tunapoelekea sio kuzur Hawa watu hawajawah kutupenda kiukwel sisi black maana hata movie zao kama ameigiza na black basi ataanza kufanyuyo huyo black nyie 🤣🙌 wachunguzwe haswaaaa hatutaki ujinga wa hao wagen ASANTE SANA DC WE LOVE YOU ❤️
Mwenyeezi MUNGU awasimamie muwe na hofu yake muweze kutenda haki, maana hiyo taasisi Ina nguvu kubwa san. Msije kupewa sabuni ya roho mkakaa kimya tunaombeni muendelezo hadi mwisho.
Wachache mbapinga mamlaka za juu wenyewe huona kawaida tuu huyo kijana mwenyewe tayari kishaharibika hata uongeaji wake Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Wazungu ndio uwa wanawafira mbona mnafirana wenyewe kwa wenyewe nyie huko , Na mko wanafiki sana pesa zao mnapokea serikali yenu bajeti yote wazungu wanawafadhili
@@hamidahamdun3646 sababu najua jinsi gani wanavyowasaidia huko Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka tatizo lenu watanzania mko wanafiki sana mnajifanya kuwasema wazungu wakati hela zao mnachukua pumbavu zenu acheni unafiki baniani mbaya kiatu chake dawa ni unafiki mkubwa! Mkatae basi misaada ya wazungu kama mna jeuri kama hamjakufa kibudu Na ukimwi kila kitu wazungu wanawasaidia mbwa nyie
Nchi zetu hizi maskini tunateseka tunateseka kwa kuona kila mzungu ni mfadhili kumbe wengine wanautumia umaskini wetu kutudhalilisha. Mungu atulinde na serikali ifuatilie na sehemu nyinginezo
Mimi nimepitia DonBosco. Imenijenga kujifunza lugha. Mamlaka zione namna nzuri ya kumpa uelekeo chanya.Penye mapungufu parekebishwe. Ila wazazi wa watoto wanasemaje? Incase wao wametoa ruhusa sidhani kama kuna shida kwa kijana. Ni mtazamo tu.
Watanzania tuna tabia ya kuripuka na viongozi wengi wa africa wanajua madudu wanayoyafanya so wazungu wakija wakianza kuwajenga watoto katika umri mdogo na kuwafanya wajitambue zaidi na watambue haki zao wanastuka wanaona watakosa wa kumbluza ndo kujifanya wanafunga funga
Shida ya Bongo ndo hiyo kibali kibali Acha watoto wale shida nyingi fatilia Kwanza ujue kama Ni onyo apewe shida ya wanawake wakikalili kitu hawaoni mbele ovyo kabisa wew DC
Millad hongera kwa kuripoti tukio hili. Lakini nitathamini sana endapo utaripoti na wale wanaowakusanya watoto kule Dodoma na kuwafundisha ugaidi wa Kiislam
Yaani serikali yangu inanichanganya sana,wao ndiyo wanasajili,wao ndiyo wanatoa vibali! Hivi ni kweli hawajui kilichopo? Au mnatuzuga tu wananchi,muonekane mnapiga kazi kumbe mlishakula keki zamani tu! Halafu mnaenda na makamera kabisa kutupumbaza raia muonekane mnafanya kazi! 😢😊
Ndo maana Sisi wengine tumehama hiyo nchi yani Tanzania mambo ya ajabu ajabu hatuendelei hao Wana mahela kibao hayana kazi mkisaidiwa mnasema wanafundishwa mambo ya kijinsia haya yupo mke na mume kama ingekuwa mambo ya kijinsia si tungeona wanaume wawili wameoana nyie vipi.
@@awazioga1823 kwa bahati mbaya Mimi sio muumini wa matusi mara nyingi nyinyi watoto mlopatikana guest huwa hamna busara usihukumu kitabu upande mmoja ukitaka kumpima mtu anayejitambua ni kwenye utumiaji wa mdomo wake wakati jay z na Beyonce wanakusanya watu na kujenga visima vya msaada si zilikuwepo tuhuma kwamba watu wanaingizwa kwenye ushoga na freemason lakini mpaka Leo walojenga visima wapo na vinatumika acha fikra potofu chunguza kwanza ndipo uongee
Duu Nina mashaka na wewe maana sio Kwa kuwapendelea hivyo wenye kituo DC hajakurupuka kuishi mume na mke wa jinsi tofauti haimaanishi kuwa hawezi kuwafundisha watoto tabia zinazokiuka maadili ya kwetu, kuhama kwako hakutuhusu
Ww mjinga sana Yan watoto wanafundishwa ushoga Kisha Hilo eneo yenyewe liko mbali na majiran Kwan walimu wangap wa kiserekali wamekamatwa wanawaharibu watoto jamii iamke kula kupewa mkoba si kitu mbele ya mtoto jaman
@@bigdiscounttv4723wadimamie ni mali Yako hio au unadhani wakisimamia serikali hio misaada kutoka ujerumani italetwa watanzania tunatakiwa kufikiria zaidi sio unafikiria pafupi tu eti pasifungwe Njaa itatumaliza maana tukiona ka msaada kidogo tu basi tunateteneka mpaka tunapoteza utu wetu
@@bigdiscounttv4723wadimamie ni mali Yako hio au unadhani wakisimamia serikali hio misaada kutoka ujerumani italetwa watanzania tunatakiwa kufikiria zaidi sio unafikiria pafupi tu eti pasifungwe Njaa itatumaliza maana tukiona ka msaada kidogo tu basi tunateteneka mpaka tunapoteza utu wetu
Hicho chakula wanachopewa watoto kipimwe kwanza ,na km mkijiridhisha ndo mchukuwe hatua pili km serikali yangu pendwa uchunguzi ni mhimu saana kuliko kukulupuka ili tusije tukashindwa tena kesi kwasbbu ikibainika kuwa ni chuki za kidini basi,atafungua kesi dhidi yetu,na nilazima tutamlipa na kumsafisha yale tuliomsemea na kumhisi anayayafanya
Tanzania bhana sasa watoto wanafurahi wakimaliza wanaenda kwao kwani wanaishi hapo hajawakusanya hakuna mkuu wa wilaya hapo,mbona hakuna mahojiano na watoto tusikie kama wanafundishwa jambo la tofauti tumezoea tabu Tanzania.
