Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
😂😂😂 kwani Zanzibar ndo kwanza kuna maghorofa??? . hawajasikiya Kama kulikuwa na beit la ajabu? na majengo mazuri zaidi na ya thamani yalodumu kwa miaka 100 na zaidi hapo Zanzibar. Dr. Hussein ni wajibu na fahari yake akiitengeneza Zanzibar Kama Rais na kafanya mambo mengi kwa muda mfupi aloshika URaisi. Haki yake APEWE. Sasa tusubiri wengine waje wabadikishe mambo mengine. Miaka mitano mitano inakutosheni. Wananchi wa Zanzibar wanataka Maendeleo hawataki FUJO. Walopita hawajafanya kitu. Inaskitisha…..
Usitarajie kutakuwa na siku wote tutakuwa na kipato sawa haiwezekani, utofauti wa maisha ndiyo mwendo halisi wa kutumikiana ili maisha yaende. Pasipo masikini/fukara hapana tajiri. Utautowa wapi wakati hakuna mchango wa masikini. Tujitume katika kutafuta mungu haandikii mtu barua kumjulisha kama atakupa kipi.tuache kulalama na kudanganywa kuwa watawala wanatuumiza ni uongo huduma ipi iliyokosekana, kutafuta juu yako mwenyewe.