Tunathamini na kuheshimu sana jitihada zenu za kupambana na majambazi katili hao M23 ambao ni majeshi ya RDF na UPDF. Songeni mbele Wazalendo na Mungu andelee kuwa upande wenu - jirani yenu kutoka Tanzania. 🇹🇿🤝🇨🇩
Mutakufa sana nyinyi nyote muko mboleya ya congo, na congo itabaki moja, wazungu wanakula wana lala vizuri na nyinyi hivyo hivyo, RUSI rwanda, munajihita wa congomani? Amunahaya
Mais, kinchanga , Rutshuru, na sehemu mingi za masisi waingiza ndani population ya rwanda , bisi zagutoka Rwanda zinaba somba wakaaji wao wakiwatiya fasi m23 imekamata. Uchungu kubwa kabisi kwa wa Congo mani wa nilotique watamaliza wakaaji wa Congo
MON GÉNÉRAL LA PATRIE OU LA MORT TUTASHINDA VITA WANGU ERICK MUZALENDU KAMILI UNANIKUMBUSHA PARECO WANGU FÉLICITATIONS TUKO PAMOJA PIYA 2013 TULITOKA UKABAKI KWELI TUKO PAMOJA KWAVYOTE