Shekhe wangu Allah akulipe kher inshallah, Duniani na kesho akhera, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akupe umri mrefu na Afya NJEMA shekhe Othman Maalim 👏
Shukran shekhe,,Allah akujalie kila la khery na uzidi kutuelimisha inshaallah,,,,kuhusu hii sala je kama uko nyumbn pk yako napia ukiwa mwanamke inasaliwaje
Shekh uliwahi kuniombea dua mwanangu ukampa jina mariam ulikuwa na juma mmanga sio mchezo yuko vizuri kiafya ya akili muelewa mno dua zako zilikubaliwa Allah akbariki sana kigamboni dar es salaam
Hizo hadisi unazozema kwa sasa Umuhimu kupinga maYahudi kuwau wa Palestin wa Islam7 na wa kristo Ma Yahudi hwamini ukrito wala uislamu Kwa nini mnaogopa kuandamanleo mnashindwa na South Africa ambao sio waiSLAMU MANENO YENU YA UNAF8K HAYANA FAIDA KESHO MUTAMJIBU ALLAH MUNALINDA MASLAH NA VEO VENU MUNAOGOPA NINI SEMENI UKWELI
Usichanganye Mambo Bila Kuwa na Elimu yoyote. Watu wote wanaoishi Sudan ni Waafrika. Sudan Ni taifa kubwa na kuna Mchanganyiko wa makabila mbalimbali sawa na Nchi yeyote katika Dunia. Kaskazini mwa Sudan kuna Waislamu wengi zaidi ya Kusini. Ukristo umeenea sana Kusini mwa Sudan. Vita baina ya Kusini na Kaskazini inahusiana na Ardhi na siyo Dini. Wananchi wa Kusini walidai Kuigawa Sudan ili sehemu wanayoishi itengane na Kaskazini na ijitawale. Kwa kifupi walitaka Sudan igawanywe. Sasa kwa nini unamwuuliza Sheikh Maalim aelezee Siasa? Sheikh wetu anaelezea Historia ya Mayahudi na Waislamu katika wakati wa Mtume alipokuwa Madina na wewe unataka Sheikh aelezee Vita vya hivi karibuni vinavyohusiana na Siasa. Mbona Unachanganya Mambo?. Uislamu haufundishi Ubaguzi wa Rangi. Uislamu ni Dini ile ile ya Nabii Isa (Yesu), Musa na Mitume wengineo waliotangulia. Usichuklue habari hovyo hovyo katika Mitandao bila utafiti au Uchambuzi. Ndugu lazima tusome sana. Wananchi wa Sudan ni Waafrika na wote ni watu wenye Rangi mbalimbali pia. Mwenyeezi Mungu ameumba Rangi mbalimbali katika kila kitu na siyo binaadamu tu peke yake. Mimea, Wanyama, Na hata sehemu za ardhi. Tofauti ya rangi ni marembo ya dunia. Na watu wameumbwa tofauti ili wapate kujuana na kutambuana. Huyu Mchina, Huyu Mwarabu, Huyu Mwafrika, Huyu Mzungu na hivyo hivyo Kila mfano. Hakuna aliye bora mbele ya Mwenyeezi Mungu isipokuwa kwa Kumcha Mungu tu. Watu wote ni sawa sawa. Kwa hiyo usisikilize watu wapuzi wasiokuwa na elimu. Kuruani na Hadithi za Mtume Mohamad zimeelezea habari hizi vizuri sana kwa hiyo usome vitabu hivi. Maneno ya Fitina yana hatari sana.
@@user-pc8wo1hh9l we mpumbav kabisa, mi naongelea mauaji yanayofanywa na waarabu darfur Sudan dhidi ya ndugu zetu waafrika weus, wewe unaleta dini zako hapa!!!! Kwan hao waafrika weus wa darfur sio waislam? Halafu wap mi nmeongelea mambo ya kugawanyika kwa Sudan? Shenzi kabisa wewe