Mungu wa Mbinguni akakupe hitaji la moyo wako kwa hakika. This is a remark kwa Mungu and someday around this earth u will receive a miracle u ever endured 💕💕💕💕💕💕
Shida ni mdomo wa mondi aliongea vibaya na adi leo akashindwa kupata mtoto aende tu kwa mondi amteemee mate amfunguwe wenzie😢 kisa n kutoa mimba ya mondi tu yni kuna watu wakiogea kama wachawi
Wema you are one of a kind. I commend you and Tunda for showing so much maturity for sharing baby Lola and you for loving that cutie!! It's beautiful! You will all shut up the big mouthers who expected nonsensical cat fightt over loving a child. May God continue to give you much love to shower that blessed cutiie!
Jidai na kizungu INAMAANA lugha yako haifai. Unaposema ongea kwa uzuri unazungumza kama kinyonga. Tena usijivunie lugha ya kuiga wanakujua KUA nimtanzani.
wanaohisi anafake wamuulize Antie Ezekiel na akina Zamaradi.she has been like this since way back at K/NYAMA with her sisters and friends kids""may GOD bless her with her own.
Wema nakuombea mno mungu akusamehe na akupe second chance kuwa na upendo na mtoto wa mtu ni moyo mzuri sana hongera lakini je ukiachana na Whozu ama akuache yeye itakuaje? Na Tunda sio dadako ama shosti yako atakubali kukuachia mtoto kweli ukishaachana na baby daddy wake? 😢
❤❤me nampenda sana wema lkn aliniudhi walah vile tu alivokuwa rafik wa tunda halafu akamzunguka for sure niliumia kama mwanamke anyway 😂bado tupo tutaona finally 😊
WEMA AMINI WAKATI WA MUNGU NDIO WAKATI SAHIHI USIOGOPE WALA USIOFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE USIJALI YOYOTE UNAYO PITIA AMINI MUNGU YUPO KWA AJILI YETU AMINI TU
Hongera sana wema..wew ni mdada mwenye upendo na watoto pia mwenye roho nzuri,mim nakuombea kwa Allah akujaalie ndoa na pia mtoto..ama kweli yule diamond aliacha mwanamke mwenye akili na upendo na hatawahi kupata mwanamke wa kumfikia wema😂