@@najmasalim-rg6ow ningeomba tujadiri hili kwa masilahi marefu na mapana ebu nifahamishe hao watoto wanakusanywa vipi kwa uelewa wangu mdogo,na je wanafatwa mashuleni wanatolewa wanaletwa hapo kulelewa au wakitoka Shule wanapitia hapo Kula na kujifunza masomo ya ziada kisha wanaondoka
@@maftahmusa9513 Sikia nikwambie kitu kimoja ndugu yangu kwa swala la umasikini hawa wenzetu washaaga umasikini na pia ni watu wa kuguswa mioyoni lakini pia kuna baadhi yao Wana tabia za ovyo zisizofaa katika jamii wewe jiulize kwa Canada mtu mweusi anaonekana kama tractor lakini ukisimama kwenye shamba la uyoga masaa sita kila lisaa limoja unapokea Dola 25 ukiongeza masaa manne ya ziada wanakulipa Dola 35 kwa lisaa Ambapo masaa sita utapata Dola 150 ukiongeza masaa manne ya Dola 35 jumla unakuwa na Dola 140 na 150 ni 290 kwa siku inamaana unaingiza TSH 754,000/= ya Tanzania sasa mtu anaamua kulipa laki saba kwa siku ni mwenzako huyo Tanzania shamba zima ni elfu 50 kwa siku jembe na wewe wewe na jembe huku unapanda tu uyoga so akiamua kuja kama tanzania hashindwi kumpa mtu chakula,nguo na kila kitu mtu akipewa mnaanza ooh ushoga anataka kitu.
eti kuanzia saa 8 mchana hadi saa 12 jioni jamani wazazi wenzetu mnaawachia watoto hata hamjui kinachoendelea huko na hali tunajua jmn hali imeharibika ushoga na usagaji umetokea huko magharibi mnampa mbuzi majani
Nyerere,Magufuli,Mwinyi mkapa waliongea sana umuhimu wa nchi yetu na watu wake wajifunze kujitegemea, lakini wapi bwana wa Tanzania tunapenda sanaaaaaa misaada Toka nje na ndio hayaaaa kesho tutasikia ushoga unatamalaki. DC umefanya vizuri keep ya head up.
@@Youngchimodzi823 kuwa shoga ni mwenyewe kupenda Na huko waarabu ndio waliwafanya mashoga sehemu zote za pwani kuna mashoga kibao miaka nenda Rudi ! Mkatae basi misaada ya wazungu tuone jeuri yenu mko wanafiki sana nyie Na huyo mkuu wa wilaya hata haeleweki ni majungu Na roho za kichawi za kiswahili mbwa huyo !
Keep on receiving dead Aid bwana kabwela one day you will wake up to your mind. Stop mental slavery no country has ever developed through aid. Aid aids dependence than independence.wake up kabwela
HAKI GANI WALIZONYIMWA WATOTO HADI HAO MABARADHULI WAJE WAWAPE? YANI JAMAA ANASTAHILI KUTANDIKWA HADI ATIE AKILI, MSHENZI HUYO. DAH! NINGEKUWAPO HAPO NINGEMRUKIA NIMDUNDE KICHWA KIMOJA TU. YANI HAPA NIMEPIGA KICHWA KABATI.😢
Mengi kwa miska sasa..msiamini cho chote Serikali ila mmechunguza kila mara.Hao walimu wamewekwa tu jina..Machafu wanatendeka..kuhatubu watoto..MMESAHAU MFALME ZUMARIDI!!!ALIYEKUSANYA VIJANA KARIBU MIA.YALIOTENDEKA PALE NI NINI? KISHA KATOLEWA ETI HANA KOSA😢
Yaan wa bongo kwa kupenda vya bure uyo kijana ndo kawadanganya kwa MBA watt watakula bure watapewa nguo daftaree 😅ivi nyi wazazi hamuogopi unakuta mtt anaregea tu haingiliwi ila anarishwa kwa chakula madawa bongo hakiya Mungu tupe ufahamu 😢