Тёмный

Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge huko Mombasa 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge la wahuni usiku wa kuamkia leo katika eneo la Mikindani eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa. Genge hilo linadaiwa kujihami kwa mapanga lilitekeleza uvamizi huo mwendo wa saa saba usiku kabla ya kutoweka. Maafisa wa polisi wanaendeleza msako ambapo inaarifiwa washukiwa wanne wa genge hilo wamekamatwa.

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 5 месяцев назад
Mama ameongea ukweli sanaa,hongo Kenya itaisha lini inaleta kudhohofika kwa inchi
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 5 месяцев назад
Recently Deputy president Gachagwa warned security chiefs in Mombasa and likoni that watafutwa KAZI due to laxity of security,why Not sack them now
@faithowino8363
@faithowino8363 5 месяцев назад
I'm glad I appeared on Citizen TV God is Merciful
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 5 месяцев назад
Riggy G muST go there now,this woman is great and open.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 5 месяцев назад
Rigi g ni siasa tuu na mdomo Hana lakufanya upuzi mwingi tuu drugs dealers imekuaje mpaka sasa
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 5 месяцев назад
All security officials in Mombasa must be sacked kazi Yao ni kushika innocent women wanauza mnazi not security matters
@mollyoduor
@mollyoduor 5 месяцев назад
Very true
@AbdulmajidManjothi
@AbdulmajidManjothi 5 месяцев назад
Hawa majambazi wana faa ku walishwa tyree naa ku chumwaa ni dawa peke yaake 🔥.
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 5 месяцев назад
Serikali Iko wapi surely if gangs can terrorize pple whole night
@georgegg1079
@georgegg1079 5 месяцев назад
County commander, kazi yako nini? Rudisheni nelson marwa
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 5 месяцев назад
Marwa arudi mombasa
@allynyanje5779
@allynyanje5779 5 месяцев назад
Ushasema
@charliemzaeh1704
@charliemzaeh1704 5 месяцев назад
Mikindani has known peace we won't allow goons to distract.wamama waongee na wanao au wawachie ulimwengu
@Gorgeousij
@Gorgeousij 5 месяцев назад
Dp aliongeo hawa wanasiasa wakamuingilia sana,vile mambo inaendelea uko mombasa si vizuli,na ni kama wanalenga watu wa bala
@EDWARDZIRO-v2l
@EDWARDZIRO-v2l 5 месяцев назад
Wacha uongo watu wa bala ndokusema nini?
@NeymarMuhammad
@NeymarMuhammad 4 месяца назад
​@user-mo2iv1xo1g 😂😂
@marymashao2304
@marymashao2304 5 месяцев назад
Mama ameongea point
@duh-yr2lj
@duh-yr2lj 5 месяцев назад
Siku kenya itaweza ku deal na mihadarati haya yote yatakwisha.
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 5 месяцев назад
Kabisa mihadarati ishindwee
@stephen-CEO
@stephen-CEO 5 месяцев назад
Hii sio mambo na mihandarati bro they know what they are doing in mombasa hii inakuaga game ya viongozi wachache ....
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 5 месяцев назад
Mihadarati si shida,shida ni kuna kiongozi anawaspouser hao vijana
@stephen-CEO
@stephen-CEO 5 месяцев назад
@@selphineonyango2591 Exactly mombasa watu ya mihandarati ni mateja ...teja ni mwizi ya screp na tuwizi kindogo kindogo ya ujinga lkn hiyo kupigana mapanga ni vikosi zinajulikana vizuri tuliokuwa wakati ya Mkubwa Marwa can understand
@samuraitrax6597
@samuraitrax6597 5 месяцев назад
Its spelled "CORRUPTION"
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 5 месяцев назад
Poleni jamani.. Mupone nyote in Jesus mighty name Amen
@mwakdesign_45
@mwakdesign_45 5 месяцев назад
Like where is the government😢
@engineerrajab9533
@engineerrajab9533 5 месяцев назад
Viongozi wote waajibike
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 5 месяцев назад
Ndio
@beirut9750
@beirut9750 5 месяцев назад
Shikeni kiongozi wao Kateni shingo
@halimaadan3412
@halimaadan3412 5 месяцев назад
Waizi wa njaa si waende wakaibe Bank umbwa hao😢
@IbrahimSalat-ps4ko
@IbrahimSalat-ps4ko 5 месяцев назад
Kweli
@SabburahSwabra
@SabburahSwabra 5 месяцев назад
Kwa nn kenya mnazembea hivi kwa mtu alio katika hali mbaya kisa maana n pesa.c mtibu mtu mumuokoe maisha yake kisha pesa ifwatie .au mwataka mtu afe ndio mjidai mlikua mwamsaidia 😭😭.kuhusu hao wezi n bora wakisgukwa wapigwe hadi kufwa .police wakija wachukue mizoga yao. Wakati wa kandingo wezi walinyooka n wakaisha hadi wengine wakaama mombasa coz kulikua kumoto sana.dawa n mwizi kuuwawa tu coz ata yy haonei mtu huruma akiwa anamuuwa 😭😭
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 5 месяцев назад
Hao majambazi washikwe ama wauliwe
@Traveler32
@Traveler32 5 месяцев назад
Human rights my foot
@aliathmani7165
@aliathmani7165 5 месяцев назад
Wanaotowa hongo kwa polisi ni kina nani, hapo ndio shida sasa. Pia nanyi watu wema, vita vya aina hiyo upiganwa hivyo hivyo.
@nchimbuke7261
@nchimbuke7261 5 месяцев назад
WEKA MSOMALI AKUE MKUBWA WA POLISI AONGOZE HYOO OPERATION
@jamessila3219
@jamessila3219 5 месяцев назад
Poleni sana
@andallaathman3856
@andallaathman3856 5 месяцев назад
Huyo human rights hafai hata kua hapo wao ndio sababu kuu wakiuliwa vijana wasema haki zao wanalaumu police wauliwe hao watoto
@KorirKennedy-w8y
@KorirKennedy-w8y 5 месяцев назад
Quick recovery
@nixonlusimba3794
@nixonlusimba3794 5 месяцев назад
Mombasa use be a safest place to live 10 years ago but now for vacation is better we go to Tanzania or South coast.what is nyumba kumi and wazee mtaa doing.
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 5 месяцев назад
Hapa dawa ni marwa arudi mombasa
@fnyaruhanga
@fnyaruhanga 5 месяцев назад
The ambulance driver is bad
@wyagpaul9130
@wyagpaul9130 5 месяцев назад
aty ngoja wasababishe nkt mapolisi
@charliemzaeh1704
@charliemzaeh1704 5 месяцев назад
Serikali nao ikianza operation watu wasilalamike
@Actor_bad24IK
@Actor_bad24IK 5 месяцев назад
Hawa ni watoto wa shule..they do this during holidays...they only get locked up maximum 1 week...even after committing horrific crimes.
@EmmanuelTsuma-u3i
@EmmanuelTsuma-u3i 5 месяцев назад
Very pathetic 😭😭😭
Далее
NEWSGANG | Police: Between laws and lows
50:32
Просмотров 6 тыс.
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 6 млн
NEWS GANG | Hail the Kingpin...
24:54
Просмотров 2,6 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 549 тыс.
Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa
10:39
Antihypertensive Drugs
2:38:07
Просмотров 330 тыс.
AFRICAN HOME: MIND READER (PART 1)
22:32
Просмотров 3,3 млн
SOKO LA MARIKITI NI KIVUTIO CHA WATALII MOMBASA
3:05
Просмотров 2,2 тыс.
Mwanaume ashambuliwa na wahalifu Mtopanga, Mombasa
10:06